Samwel
2.6K posts

Samwel
@MbaiSamwel
SDA member,,/ born to be a leader/ Yanga fans 💚
Arusha tz Katılım Kasım 2019
2.4K Takip Edilen2.3K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Samwel retweetledi
Samwel retweetledi

@sundey_fx Acheni kutushauri vibaya na pressure ambazo hazina tija yaan unashauri kijana mwenzako awe na mtoto kabla haja oa ?? si ungemwambia atafute mke afunge ndoa
Suomi
Samwel retweetledi
Samwel retweetledi
Samwel retweetledi
Samwel retweetledi

Huyu dada Clara @slay__storeetz walimpiga risasi ya mbavu akaishia kuvuja damu mpaka umauti ukamkuta wakati wasamaria wema wakimkimbiza hospital . Apumzike kwa Amani. Nchi imejaa wauaji wa raia wasiokuwa na hatia
Indonesia
Samwel retweetledi

Boss @jackielawrencem ukiwa kama mmiliki wa chombo cha habari, ambacho kinawasikilizaji wengi zaidi ya 200k kwa siku kweli mmeshindwa kuwapa habari kuhusu kilichotokea kwenye uchaguzi hususani matukio makubwa ya mauaji ?? sasa tutawezaje kuwaamini
Indonesia

@airtel_tanzania huu ni mtandao wenye makato na tozo nafuu sijawai kujuta kutumia Airtel money mara, zote nikutumia najiskia amani unaona kabisa utofauti mkubwa wa makato 🙌
T@TMnyama4_
Tukiacha ushabiki na simu banking ipi ipo na coverage kubwa Tanzania Mpesa - Voda Airtel Money - Airtel Halopesa - Halotel Tigopes(Yas) - Yas Azam Pesa - Azam.
Indonesia

Samwel retweetledi

#TajiriLaKihaya
Wewe Kijana ulieajiriwa;
Achana na kufanya fadhila kwa kampuni yako, fanya kile unacholipwa na uende nyumbani.
Unapofanya kazi kwa kampuni kwa masaa 8, usiende nyumbani uangalie TV au Kucheza Game au kushinda mtandaoni…
fikiria kuanzisha biashara ili familia yako iweze kurithi,
Hawawezi Rithi kazi yako.
Kujifunza hakuishi…
Indonesia

Mkuu siku moja tujadili hii ngoma ya Amerudi- bell 9 yaan,kile kisa ilitakiwa kiwe na mwandelezo yaan jamaa anarudi kwa X wake alaf anampanga demu wake wa mda huo kwamba anaempenda Amerudi tena 🙌
Grayson Gideon@Gplanet5
SECTION C (Marks 45). 5.A) Kama wakati MITUNGI MIKASI -MaNgwea na wenzie inatoka ,Chai na Chapati ilikuwa bati (TSh.200).Kisia kilo ya Sukari na ngano iliuzwaje? B). Kama dereva alidai "Buku 4 tu" kwenda Masaki kwenye bonge la party.Kisia walipandia tax wapi? #Wetalkmusic
Indonesia
Samwel retweetledi











