Mbeya Buses
7.2K posts

Mbeya Buses
@Mbeya_Buses
Home of all Mbeya Buses and Upcountry Buses
Mbeya, Tanzania Katılım Mayıs 2022
50 Takip Edilen3.7K Takipçiler

@MavugoMavu75921 @munyamambogo Hiyo gari iliibiwa ni iT Land cruiser prado 150
Filipino

@munyamambogo Story haijakamilika bado tunashindwa kuelewa
Indonesia

@munyamambogo Last time iliibiwa mark x nafikir nayo itakuwa huko polini
Filipino
Mbeya Buses retweetledi

@emabilly2001 @anon_codex Crown users muda mwingine usiwasikilize sana mzee
Filipino

Nimeona ubishani kuhusu mzee wa coding @anon_codex kutoka Dar to Moshi katoka Dar saa 7 usiku na kufika moshi' kilimanjaro saa 11 alfajiri...kwa kutumia Toyota crown 👑 mwenyewe anaiita ndege ardhini Je inawezekana kweli kutumia 4hrs to moshi eti?


Indonesia

Road To Musoma 📍💔
Rest In Paradise Chage Boy

𝐌𝐑 𝐈𝐑𝐈𝐙𝐀𝐑 𝐈𝟔𝐒.@Kangaboy_
End Of An Era King Machage Hatunae Tena 💔😭 Rest In Paradise Chage Boy 😭💔
English

@kijanampole_ @HecheJohn Ko hiyo siku Mbunge kazi yake ni kutengeneza barabara kama tanroad.?
Indonesia

@HecheJohn Ulikuwa mbunge miaka kumi hukuliona hili? titolee uhayawani wako
Filipino

Barabara ya Morogoro kutoka Dar inawezekana ndio Barabara kubwa na namba moja katika Nchi hii…
Hii ni Barabara inayobeba uchumi wa Nchi hii, Magari yote kutoka Dar kwenda Mikoa ya Kaskazini, Magari yote yanayotoka Dar kwenda Mikoa ya Nyanda za juu kusini na Nje ya Nchi Zambia, Congo na kusini zaidi..
Magari yanayotoka Dar kwenda Mikoa ya kati, Dodoma, Singida
Magari yanayokwenda Kanda ya ziwa na nje ya Nchi Rwanda, Burundi na Uganda..
Magari yanayokwenda Magharibi Kigoma, Tabora na hata Katavi ..
Miaka 65 ni vibarabara viwili tena vimejaa mashimo tupu.. ikitokea breakdown magari yanasimama masaa manne, matatu kila siku.
Sijawahi kupita hata nisikute mkwamo, watu wanateseka, uchumi unaharika na hakuna suluhu… pesa zinaibiwa na nyingine zinachezewa kuhujumu Chadema na kumnyanyasa kiongozi wetu Lissu badala ya kuhudumia wananchi..
Safari ya Morogoro - Dar km 180 inapaswa kuwa saa moja na dakika 20 tu… lakini mtu anasafiri masaa matano mpaka sita!!! Utajenga uchumi gani?
Nchi gani makini itapitisha mzigo kwenye bandari ambayo hakuna hata miundombinu ya kusafirisha mizigo yao kwa mda..
Shame on you ccm.
Indonesia
Mbeya Buses retweetledi
Mbeya Buses retweetledi

@munyamambogo @fadhili_ndilla Huduma ya hizo blanket Latra si walipiga ban.?
Filipino

Mbeya Buses retweetledi

Mbeya Buses retweetledi

Hizi Scania bila hii DXE nadhani angebakigi Kilimanjaro Express tu😎
Ila Sauli akawarudisha matajiri kwenye mstari🔥
Sauli Luxury kila siku🔥
R.I.P tajiri Sauli💔
#SCANIAGANG

SCANIA GANG@skanyika_
Sauli Luxury ndo kafanya matajiri wengi kuamini kwenye Scania🔥 Heshima kubwa kwake Tajiri Solomon🤝 Scania Polo G7 Jeuri DXE🔥🔥🔥 #SCANIAGANG
Indonesia
Mbeya Buses retweetledi

Tajiri kaona abiria wa Nyanda za Juu kusini hawawezani na VVIP.

MALLESSA'S BUS SERVICES@mallessa_luxury
MAKONGOLOSI NA MBEYA CHUMA HIZO HAZINA KIPENGELE KBSA KARIBUNI SANA @Hezronluba touch datt 🔥🙌
Indonesia

@BlessdGrooveKid Rich anapiga sana kelele..anaongea sana hana vituo
Filipino

























