Mchoyo.com

554 posts

Mchoyo.com

Mchoyo.com

@MchoyoC

Katılım Haziran 2021
74 Takip Edilen27 Takipçiler
Mchoyo.com
Mchoyo.com@MchoyoC·
@millardayo Watu weusi nani alituloga et anamwita yesu amsaidie vita aianzishe mwenyewe alafu anaita upepo uje kumsaidia dah mababu walituingiza Cha kwa kukubali Iman ambazo azina nguvu unaita upepo na hauna nguvu ya kuuamrisha ufanye kazi
Indonesia
0
0
0
10
millardayo
millardayo@millardayo·
#VIDEO Mtu mmoja ambaye anatajwa kuwa Mfuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, ameondolewa ndani ya chumba cha Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala ndogo ya Dar es salaam baada ya kupiga kelele baada ya Majaji kuingia. Tukio hilo lilitokea wakati Watu wote ndani ya ukumbi wa Mahakama wakiwa wametulia tayari kwa kesi inayoendelea dhidi ya Tundu Lissu ambapo mbele ya Jopo la Majaji watatu likiongozwana Jaji Dastan Ndunguru, Jaji James Karayemaha na Ferdinand Kiwonde Mwanaume huyo alianza kuongea kwa sauti kubwa. Sauti yake ilisikika kutoka ukumbi wa juu wa Mahakama ikisema maneno yafuatayo "Waheshimiwa Majaji wa Mahakama hii naomba mnisilikiize nimetumwa na Mungu" ambapo Askari waliwahi kumfikia na kumbeba kumtoa nje ya ukumbi Mahakama huku akisikika akisema “Yesu Nitetee, Yesu ndio Mwokozi wangu" #MillardAyoUPDATES
Indonesia
88
30
312
45.4K
Mchoyo.com
Mchoyo.com@MchoyoC·
@Eric__Bernard Unafiki hajifichi macho yako hayadanganyi moyo wako unadunda sana
Indonesia
0
0
0
7
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
Huyu ndo Comred Wenje Kada Mpya wa Chama Cha Mapinduzi anawapiga Mno Spana CHADEMA na Wanaharakati.. Anakimbiza Vibaya Mno!!!!
82
29
99
29.8K
Mchoyo.com
Mchoyo.com@MchoyoC·
@millardayo Duh kama taarifa ya habari vile😄😄😄 uo ungo misipandi
Indonesia
0
0
0
28
millardayo
millardayo@millardayo·
#VIDEO Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema likiwa sehemu ya Vyombo vya Ulinzi na Usalama vyenye dhamana ya ulinzi nchini linapenda kuwahakikishia Watanzania wote hali ya amani, usalama na utulivu katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi Mkuu, wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi. Taarifa iliyotolewa leo October 16,2025 na Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano JWTZ, Kanali Bernard Masala Mlunga, imesema “Pamoja na hali ya amani na utulivu iliyopo nchini, bado kumeendelea kujitokeza baadhi ya Watu wanaojiita Wanaharakati kutoka ndani na nje ya Nchi wanaotumia mitandao ya kijamii kupotosha Umma kwa kuweka maudhui yenye kuleta uchochezi kwa kulihusisha Jeshi na siasa ili kutimiza azma yao ya uvunjifu wa amani” “Jeshi linauomba Umma wa Watanzania kupuuza machapisho/ taarifa ambazo zimekuwa zikionekana kwenye mitandao ya kijamii, Wananchi wanakumbushwa kuwa taarifa zote zinazolihusu Jeshi zitatolewa na Makao Makuu ya Jeshi kwa utaratibu rasmi wa mawasiliano ya Jeshi na Umma” #MillardAyoUPDATES
Indonesia
275
46
321
45.3K
Mchoyo.com
Mchoyo.com@MchoyoC·
@Atheistkitaa @ze_mandevu Masikin anawezaje kuoa wake kumi au kulisha watu 1000 inakuingia akilini et yesu alikua masikin au Mohamed uliwah kuona wap masikin anaongea mbele za watu wakamsikiliza waangalie wale wahubir wenye spi kama kuna Mtu anawasogeleaga
Indonesia
0
0
0
13
Vlad the impaler
Vlad the impaler@Atheistkitaa·
@ze_mandevu Kwa sababu mitume na manabii walikuwa maskini na wavivu hivyo chuki dhidi ya matajiri ni constant. Na ukitaka upendwe na watu sehemu yeyote ile sema unawachukia matajiri. Hapo maskini wote wanakuwa upande wako
Indonesia
1
0
2
329
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Kwa nini Biblia inasema ni ngumu kwa Matajiri kuuona Ufalme wa Mbinguni? 🤔
The mandevu tweet media
Indonesia
67
32
620
22.8K
Mchoyo.com
Mchoyo.com@MchoyoC·
@waziri_mbeya98 Nikwel kabisa ilo alipingiki mpka aje kulipa ndio tutamtambua kifup ni kwamba makubaliano ya wazazi wa pande zote ni muhimu mahari shida sana
Indonesia
1
0
0
168
Waziri Wa Mbeya
Waziri Wa Mbeya@waziri_mbeya98·
Good Morning X Family 🤔😂
Waziri Wa Mbeya tweet media
English
143
69
966
66.7K
Mchoyo.com
Mchoyo.com@MchoyoC·
@Hunterjay12345 Una uhakika na mbona yupo mpka usiku huu apo kama uyo mungu angekua ana mpango nae siangemsaidia auze mchana amalize mapema akalale nyumban kwake hakuna msaada wwte unaotoka mbinguni acha kujidanganya wenzako Ibadan inaisha saa tatu usiku wanalala ww wamekuambia usubir
Indonesia
0
0
0
89
HUNTER
HUNTER@Hunterjay12345·
Bila Mungu hii Dunia ni Nzito..
HUNTER tweet media
17
63
949
37.5K
Mchoyo.com
Mchoyo.com@MchoyoC·
@Hunterjay12345 Nikazi yake kwa sababu hatukumuomba atulete hapa alituoenda mwenyewe inabidi awajibike kwa mateso yote yanawahusu wanadamu wake
Indonesia
0
0
3
765
HUNTER
HUNTER@Hunterjay12345·
Bila MUNGU hii dunia ni nzito sana..
HUNTER tweet media
35
51
941
60.2K
Mchoyo.com
Mchoyo.com@MchoyoC·
@Jambotv_ @SuluhuSamia Chifu gan ana jina la kizungu na kiarabu Tena ana dini hayo sio matambiko nimaigizo na hayawezi kufanya kazi Bora wangefanya Dua tu na kusali kama majina yao yanavyosema na Iman waliyopandikiziwa kwanza mbuz waila hachinjwi ivyo
Indonesia
0
0
0
90
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Wazee wa kimila pamoja na Machifu mkoani Morogoro wamefanya tambiko maalum kwa ajili ya kumpokea na kumuombea mgombea wa Urais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan @SuluhuSamia ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono kampeni zake mkoani humo. Akizungumza wakati wa tukio hilo, Mwenyekiti wa Wazee wa Kimila Mkoa wa Morogoro, Angelus Likwembe amesema kuwa tambiko hilo limefanyika kwa lengo la kumuombea Dkt. Samia ili afanikishe kampeni zake kwa amani, baraka na mafanikio makubwa. Kwa upande wake Chifu wa Nne wa Manispaa ya Morogoro, Mussa Bwakila amesema tambiko hilo limefanyika katika eneo la kihistoria ambalo kwa miaka mingi limekuwa likitumika kwa matambiko ya kitaifa na kijamii. Naye Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima, amesema matambiko hayo ni sehemu ya mila zinazolenga kufungua njia kwa viongozi wanaoingia katika maeneo kwa kazi au majukumu rasmi, na hivyo kuonyesha heshima kwa mizizi ya utamaduni wa jamii.
Indonesia
62
9
59
8.9K
Mchoyo.com
Mchoyo.com@MchoyoC·
@millardayo Najiuliza tu izo pesa anatoa wap na anatoa kama nani nisaidien mnaofahamu ili
0
0
0
52
millardayo
millardayo@millardayo·
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewapa Wachezaji wa Taifa Stars zawadi ya Tsh. milioni 20 pamoja na viwanja Kigamboni kama sehemu ya kuwapa motisha kuelekea mchezo wa robo fainali ya CHAN 2024 dhidi ya Morocco utakaopigwa usiku leo. Akiongea Jijini Dar es salaam leo August 22,2025, RC Chalamila amesema anawapa zawadi hizo haijalishi kama watashinda ama watafungwa. RC Chalamila pia ameahidi kuwa kila bao ambalo Stars watafunga atatoa Tsh. milioni 5, huku Mchechaji atakayefunga akipewa Tsh. milioni 1 ambapo kwa upande wa golikipa amesema kama hatofungwa atazawadiwa gari aina ya Toyota Crown. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
76
15
708
58.6K
Mchoyo.com
Mchoyo.com@MchoyoC·
@bbcswahili Yap ayo au ni Hawa wanaofagia mara kwa mara 😂😂😂
Filipino
0
0
0
29
Mchoyo.com
Mchoyo.com@MchoyoC·
@Sativa255 Maradhi umri kifo kina mambo mengi sio lazma tuwaze vibaya Kila kitu r.i.p
Indonesia
0
0
0
408
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
SELEMANI MOMBO Mkurugenzi mkuu wa usalama wa TAIFA hatunae tangu jana. (YUPO KWENYE FRIJI). Mbona hamtangazi? Tunajuaa yupo Anadolu Medical Centre, Gebze Uturuki. Semeni taifa Lifurahi walau. TUTAKUWEPO🫵🏾😎
SIR TIVA tweet media
Indonesia
139
202
1.8K
68.7K
Mchoyo.com
Mchoyo.com@MchoyoC·
@ze_mandevu Kuna namna kama anataka kutuambia ukweli anachomoka ila kuna siku atanyooka
Filipino
0
0
0
99
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Huyu Jamaa ndiyo Mchungaji pekee ambaye hadi Wanaume wanasikiliza mahubiri yake.😁
The mandevu tweet media
Indonesia
42
58
1.5K
33.7K
Mchoyo.com
Mchoyo.com@MchoyoC·
@Jambotv_ Maghufuli angekuwepo asingekubali uu ujinga Amin mapesa yote ayo Bado ushibi
Indonesia
0
0
0
132
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Mgombea Ubunge wa Viti Maalum kupitia kundi la Vijana, Jesca Magufuli (29), ameomba kura mbele ya wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, akiwani nafasi mojawapo kati ya sita zinazogombewa upande wa Tanzania Bara. Jesca ni msomi mwenye Shahada ya Uzamili ya Sayansi ya Siasa na Utawala. Amesema ana dhamira ya kweli ya kuwatetea vijana na kuwa sauti yao kupitia maono na mwelekeo alionao. Mkutano huo Maalum wa UVCCM unafanyika leo, Agosti 1, 2025, jijini Dodoma kwa lengo la kuwachagua Wabunge wa Viti Maalum kundi la Vijana kutoka Tanzania Bara na Zanzibar, pamoja na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia kundi hilo
Indonesia
28
9
201
11.6K
Cyancute ⭐
Cyancute ⭐@Cyancute·
good morning from kenya 🇰🇪 wife material
Cyancute ⭐ tweet media
English
50
4
182
30.9K
Mchoyo.com
Mchoyo.com@MchoyoC·
@_zack255 @cyancute Una namba zake unitumie niongee nae au kuna sehemu unafamu alipo uniunganishe nae maana Nina maswal mengi sana ya kumuuliza tafadhal
Indonesia
0
0
0
10
Cyancute ⭐
Cyancute ⭐@Cyancute·
don't open in public check comment
Cyancute ⭐ tweet media
English
111
29
1.2K
133.7K
Mchoyo.com
Mchoyo.com@MchoyoC·
@Sisimizi3 Kwaa akil zako mbovu unafikir pole pole anadil na utekaji kuna suala la msingi la kitaifa uo utekaji aujawah kuisha popote dunian
Indonesia
0
0
0
4
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
Leo anakemea utekaji wakati akiwa Mwenezi kwanini alikaa kimya
Dr. Sisimizi tweet media
Filipino
96
11
159
8.3K
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Una mtazamo gani kwenye hili?🤔
The mandevu tweet media
Filipino
97
44
677
36.2K
Mchoyo.com
Mchoyo.com@MchoyoC·
@LuhagaMpina Kubali tu bro maana umeshaanza kutaja mbingu na mungu na wakati wenzio hawaogopi kitu ambacho hakipo kwenye uso wa Dunia jifunze kwa waisrael mnaowaita taifa teule
Indonesia
0
0
0
259
Luhaga Mpina
Luhaga Mpina@LuhagaMpina·
Hila zenu dhidi yangu zinaweza kufanikiwa mbele ya mambo ya watu, lakini mbele za Mungu mtalipia kwa gharama zaidi, ni suala la muda tu.
Indonesia
154
216
1.6K
51.5K
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Mi imeniuma sana hii 😭😭 Watanzania tumekuwa watu wa ajabu tunashindwa kuwatetea wenzetu kwa jambo la msingi kama haki ya kuabudu??? Dah! Nimeumia kuona makanisa yote wako kimya, wakristo tuko kimya Yaani hapa tungekuwepo hata elfu 1 tukaimba nyimbo za dini kama Martin Luther King. Jr tungepeleka ujumbe! Imeniuma ila sikubali kuwa mnyonge @SuluhuSamia hii utapata mapigo ya kutosha!
MwanzoTvPlus@MwanzoTvPlus

#TANZANIA: NAIBU KATIBU WA KANISA LA ASKOFU GWAJIMA AFUNGUKA BAADA YA WAUMINI KUPIGWA MABOMU Naibu Katibu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Maximillian Machumu Kadutu maarufu Askofu Mwanamapinduzi hii leo Juni 29, 2025 amefunguka mazito sakata la Waumini wa Kanisa hilo kupigwa vibaya ana wengine kukamatwa na Jeshi la Polisi, adai walienda kusali Kanisa lingine la KKM lililopo jijini Dar es Salaam, "tulisali kanisa la KKM, watu walikuwa wengi, nilikuwa nawatuliza, Polisi wakataka kunikama, Wakristo wakazuia" Zaidi: youtu.be/NNtXvWUuPSg

Indonesia
48
107
445
23.8K