Milan, Kefa.

27.6K posts

Milan, Kefa. banner
Milan, Kefa.

Milan, Kefa.

@MillanKefa

Psychologist, Sociologist, Social Worker, Cognitive ability, I believed my God has Good plan to me and better for My Life. God Anointed.

Katılım Temmuz 2019
872 Takip Edilen1.3K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Milan, Kefa.
Milan, Kefa.@MillanKefa·
Arsenal Mtalala na Viatu Leo walevi msilewe sana ni Juma tano
Indonesia
0
0
1
11
Milan, Kefa. retweetledi
NKENJA_7
NKENJA_7@Abraha1Brighton·
Kipanya kaeleweka San nazani CCM Wameelewa Sisi tunawaunga mkono CHADEMA si kwamba sisi ni CHADEMA hapana ila Imekuwa falaja kwa WANANCHI Mauwaji yaki tokea inakemea mtu akitekwa inapaza sauti na Wanalia na Wanchi pamoja sasa kwann tusiiunge mkono !!!!
Indonesia
0
6
34
297
Milan, Kefa.
Milan, Kefa.@MillanKefa·
29.10.2025 to Early November Was Traumatic events Which will never Let us same Again But Saddest History to Remember! Yale ni Maisha and not Businesses as Usual 📌 Nimeona niseme Jamii imepigwa na Haina Mfariji Bali Watesi wenye Roho ya Kondoo ndani ni chui
English
0
0
0
4
Hormuz™️
Hormuz™️@bajabiri·
Huyu walimu wa jimbo lake wanalipwaje?
Hormuz™️ tweet media
Indonesia
8
3
81
4.4K
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
We as Tanzanians are deeply disappointed in @AlikoDangote and @DangoteGroup for choosing to legitimize a woman who, just six months ago, massacred over 10,000 of her own citizens in order to cling to power. While Tanzanian families are still searching for the bodies of their loved ones, Dangote chose not to stand with the victims, but instead to shake hands with the butcher of Tanzania. At a time when humanity should come before profit, Dangote has chosen business over justice, silence over conscience, and access over moral courage. @AlikoDangote could use his enormous influence across Africa to speak out against the killings, the disappearances, and the brutality inflicted upon Tanzanians. Instead, he is using that influence to normalize and legitimize a regime built on bloodshed and fear. @AlikoDangoteFdn @DangoteGroup We Tanzanians do not recognize this woman as our legitimate president, and when our country is reclaimed by its people, we will not honor agreements unlawfully entered into on behalf of Tanzanians by an illegitimate regime. @AlikoDangote Did you learn nothing from how lawless Tanzania is from your experience with Magufuli? when your cement factory investment in Mtwara was undermined? Yet once again, you are choosing to align yourself with repression instead of justice. KEEPING FUCKING AROUND, NEXT TIME YOU SHALL REALLY FIND OUT!!!!! What Tanzania needs right now is accountability, healing, and justice for the victims not Africa’s richest businessman helping sanitize the image of those responsible for the killing of our children. @bbcswahili @CNNAfrica #Dangote #alikoDangote #Dangotegroup #NIGERIA
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet mediaMange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet media
English
31
166
748
22.5K
Milan, Kefa.
Milan, Kefa.@MillanKefa·
Day 139 ⛅ "Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa Mungu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu." Wagalatia 3:26 TU Wana wa Mungu kwa Njia ya Imani ndani ya Yesu Kristo Mwana wa nazareti
Indonesia
0
0
0
5
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
KAHAMA – Shinyanga. Makamu Mwenyekiti CHADEMA @HecheJohn. Homeboy is cooking. Watu ni wengi kama mchanga. Massive, overflowing crowd. This is a clear demonstration of political might—unmatched and irreplaceable. IGA UFE, JARIBU UFILISIKE. 🔥#katibampya #freetundulissu
Filipino
27
255
1.2K
16.2K
Milan, Kefa.
Milan, Kefa.@MillanKefa·
@OleSangka Wameanza Ukora Tena! poleni Familia Beto sio Dili aisee machalii Wana shida ya Afya ya Akili
Indonesia
0
0
2
533
Olesangka
Olesangka@OleSangka·
aiseee watoto wadogo kabisa wamemuua jomba langu wamemchoma visu mtaani kwetu bomani kabisa, yaani Arusha yangu imekuja kuaje sijui unamchoma braza visu kisa hajawasalimia. hivi hawa watoto wanapagawaa aisee au ni hii makushabu wanavuta mbona yaan Olnjavutian daily tunatrend😭
Indonesia
13
5
122
9.3K
Milan, Kefa.
Milan, Kefa.@MillanKefa·
Day 138 ⛅ "Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake; ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi;" Wakolosai 1:13-14 Hakika Yesu Kristo ni Pendo.
Filipino
0
0
6
58
The Chanzo
The Chanzo@TheChanzo·
Kamwaga: ACT Wazalendo Ichukue Uongozi Kututoa Kwenye Mkwamo wa Kisiasa Dar es Salaam. Mwandishi wa habari mkongwe nchini Ezekiel Kamwaga ametoa wito kwa chama cha ACT Wazalendo kuchukua uongozi kuelekea kukwamua mkwamo wa kisiasa nchini kwani chama hiko kina wanasiasa wenye uzoefu na masuala hayo. Akizungumza kwenye mkutano wa kitaifa ulioandaliwa na chama cha ACT Wazalendo juu ya mkwamo wa kijamii na kisiasa uliopo Tanzania kufuatia matukio ya Oktoba 29, Kamwaga amesema kwa sasa ni kama kila upande upo kifungoni hivyo unahitajika utayari wa kisiasa kutoka mahali ambapo Tanzania imefikia sasa.
Filipino
114
7
73
91.1K
Milan, Kefa. retweetledi
MalikitoTz
MalikitoTz@FrankIsmail12·
@MillanKefa @SamsonErnest_ Imeandikwa Imani bila matendo imekufa Natena Imeandikwa Watu hawa huniskiliza lakini hawanielewi kwasababu hawataki kunielewa hata wakiniskia
Filipino
0
1
2
8
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
🙄🙄 Bora ukae kimya Kabudi!Ujue kinachokuja utalaumiwa hadi na familia! Nakushauri vizuri ACHA! Watanganyika si wajinga msituchezee hapa maigizo! Never again wakati mnaendelea kuua na kuteka? Wajibikeni, ondokeni! Stop talking! #SamiaMustGo #TutaelewanaTu
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
18
73
297
9.8K
Milan, Kefa.
Milan, Kefa.@MillanKefa·
"na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya Bwana, Mungu wako." Kumbukumbu la Torati 28:2 Kusikia Neno na sauti ya Mungu ni Baraka na kutoka mtii na kumsikia Mungu wako ni Laana, Chagua upande wa kusikia na kutulia upate Baraka. #ElimikaWikiendi
Indonesia
1
3
6
74