Elias_mkono

916 posts

Elias_mkono

Elias_mkono

@MkonoOfficial

TGGC Director, CDO, social Influencer #Tanzaniakwanza, YALI RLC EA ALUMNI

Kilimanjaro, Tanzania Katılım Aralık 2019
905 Takip Edilen179 Takipçiler
Jamii Forums
Jamii Forums@JamiiForums·
Rais Samia Suluhu amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani, Shabani Ally Lila kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya ghasia ya wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025. Tume hiyo inalenga kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani ili kuchukua hatua stahiki na kuimarisha usalama wa Taifa. Jaji Lila atasaidiana na Majaji Wastaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Gad John Mjemmas, Awadh Mohamed Bawazir na Aishieli Nelson Sumari. Bofya jamii.app/TumeYaKijinai #JamiiForums #Uwajibikaji
Jamii Forums tweet mediaJamii Forums tweet media
Indonesia
20
3
38
6.8K
Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV@AbroadTanzania·
Rais wa Cuba kaamua ajisalimishe mapema
Indonesia
6
21
250
14K
Savanna Fibre Tz
Savanna Fibre Tz@SavannaFiberTz·
49k ~ 20 Mbps 📍free installation 📍free devices 📍unlimited bundle Your reposts 🙏🛜🚀
Savanna Fibre Tz tweet mediaSavanna Fibre Tz tweet media
English
27
33
153
12.3K
Nipashe Tanzania
Nipashe Tanzania@Nipashetz·
Katika tukio la kushangaza na lisilo la kawaida, mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Colnel Magembe iliyopo Wilaya ya Ukerewe, Mkoa wa Mwanza (jina limehifadhiwa), amepatikana akiwa hai baada ya kudaiwa kushambuliwa na kuchukuliwa na mamba takribani wiki moja iliyopita.ippmedia.com/nipashe/habari…
Nipashe Tanzania tweet mediaNipashe Tanzania tweet media
Filipino
7
1
17
4K
Myunani
Myunani@MaxTz255_·
Nani mwingine hajafanikiwa Kuelewa Hii project 😀
Myunani tweet media
Indonesia
102
35
615
80.5K
Elias_mkono retweetledi
Salym
Salym@salymdev·
Mwishoni mwa mwaka 2024 nilitengeneza hii package inayolist ya Mikoa yote, Wilaya, Kata na Postcode zake. Mpaka leo inatumiwa na developers 165. Unaweza install hapa kwa kutumia composer github.com/devmpemba/Tanz…
Salym tweet media
Filipino
3
28
122
6K
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Manzi Ina Tattoo… mkononi, Kifuani na Hadi kwenye PAJA… Na zote kachorwa na Wanaume,daaah💔 Bila shaka Pombe na Shisha anapiga huyu… MACHA KIJANA Msomi mwenye Bright Future… mtangazaji makini kama wewe unataka KUOA BED TO BED MIDFIELDER AKA NGONO KANTE… Shida Nini kaka?? Tuambie tukusaidie mapema… hatutaki viluo huko mbele…
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿 tweet media
Indonesia
368
71
745
119.2K
Elias_mkono retweetledi
Daktari Wa Manesi 💉💊
Daktari Wa Manesi 💉💊@McinikaWaLamar·
MAN TO MAN Maisha yanapokunyookea, usianze kuwaona wanaume wengine kama wasio na maana au wasiojituma katika maisha. Kumbuka muda wowote hali hubadilika jifunze kuwa mnyenyekevu Mwanaume usichekelee kamwe anguko la mwanaume mwenzako. Wanaume hatupaswi kuchekana wala kudharauliana. Badala yake, tupeane moyo na kushikana mikono katika mapambano yetu, Maana sote tunaishi kwa akili na kula kwa jasho
Filipino
9
65
271
10.6K
Elias_mkono retweetledi
Lawrence Kitema
Lawrence Kitema@lawrencekitema·
When a fruit looks too ripe on the bush, don’t rush to pick it. Instead, ask the birds why they left it alone. — African Proverb
English
211
3.7K
17K
411.6K
Elias_mkono retweetledi
Small Business Elevator
Small Business Elevator@SB_Ladder·
Ukiwa chuo unaweza kufiki una connection na kupata kazi ni rahisi ila ukimaliza utagundua kwamba connection yako ni Mungu pekee.
3
9
93
2.3K
Elias_mkono retweetledi
Daktari Wa Manesi 💉💊
Daktari Wa Manesi 💉💊@McinikaWaLamar·
BRO TO BRO “Nitafanya kesho" hii kauli ni ugonjwa unaoua ndoto zako polepole. Hakuna ndoto inayokufa ghafla nyingi zinakufa kwa kuahirisha. Kila kesho unayosema leo, ni hatua moja nyuma. Wanaume wengi hawakushindwa sio kwa sababu hawana uwezo, bali walishindwa na uzembe. Kaa kitaalamu anza sasa hata kama hujajiandaa. Bora ushindwe kwa kujaribu kuliko ujutie baadae kwa kushindwa kujaribu Ukisubiri mood, pesa, au muda sahihi utazeeka ukiwa na mawazo tu. Kumbuka Watu wengi wanaofanikiwa hawangoji kesho. Wanafanya leo.
Indonesia
8
41
160
7.9K
Elias_mkono retweetledi
Son of God(Huios)
Son of God(Huios)@EliabuDanford·
Unajua kwanini Afrika haiwezi kuendelea, hatujafundishwa kuzalisha. Kila mtu kafundishwa kuchukua tu. Kufanya kazi kupata mshahara peke yake. Hakuna ujasiriamali wala utoaji wa huduma ambao unalenga kuboresha maisha ya wanadamu. Kila mtu anawaza taking only. Akili za masikini.
Indonesia
0
20
103
1.5K
Elias_mkono retweetledi
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Ukubwa wa Mungu haupungui kwa sababu ya changamoto zako.
Badala yake, changamoto zako hupungua unapomtazama Mungu alivyo mkubwa, mwaminifu, na mwenye uwezo wote. 🙏🏼
Filipino
13
103
475
8.7K
Elias_mkono retweetledi
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Mimi mkinipa tu Repost zenu, ninakuwa sina shida na nyinyi.
The mandevu tweet media
Indonesia
2
72
145
3.3K
Elias_mkono retweetledi
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Kiroho Safi naomba Repost yako hapa Wanangu 👊🏾
The mandevu tweet media
Indonesia
4
94
153
3.2K
Elias_mkono retweetledi
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Wakuu msilale kwanza niwa postie T shirt mpya ni kali kinoma.🫡
The mandevu tweet media
Filipino
6
19
146
4.2K
Elias_mkono retweetledi
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Wanangu wa nguvu naombeni repost zenu hapa.👊🏾
The mandevu tweet media
18
50
135
4.7K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Polisi sipigani nawe. Nakupigania.
Polski
30
264
1.4K
39.9K