Mugwe™️ retweetledi

‼️Team Hakuna Kushindwa 🔥
Kwanza nawashukuru sana mlioniandikia DM na hata publicly jumbe za kunitia moyo ❤️ nashukuru mno!
Pili mi ni mzoefu wa harakati #ChangeTanzania tulianza 2012! Na sijawahi kurudi nyuma wala kubadili msimamo! Natambua kuwa kwa sasa genge la wauaji la Kizimkazi gang linaniona mi ndo adui na wamelipa machawa kuja kunitukana, kunikejeli na kunivunja moyo
Sasa nawamegea siri - I am ANTI FRAGILE
Definition of Antifragile (@nntaleb ) -
something that not only withstands stress, volatility, and disorder but actually gains strength and improves from them, unlike fragile things that break or resilient things that just bounce back
Yaani mnavyozidi kunishambulia si kwamba ninahimili bali ninaimarika na kuwa bora zaidi 😂✊🏽
Ndo maana nawakera mnataka hata kesho mniue ila Mungu amesimama 🙏🏽
Hatuwezi kurudi nyuma wala kusimama na mi nitabaki hapa front kuhamasisha! Nyie machawa kama mnataka fanyeni ushawishi ila si vitisho na matusi!
Wapendwa tutabanana hadi mwisho tukamilishe ukombozi na #TutaelewanaTu #J1
#Tumeshinda🇹🇿

Indonesia










































