Tutuvengele1

65.9K posts

Tutuvengele1 banner
Tutuvengele1

Tutuvengele1

@MussaMartin14

Believe in God at all times without fearing man and even if necessary die in that Faith. BECAUSE OF PURPOSE AND LOVE FOR THE GLORY OF GOD.

Nairobi, Kenya Katılım Şubat 2020
1.3K Takip Edilen2.6K Takipçiler
Tutuvengele1 retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Balozi Humphrey Polepole alikuwa mbele ya muda.
Indonesia
10
277
1.4K
28.8K
Tutuvengele1 retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Hey Gen Z mmeona ? Trump ni msela wa levels zingine, wallahi. China wameenda kum-meet Maduro chill kabisa… halafu BOOM 💥 hiyo hiyo day Trump anaamua game over kwa dikteta Maduro. Hakuna warning, hakuna brakes, straight savage mode. Dunia ni movie Mazee. Lakini hakuna kwere!!😂
Filipino
115
158
1.2K
95.7K
Tutuvengele1 retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Huu ndio uelekeo wa TAIFA. Nasikia kuna MSANII kajipigia NYETO YA MAFANIKIO-Kajiwekea Viewers MILIONI moja ila nyimbo haipo Trending. Safi wanangu hawa TUKABIE JUU HIVI HIVI. TUTAKUWEPO🫵😎
Indonesia
63
142
1.1K
34K
Tutuvengele1 retweetledi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Bora hao wanaomezea macho hiyo Uranium bila kuua wamiliki wa hiyo Uranium (wananchi) kuliko nyie serikali haram ambao mmeua wananchi sababu ya hizo rasilimali mnazojinufaisha wenyewe na familia zenu. Kuna tofauti gani kati yenu nyie serikali batili na hao mnaowasema? Matter of fact hao mnaowasema wana ubinadamu zaidi yenu. Hamna sapoti serikali harama mtaipata kwa Watanzania baada ya wauwaji. Watanzania tutamsapoti yoyote atakaetusaidia kuwaondoa nyinyi mliotuua ili tuanze upya.
Indonesia
157
287
1.8K
90.4K
Tutuvengele1 retweetledi
Ali Kibao
Ali Kibao@AliKibao·
@MariaSTsehai Mwenyezi Mungu akulinde na akupe afya njema. Asante kwa yote unayofanya na kutupagania tusio na sauti. Sitasahau alipotekwa Mzee Kibao wewe ndo ulikuwa mtu wa kwanza kukutafuta unisaidie. You have been consistent in your fight tangu wengine hatujakuelewa mpaka tukakuelewa.
Indonesia
1
31
200
7.7K
Tutuvengele1 retweetledi
Vitus Nkuna
Vitus Nkuna@VitusNkuna·
Watu wanataka MAJI, Waziri anataka UMOJA.
Vitus Nkuna tweet media
Indonesia
64
45
456
21.1K
Tutuvengele1 retweetledi
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
Sikuwahi kujua katika maisha yangu kama 2% inanguvu kuliko 98% yaani viongozi na wasanii wanavyowalalamikia watu aslimia mbili (2%)kugomea kazi za wasanii, utadhani watu asilimia 2% ni wengi kuliko watu milioni 32 sawa na asilimia 98% walioichagua CCM. Au takwimu hizi sio?
Indonesia
37
188
776
11.4K
Tutuvengele1 retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Makamu, ngoja nikusahihishe kidogo, anaongea kama hii Nchi ni malapa yake na wananchi ni viazi mviringo. Be assured kesho yetu ni bora sana. Wanaenda kulipa kila aina ya uovu waliofanya.
Godbless E.J. Lema tweet mediaGodbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
29
213
1.3K
21.6K
Tutuvengele1 retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Watoto wa Job Ndugai vipi ? Na Faustine Ndugulile !! Watu wengine wana bahati sana , unapewa rambirambi ya Jimbo.
Godbless E.J. Lema tweet media
Filipino
71
227
1.5K
36.7K
Tutuvengele1 retweetledi
Chadema Tanzania
Chadema Tanzania@ChademaTZ2·
Hon. Tundu Lissu has completed 252 days in prison without being proven guilty, while still facing treason charges. He has also been held for over a month without being brought before a court.
Chadema Tanzania tweet media
English
15
148
426
10.6K
Tutuvengele1 retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Humuwezi kuzuia sauti za mateso, uonevu na damu kwa lobbying, mnaweza kuzuia sauti hizo kwa toba,haki na uwajibikaji. Suala la kumwaga damu isiyo na hatia ni kisasi cha Mwenyezi Mungu. Anguko lenu limetimia na majuto ni makubwa sana. Mwanzo 4:10 Akasema, Umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi
Filipino
25
210
985
20K
Tutuvengele1 retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
SERIKALI YA MAREKANI NI KAMA TEC. Nasema Marekani ni kama TEC nikiwa na maana ya kwamba kupiga picha na Padri Pisa au Father Kitima haina maana kwaba TEC wanakuunga mkono. Idd Amin Mama na Serikali yake haram na washauri wake wote akili zao ndogo sana na hawajaifunzi kila siku wanarudia makosa yale yale. Miezi kadhaa walipoona wanapigwa spana kila kona Mwigulu akaenda kurasani akapiga picha na Father Kitima then wakaanza kufanya propaganda zao kwa kutumia picha ya Kitima huku wakisema TEC inawaunga mkono. Baada ya wiki mbili TEC walikuja na Tamko zito kuhusu mauaji ya watu ambayo Serikali haram ya Idd Amin Mama ilifanya Oktoba 29 na jinsi ambayo Polisi walikuwa wanaenda kwenye Hospital za Kanisa hilo kuomba miili ya watu na kulazimisha majeruhiwa wasitibiwe badala yake wapelekwe Mochwari. Serikali haram ikaishia kuumbuka 😂 Juzi Waziri haram wa Mambo ya nje kaenda Marekani na kupiga picha na baadhi ya Viongozi wa Serikali ya Marekani then wakaanza kutumia picha izo kufanya propaganda ili kuwadanganya Watanzania ili waamini kwamba Marekani inaunga mkono Serikali ya chinja chinja. Hazijapita hata siku tatu, Leo Trump kaiingiza rasmi Tanzania kwenye nchi zenye partial travel ban to the US na Idd Amin Mama na wenzake wooote walioshiriki kuua wananchi waliokuwa wanadai haki zao wanaenda kupigwa full ban ya kuingia Marekani. Yani akina Msigwa walivokuwa wanapambana kusambaza izo picha na vicaption vyao eti “Tuko Marekani tunajenga na Serikali ya Marekani” haya sasa kiko wapi? Wahenga wanasema unaweza kudanganya watu lakin huwezi kudanganya milele, haya sasa ona mlivoumbuka halafu Girishoni @MsigwaGerson kajikausha kimya kama hajaona vile.😂 Huu ni mwanzo tu, Serikali haram inaenda kutengwa na nchi zote ambazo zinathamini uhai wa watu. Huwezi kuuwa watu zaidi ya elfu kumi halafu unataka kuact kama hakuna kilichotokea, damu za Watanganyika wenzetu ambao mliwauwa Oktoba 29 zinawalilia mpaka siku mnaingia kabrini.
Hilda Newton tweet media
Indonesia
11
110
543
24.1K
Tutuvengele1 retweetledi
Boniface Mwabukusi
Boniface Mwabukusi@Mwabuk2Boniface·
Hivi bado tuna watu timamu kweli wanaokifikiria uchaguzi na kurithishana vyeo( Nepotisin) kama Hirizi? Uchaguzi kwa Tume hii ,na Sheria hizi hizi zilizoleta Maafa na Mauwaji ya Kimbari nchini? Nadhani tunahitaji kupelekwa Mirembe kwa utalii wa Afya ya Akili. BAK MWABUKUSI.
Boniface Mwabukusi tweet media
Indonesia
112
203
860
87.5K
Tutuvengele1
Tutuvengele1@MussaMartin14·
@HecheJohn Wanajua kama ni VIBAKA na wametenda yote hayo kwa ULAFI WAO WA MADARAKA. UJINGA WOTE wameufanya wao, harafu wanakuja kututisha raia tunaolipa KODI na wao wanazitumia vibaya. MUDA NI MWALIMU!!!!! HATA KAMA HAWATAKI KUELEWA, WATALAZIMISHWA KUELEWA.
Indonesia
1
0
2
673
Tutuvengele1 retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Ukimsikiliza Mwigulu na ccm wenzake wanazungumza… utafikiri Nchi hii ni mali yao binafsi na sisi wengine wote ni wapangaji!! Unawezaje kuiba uchaguzi, ukajitangaza kwa nguvu, ukaua maelfu ya watu na wengine ukawafanya walemavu ili uwe kiongozi usie na ridhaa wala kura za umma. Alafu unapata ujasiri wa kukemea wale wanaokwambia umeiba, wale wanaotaka uchaguzi uwe huru na haki, wale wanaotaka Mwananchi ndie awe na sauti ya kuweka kiongozi anaemtaka. Tena unamwambia analeta vurugu na kuchafua Nchi… Hivi alieiba uchaguzi na kuua watu na yule anaesema utaratibu ufuatwe nani analeta vurugu? Nani anatumika kuchafua Nchi? Mwigulu Nchi hii sio mali yenu binafsi, wananchi wana haki na mamlaka yote na Nchi yao.. Acheni kutishia wananchi.
Indonesia
76
457
2.1K
41.9K
Tutuvengele1 retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Ukisikia maana ya roho mbaya ndo hii sasa! 🙄 Yaani unamweka jela Lissu huna ushahidi hata LEGAL basis huna tena - basi tu ili roho ifurahi! Ibilisi kabisa! But Tundu Lissu will be free soon Sijui kabla ya kilele cha #D25 akachomolewa na Gen Z ? #FreeTunduLissu #SamiaMustGo
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
16
252
1.1K
15.1K
Tutuvengele1
Tutuvengele1@MussaMartin14·
@MariaSTsehai NLIKUPENDA, NINAKUPENDA NA NITAZIDI KUKUPENDA, MUNGU NA AKUZIDISHE KATIKA MEMA YOTE. HBD KIPENZI YA WENGI!!!!! 🥰🥳🍇🍿 👏👏👏👏👏👏
Indonesia
0
0
0
5
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Grateful for another year and looking forward to life’s journey! As the Chinese curse says “may you have an interesting life” It has been very interesting so far 😅 but I am very thankful! Mungu bariki - safari yangu inaendelea - nashukuru kwa uhai 🙏🏽
Maria Sarungi Tsehai tweet media
English
481
509
3.9K
104.9K