Mussa Rajabu Sweya
1.4K posts


@EsirEid Nahisi kukuita tajiri la kihaya ni kama nakudogosha. Sikujui nje ya mtandao huu ila kwa ninayoyaona mdogo wangu kwa sasa naona mimi ntaku address kama "mtu wa watu" yani kama ile novel ya A man of the pipo ya mzee Achebe.
May Allah shower u with blessings
Indonesia

@kirigitim Niliskia wataleta option ya expression inayo dislike post
Naomba i harakishwe
Filipino

@PresenterNoah Huyu mpiga picha ni mtaalamu wakuexpose mapungufu ya watu au?
Alikuwa anaweza kuficha hii lkn alikataa
Indonesia

@fintanjr_ 🤣🤣🤣 Yani kama hujui hutojua
Yani u need to be secured by secure
Imeisha hio🤣🤣🤣
Eesti

@Sisimizi3 Huyo kwa boss wake ni "yes man"
Hata kama kunauovu ila boss kasema yeye ni YES tu
Kwakifupi huyu alikuwa mwanasiasa wakijeshi🤣🤣
Politics zinahitaji utashi kitu ambacho jeshini hawakubali
Kule ni orders tu
Hata kama utashi wako utasema it's wrong, if ur ordered
U DO IT
Indonesia

Nyanda za juu kusini, ikiwemo
Iringa
Mbeya
Njombe
Rukwa
Ruvuma
Songwe
Kutakuwa na hela kidogo, AJIRA kiasi na chuma ULETE za hapa na pale
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o@gabyconscious
Ufuatao ni utabiri wa hali ya hela
Filipino

@Twaha_Mwaipaya We ndio unamchongea sasa. Maana ushapitisha hukumu🤣🤣🤣
Filipino

@INFLUENCERjr We naona unataka kutucheleweshea mishara tu🤣🤣🤣🤣
USHINDWE
Indonesia

@mad_genius6 Ulimuona adam na hawa?
Au sijakuelewa vzr tafadhali!
Suomi

Shetani hajaomba msamaha mpaka leo.
DIGGALLER💯@Danford_tz
Mungu anasema tusamehe saba mara sabini, Sasa si bora yeye amsamehe shetani ili sisi tuishi maisha mazuri yasiyokuwa na dhambi?
Filipino

@mad_genius6 Umasikini unamaana pana sana. Kuna wengine ukiwaambia wewe ulisoma tayari wanakuona wewe unauwezo.
Je fikra zako ukikaa unaamini kila mtu akipatia kila kitu jibu litakuja kila mtu atakuwa tajiri?
Mtihani wa karatasi wote mtapata 100 ila maisha kuna tofauti kubwa sana
Indonesia

@mad_genius6 Hili neno ulio anza nalo "si unaona"
Kwanza lifute maana mi sijaona na nina uhakika hata wewe hujaona. Sasa sijui unaliwekaje kama nguzo ya msimamo wako.
Mara yesu alikufa kwa ajili yakufuta dhambi zetu, ila ww unasema kuhusu uokovu
This thing is crazier eti hadi kuna ubaatizo
Indonesia

@MussaSweya Si unaona ata Adam na Hawa nao walikaza vishipa?
Tubuni na Muiamini injili mpate wokovu.
Indonesia

@SikilizaTogolan @tonytogolani Hii mkubwa kuna conflicting notions in my head.
Mi nafahamu ukiwa na boss we ni mtumwa. We unakiongozi au mtu aliejuu kwa cheo ila sio boss. Boss ana-dictate.
Slaves wana category
Perharps u r a happy slave
Being happy doesnt deminish u being a slave
U shouldnt b 1 kwa perks zako
Filipino

@papaa_prof @godbless_lema Samahani lkn, we unakumbukumbu ya shetani kukataa kukusujudia?
Kumbukumbu yako unahisi ulikuwa na umri gani?
Jiulize kwanini kila dini ina mungu ila shetani ni mmoja?
Indonesia

@MussaSweya @godbless_lema Mungu yupo karibu yako ndio maana una heshima ya kuamua vile unavyotaka kuamini na wala hakushinikizi ila neno ni moja tu kila goti litapigwa. Kumbuka Mungu alikupa heshima ya kusujudiwa na malaika wote ni iblisi tu ndio alikuonea wivu mwanadamu na hakukusujudia, huyo si rafiki!
Indonesia

Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha. Ukiyatafakari maisha kwa kina, utajifunza mengi, lakini zaidi ya yote utajifunza upendo, huruma, haki na utu wema ndio vitu vya msingi ktk kuishi. Maana hapa duniani tunapita kwa kasi kubwa sana, haijalishi tunamiliki nini au sisi ni nani. Kifo ni kumbusho kuwa kesho yetu haipaswi kuwa chanzo cha maumivu kwa wengine hata kidogo. Nafikri hii ndiyo maana halisi ya kuishi , kuacha alama ya wema na upendo si majeraha mioyoni mwa watu. Maumivu ya kuondokewa ni makubwa, lakini kumbukumbu nzuri ni tiba ya moyo.
Indonesia

@stvnsonscreen05 @godbless_lema Hilo ndio jibu la maswali yangu?
Unazungumza kama vile ww ya kwako haitofika.
Indonesia

@MussaSweya @godbless_lema Wewe subiri siku yako dingii wacha longolongo
Indonesia
















