Benitho Mwapinga
866 posts




Bodi ya Wadhamini CHADEMA Yavunja Katiba ya Chama, Msajili Awachukulie Hatua Kali Na Mwandishi Wetu Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imevuka rasmi muda wake wa kikatiba bila kufanyiwa uteuzi upya, kinyume na matakwa ya katiba ya chama hicho. Kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa, bodi hiyo inapaswa kuhudumu kwa kipindi cha miaka mitano tu kabla ya Baraza Kuu kuitishwa kwa ajili ya kuteua wajumbe wapya. Hali ilivyo sasa inaonesha wazi kuwa bodi hiyo ipo katika mwaka wa sita bila kufanyika kwa mchakato huo muhimu wa kikatiba. Kutokuitishwa kwa Baraza Kuu kwa muda uliopangwa kunamaanisha kuwa uongozi wa bodi unaendelea nje ya uhalali uliowekwa na katiba ya chama. Katiba ya CHADEMA, kupitia ibara ya 18(a), inaeleza bayana wajibu wa kuitisha Baraza Kuu kila baada ya miaka mitano kwa ajili ya uteuzi wa Bodi ya Wadhamini. Kushindwa kutekeleza matakwa haya ni ukiukwaji wa moja kwa moja wa katiba hiyo na kunadhoofisha misingi ya utawala wa sheria ndani ya chama. *Ni muhimu sasa kwa Msajili wa Vyama vya Siasa kuchukua hatua za haraka za kuiwajibisha CHADEMA kwa kukiuka Katiba yao.*


Nilimpata huyu mtoto ni kiwa katika kipind kigum sana mahakama polis magereza ndio zilikuwa makao yangu mda wote kunamda nilikuwa na jihis aibu sana kuitizama familia maana nilikuwa naona kama nawatia aibu acheni nifanye maisha yangu mambo ya sio nihusu niyaache kila mtu na yake

Lema @godbless_lema kabla hajawa mbunge alikuwa ana miliki genge la majambazi Arusha likihusika na uporaji wa Dhahabu na ujambazi kwa Ujumla.

🚨 TIBAIJUKA, UMEKOSA HAYA? MAHAKAMA NI CHOMBO HURU NA MUHIMU, OMBA KADI YA CHADEMA LAKINI SIO KUHAMASISHA VURUGU 📍Katika hali isiyo ya kawaida, Kwa kauli na mienendo yake ya hivi karibuni, Anna Tibaijuka @AnnaTibaijuka ameonesha wazi kukosa haya kwa kiwango cha kutisha, anafanya mambo ambayo hata mtoto mdogo hawezi kufanya. ‼️Ni jambo la kusikitisha na la hatari kuona kiongozi wa umma mstaafu akitoa matamshi yanayochochea dharau dhidi ya mhimili wa mahakama. Kauli zake, zinazo hamasisha vurugu, fujo na uasi kama njia ya kufikia malengo ya kisiasa, si tu zinapotosha historia ya harakati za uhuru, bali pia zinahatarisha amani na mshikamano wa taifa. ⭕️ Kauli za namna hii si za kubezwa, ni mbegu za machafuko. Ni fikra hatarishi zinazoweza kuligharimu taifa kwa damu, mali na mustakabali wa vizazi vijavyo. Hakuna kiongozi mwenye akili timamu anayeweza kusimama hadharani na kuhalalisha vurugu kisha ajione yuko sahihi. 🔻Cha kushangaza zaidi, inaonekana Tibaijuka anaamini kuwa athari za vurugu hazitamgusa, kwa fedha zake anaweza kukimbilia nje ya nchi na kuyaacha madhara kwa wananchi wa kawaida. Huu si tu mtazamo mufilisi, bali ni dharau ya wazi kwa Watanzania na uhai wao. 🔷️ Na si mara ya kwanza kwake kuonyesha dharau na kauli za hovyo. Historia yake imewahi kugubikwa na tuhuma nzito za ufisadi, ambazo alizipuuza kwa kauli nyepesi akidai fedha hizo zilikuwa “hela ya mboga.” mtu huyu anapaswa kutazamwa kwa jicho la kipekee. 📌 Tangu alivyoshindwa katika harakati zake za kisiasa amegeuka mbogo na yuko tayari kwa lolote, ikiwemo kuhamasisha vurugu. Aina hii ya siasa za jazba na kejeli kwa taasisi kama Mahakama haina nafasi katika taifa linalojenga misingi ya utawala wa sheria na maendeleo endelevu.

CHADEMA Rasmi sasa wamekua chama cha kutetea mashoga na wasagaji Nchini,Serikali inapambana kulinda maadili ya jamii lakini CHADEMA wanapambana kukwamisha juhudi hizo. Ni aibu Mjumbe wa kamati kuu wao @godbless_lema kaamua kutoka hadharani na kukwamisha uamuzi huo kwa kutetea msimamo wa chama chao juu ya ushoga na usagaji kufuatia uamuzi wa serikali kupiga marufuku taasisi nchini zinazojihusisha na mpango huo kwa mgongo wa Dini na msaada. Mtuelewe tu CHADEMA ajenda zao zinatokana na Wakoloni wetu wa zamani


TWAHA MWAIPAYA: CHADEMA ISIPOJIREKEBISHA, INA HATARI YA KUWA KAMA KUKU ALIYEKATWA KICHWA. Chadema iko katika hali mbaya mno kwa sasa, imefika wakati vijana ambao ndio tegemeo la chama wamekuwa wendawazimu, TWAHA MWAIPAYA badala ya kujenga hoja na kukosoa kwa fact, yeye anawaza kujirekodi akipiga punyeto na kutuma mitandaoni(Japo anajitetea kuwa ni bahati mbaya). Leo Twaha, ameshindwa kutofautisha maendeleo ya awamu ya sita na kipindi awamu ya tatu ya serikali ilipokuwa inaanzisha Taasisi mbalimbali baada ya kufanya ubinafsishaji wa mashirika. Mfano wa Twaha Mwaipaya unaibua maswali juu ya umakini na uelewa wa masuala ya kitaifa, hasa pale anaposhindwa kutofautisha muktadha wa maendeleo ya sasa na vipindi vya nyuma vya serikali. Siasa zinahitaji hoja, si mihemko. Tangu Machi 2021, Rais Samia Suluhu Hassan ameongoza mageuzi yenye msingi wa 4R (Maridhiano, Mageuzi, Ustahimilivu na Ujenzi upya), akilenga kuifikisha Tanzania kwenye uchumi wa kipato cha juu ifikapo 2050. Huu ni mwelekeo wa kimkakati, si maneno matupu. Uchumi umeendelea kuimarika kwa kasi, uwekezaji wa nje umeongezeka, ajira zimezalishwa, na sekta kama madini, kilimo na utalii zimepata msukumo mpya. Haya ni matokeo yanayoonekana. Serikali imewekeza kwa nguvu katika miundombinu mikubwa kama reli ya kisasa (SGR), Mradi wa Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), pamoja na uboreshaji wa viwanja vya ndege na bandari, jambo linaloifanya Tanzania kuwa kitovu cha biashara Afrika Mashariki na Kati. Katika sekta ya afya, ujenzi wa hospitali, upatikanaji wa vifaa tiba na mpango wa Bima ya Afya kwa Wote umeongeza huduma kwa wananchi na kupunguza changamoto za matibabu. Elimu nayo imeimarishwa kupitia mageuzi ya sera, ufadhili wa masomo na uwekezaji katika rasilimali watu, hatua inayojenga msingi wa taifa lenye ujuzi na ushindani. Kilimo kimepata nguvu mpya kupitia miradi ya umwagiliaji, pembejeo na masoko, hivyo kuongeza uzalishaji na kipato cha wakulima, ambao ndio uti wa mgongo wa uchumi. Wanawake na vijana wamewezeshwa zaidi kiuchumi na kushirikishwa katika uongozi, huku diplomasia ya kimataifa ikiimarishwa na kuleta fursa zaidi za uwekezaji na ushirikiano. Kwa ujumla, Tanzania inaonyesha mwelekeo thabiti wa maendeleo unaohitaji kulindwa. Vyama vya upinzani vinapaswa kurejea kwenye siasa za hoja na sera; vinginevyo vitapoteza dira na imani ya wananchi na hapo ndipo mfano wa “kuku aliyekatwa kichwa” unakuwa halisi. @Twaha_Mwaipaya



Wakati kesi ya UHAINI inaanza kusikilizwa walikuwa na matumaini mengi hadi wakadiriki kusema "Wamejichanganya." pasipo kujua kunae mtaalamu wa darasa huru la Sheria wakili wa serikali nguli kabisa Nasoro Katuga. 🤞✍🏿 The rest Is history, Chiba anakabiwa juu kwa juu 😀😀🤭

“Yaliyotokea Octoba 29 ,yalituumiza na kutuhuzunisha, ni mara ya pili taifa letu lilitumbukia kwenye machafuko ya uchaguzi mkuu baada ya maafanya mwaka 2001 kule Zanzibar . Tunatoa pole za dhati kwa watanzania wote waliopoteza wapendwa wao na walioharibiwa mali zao na tunasubiri ripoti ya Tume ya Uchunguzi kwa tahadhari kubwa”Mh.Salum Mwalim





