Sabitlenmiş Tweet
NAJITAFUTA
37.3K posts

NAJITAFUTA
@NAJITAFUTA
PEOPLE FORGET TO BE PEOPLE
Popote ilipo fursa Tupo 👌 Katılım Ekim 2023
2.8K Takip Edilen2.4K Takipçiler
NAJITAFUTA retweetledi
NAJITAFUTA retweetledi
NAJITAFUTA retweetledi
NAJITAFUTA retweetledi
NAJITAFUTA retweetledi
NAJITAFUTA retweetledi
NAJITAFUTA retweetledi
NAJITAFUTA retweetledi
NAJITAFUTA retweetledi
NAJITAFUTA retweetledi
NAJITAFUTA retweetledi
NAJITAFUTA retweetledi

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, amesema hadi mwezi Aprili 2026, jumla ya Wateja 23,156 Vijjni na Mijini wamefungiwa Dira za Maji za Malipo Kabla (Smart water meters) ikilinganishwa na Wateja 13,526 kipindi kama hiki mwaka 2025.
“Wizara imezielekeza Mamlaka za Maji na Vyombo vya Watoa Huduma Ngazi ya Jamii kuwafungia Dira za Maji za Malipo Kabla (smart water
meters) Wateja wao ikiwemo taasisi za umma, lengo ni kupunguza malalamiko ya Wateja kwenye ankara za maji, kuongeza ufanisi kwenye ukusanyaji wa maduhuli kupunguza malimbikizo ya madeni, kudhibiti matumizi holela ya maji pamoja na mivujo ya maji”
“Aidha, Wizara imeandaa Mkakati wa Kuharakisha Ufungaji wa Dira za Maji za Malipo Kabla (Strategy for Accelerating Installation of Smart Water Meters 2026-2030), lengo ni kuongeza kasi ya ufungaji wa mita hizo, hadi mwezi Aprili 2026, jumla ya Wateja 23,156 Vijjni na Mijini wamefungiwa Dira za Maji za Malipo Kabla ikilinganishwa na Wateja 13,526 kipindi kama hiki mwaka 2025, baadhi ya Mamlaka za Maji na Usafi wa Mazingira zilizowafungia Wateja Dira za Maji za Malipo Kabla ni pamoja na Iringa ambayo imefunga Dira za Maji za Malipo Kabla 6,525, Dodoma 832, Tanga 3,521, Dar es salaam 234, Arusha 343, Moshi 463, Bunda 577, Busega 231, Mafinga 489, Masasi - Nachingwea 530, Nzega 633, Songea 338; na kwa upande wa Vijijini, RUWASA imefunga jumla ya Dira za Maji za Malipo
Kabla 1,480 kwenye Mikoa mbalimbali.
“Ufungaji wa Dira za Maji za Malipo Kabla umeonesha mafanikio kwa kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa maduhuli na kupunguza malalamiko ya Wateja, kutokana na gharama kubwa ya dira hizo, Wizara imeweka mkakati wa kuhusisha Sekta binafsi ili kuongeza kasi ya ufungaji wake na lengo ni kufunga dira 1,114,133 kwa Wateja wa Mijini ifikapo mwaka 2030”
#MillardAyoUPDATES

HT
NAJITAFUTA retweetledi
NAJITAFUTA retweetledi
NAJITAFUTA retweetledi
NAJITAFUTA retweetledi
NAJITAFUTA retweetledi

We are strengthening our relations with Tanzania to deepen cooperation and unlock greater mutually beneficial opportunities.
Our focus is on expanding trade and investment, scaling up joint infrastructure development, and advancing friendly policies that deepen our integration. This is because we recognise that the progress and setbacks of Kenya and Tanzania are intertwined.




English




























