Battōsai
1.7K posts


@NBasinda @DadaConso 1. Sean
2. Pierce
3. Roger
4. Craig
5. Dalton
English

Mimi nilikuwa nampenda aseeh..
And the main reason is, aliyekuwa ananunua the VHS (my grandpa) loved him.. akaniambukiza (unajua kids na grandparents 😊😊)
Babuu@zeanonymouspoet
@DadaConso Roger Moore hakua Bond pendwa ila Octopussy ni one great Bond Movie Nta add kwenye hiyo list yako Dr No Goldfinger Diamonds are Forever Die Another Day The World is Not Enough Golden Eye
Filipino

@zeanonymouspoet @DadaConso So who is your favourite 007? Mine Pierce Brosnan
English

@DadaConso Funny thing my Grandpa was a bond fan too na yeye alimpenda zaidi Sean hence the influence.
Mom loved everything Bond so nilipata kuelewa the storyline vizuri
Rumor has it Pimbi wa kwenye Sani ni interpolation ya yule character kwenye "The Man With The Golden Gun" 😄
English

Day well spent ❤️ i am so grateful to have such a sweet friend in my life @LocalFundi_ love you so much babysis❤️
English

@FrankFedric Unajua huyu dada ni rafiki yangu... Nimeshindwa Ku comment kwenye post yake.. Sjui kawaje aisee!!!?
Indonesia

Hapo unampa UTD; Arsenal na Liver. Unakaa zako kusibiria muamala usome tu 😎😎😎
Premier League@premierleague
We are BACK. 🍿
Filipino

@zeanonymouspoet @1960Remija Hii ya managers wa mchezaji si ilifutwa na FIFA, kipindi cha sakata la kina Teves? Unakuta muhuni mmoja anamiliki mchezaji, na kuleta balaa. TFF itakuwa imelala mno
Filipino

@1960Remija Ifike pahala agents ndio wafanye kazi hawa so called manegers wengi makanjanja.
Agents wana regulations tofauti ila hawa managers hawana. Naona TFF imevumilia sana hawa wavuruga mpira
Filipino

@NBasinda @mugishankoronko @association_mat Where are you my brother??? Can I see you this afternoon?
English

My brother @mugishankoronko I'm yet to see your post like this.... Neither from your page nor from @association_mat
Anna Tibaijuka@AnnaTibaijuka
Dk. Margareth Swai. RIP. KAJINYONGA. Utafiti duniani umebaini kuwa madaktari wa kike ni kundi linaloongoza kwa kujinyonga kutokana na stress mahali pa kazi. Ni muhimu taifa tukawa na mkakati kuthibiti tatizo hili nchini petu kwa kutambua lipo. Familia poleni. Mungu awape nguvu.
English

@BDonD_ @MickyJnr__ Dogo ni bonge la mido kwa Tz kwa sasa. Ningesema pia Nashon ila anafaulo nyingi.
Filipino

🇿🇦 I Kaizer Chiefs are looking for a midfielder with work rate, touches, passes and instincts similar to Lamine Camara at RS Berkane. 🚨👀
Who can you RECOMMEND, guys? 👀
#Transfers
#AfricanFootball
#Amakhosi4Life

English

@zeanonymouspoet Umeongea kwa uchungu sana hadi nimeumia na mimi ingawa sijawahi mpa hela!
Indonesia

Waliokua wanampa mpa hela pale Deluxe Magomeni miaka ile; baada ya kukata viuno na kuchekesha sijui wanajisikiaje kwa sasa???
Maana they empowered a fool now he wants to teach us how to rule
HABARIMPYA TV@HabarimpyaTv
Steve Nyerere amvaa Mwanasheria wa Kenya aliyekuja Tanzania kumtetea Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu anayekabiliwa na kesi ya uhaini.
Indonesia

@DStv Dear DSTV, I have been referred to the app, from the app to WhatsApp, WhatsApp to self-service *150*53#, to dstv.com/en-tz and round and round. Two days now, my connection is not restored.
English

@zeanonymouspoet @MwansasuSnr Match mbili tu. Kwa Simba huwa anakilegeza, ni match ya juzi tu tumeshangaa kawa serious.
Indonesia

@MwansasuSnr Lengo lake ni kuongeza mechi 4 kwenye ligi zenye angalau ka msisimko. Maana akimalizana na Team za KKoo anarudi Factory Mode
Filipino

Hii timu malengo ya kuanzishwa kwake ilikuwa ni kuburudisha WafAnyakazi wakishatengeneza mikate 😂
Azam FC@azamfc
68' Azam FC 0-0 Mbeya City #crdbfc #weareazamfc #timuborabidhaabora
Indonesia

@Mwija18 @MsBrown_Tz Yupo sawa. Kama mtu anazikwa kwa kanuni za kidini, ieshimike. Otherwise azikwe kiselebriti tu.
Filipino

@MsBrown_Tz kuna mambo chungu mbovu ya kulalamikia, lakini yeye kwa ufinyu wa akili zake kaliona hili
Indonesia

Wanashindwa kuelewa kuwa Dida alikua kipenzi cha dini zote….. Christians huwa wanawasindikiza wapendwa wao mpaka kwenye nyumba zao za milele bila kujali gender wala umri, kwa mtu maarufu kama Dida ili jambo la kulalamika.
Latto 𝕏@Rydx_017
Kuna Jambo limetia...
Indonesia




