ˢʰᵘᵇʷᵃ ˢᵉⁿˢᵉⁱ
3K posts


Wachezaji wa ku twerk hawa sitakagi.
Just Chelsea@justcfc
🚨Chelsea linked Yan Diomande just posted this on Snapchat
Indonesia

@MarekaMalili Angalia gemu, Rashidi ni yuleyule tofauti ni ligi tu...la liga spaces na time unapata yakutosha...Epl huwezi pata.
Indonesia

Bayern 2012 - Lucky
Man City 2021 - Pep overthought
PSG 2025 - players were tired
CFC/ASROMA@georgelamps
Chelsea is the only club in my lifetime that has never been given credit for beating big teams on big stages
English

@YcuL___ kafatilie ule mwaka wa mauzo kwa pepsi na coca alivo saini ile contract utaona.. yale matangazo na nyimbo zilikua nzuri sana so inavutiwa to try it
Filipino

Hata mimi naona influence yake kwenye fashion ni kubwa zaidi
Bin Laden@BinLaden1j
@makiwa007 @YcuL___ Kweny nguo naona nirahis ku influence tofauti na vinywaji
Filipino

@samz__23 kwenye izo mechi tatu game ambayo kweli mlishinda ni io ya PSG cuz you outclassed those farmers ila izo zngine shngalia tu ushindi ila ukweli unaujua
HT

@Addy_Adams @NShubwa Hao vijana ni vitoto vya 2000,ambavyo kwao maadili sio wimbo, kwao kupinga lila jambo la serikali wanahisi ndio harakati, wanafurahia utu wa mwanamke mjamzito unavyo dhalilishwa
Indonesia

Sio kila kitu cha kupinga,,, yuko SAHIHI
Au mkubwa unaona sawa MKE wako kwenda KUANGALIWA njia kama imetanuka au bado??
Peter Madeleka@PMadeleka
Hicho 👇 ndiyo KIPAUMBELE cha MBUNGE.😂😂
Filipino

@Carnivorous_07 @Addy_Adams Kuna ethics zinawaongoza madaktari. Msilete akili zenu za MIHEMKO kwenye profession.
Indonesia

@samz__23 Ubaya wa kwetu, ukituma txt reply ni "packages"...uchague ww tu
Filipino


Timu ina Mbappe, Jude, Vini, Rodrigo, Valverde inaachwa points 11 na timu yenye udagaa udagaa kutoka La Masia (watoto wa shule) 🙌
FC Barcelona@FCBarcelona
ONE. STEP. CLOSER. 🏆
Indonesia

















