Necto Kitiga

40.9K posts

Necto Kitiga banner
Necto Kitiga

Necto Kitiga

@NectoKitiga

Makamu Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa 2025/2029.

Iringa, Tanzania Katılım Ağustos 2018
2.5K Takip Edilen47.6K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Necto Kitiga
Necto Kitiga@NectoKitiga·
Mithali 9:11 Maana, kwa msaada wangu siku zako zitazidishwa; Na miaka ya maisha yako itaongezwa. Amina 🙏 Happy Birthday 🎂 To Me 🙏
Necto Kitiga tweet media
Filipino
18
32
241
0
Necto Kitiga retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Huyu Bwana Kombo anazidi kuthibitisha kwamba waliua watu bila sababu ya msingi… Chande alisema kulikua na training na silaha , kombo anasema mawe!!! anasema ukimlembea jiwe polisi, anatakiwa kukupiga risasi.. Je Bwana Kombo yule mama Mtanganyika pale Arusha, Video yake Inaonekana anakimbia , akapigwa risasi mgongoni, alilemba jiwe kwa nani? Watu wameuwawa wakiwa nje ya Mageti ya nyumba zao, wengine kwenye sebule , kuna vijana Mwanza mmeaua wakiwa wanaangali Mpira… Unasema tumeheal!!!! Hamtaweza kufukia mauaji ya kutisha mliyofanya ili mjitangaze kwenye uchaguzi ambao haukuwepo… wote mnakula pesa za damu na dunia haitakaa kimya.
Indonesia
85
247
834
42.1K
Necto Kitiga retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Wabunge haram wakiongozwa na @esteramosbulaya wanasema kwamba Serikali ya Marekani imewahukumu maccm bila kuwapa nafasi ya kujitetea. Sasa wao kabla hawajawapiga risasi na kuwauwa Watanganyika wenzetu zaidi ya elfu kumi waliwapa nafasi ya kujitetea.?
Indonesia
21
127
364
9.2K
Necto Kitiga retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
MADURO anasema waliua waandamanaji kwa kuwa walibeba silaha za moto na kuua askari. KOMBO anasema waandamanaji waliuwawa kwa risasi kwa sababu waliwatupia mawe askari. MaCCM kaeni kitako na mkubaliane kutoka na uongo unaofanana kwanini mliwaua waandamanaji kwa risasi za moto.
Filipino
11
129
774
12.8K
Necto Kitiga retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Kwahiyo Waziri Kombo yeye akitaza hii video anaona hawa Watanganyika wanawarushia mawe Polisi au sio?😭😭😭
Indonesia
23
108
370
10.2K
Necto Kitiga retweetledi
Brenda Rupia Jonas
Brenda Rupia Jonas@BrendaRupia·
Huu ni mkutano wa hadhara wa CHADEMA katika Kata ya Ndato, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya. Hapa hakuna viongozi wa kitaifa wala watu waliosombwa kwa malori. Wananchi wamejitokeza kwa hiari yao wenyewe, jambo linalodhihirisha wazi kuwa CHADEMA ndiyo chama chenye majibu na kinachosimama pamoja na wananchi. Tuendelee kukijenga chama chetu kwa kukichangia TONETONE kupitia namba: 0744 446969 Jina: CHADEMA HQ
Indonesia
15
113
584
8.5K
Necto Kitiga retweetledi
Official Bavicha Taifa
Official Bavicha Taifa@bavicha_taifa·
Katibu Mkuu BAVICHA @duahamud ameambatana na Mwenyekiti BAVICHA Kanda ya Kusini na Mwenyekiti BAVICHA Mkoa wa Temeke katika ibada ya Eid al Adha katika msikiti wa Gadafi Dodoma na baada ya ibada hiyo Katibu Mkuu alisisitiza umuhimu wa kuiishi haki kwa mstakabali wa taifa letu.
Official Bavicha Taifa tweet mediaOfficial Bavicha Taifa tweet mediaOfficial Bavicha Taifa tweet mediaOfficial Bavicha Taifa tweet media
Indonesia
1
48
217
4K
Necto Kitiga retweetledi
KAUNYA YOHANA
KAUNYA YOHANA@YohanaKaunya·
Hatimae nimerejea uraiani baada ya miezi 6 katika kuta za Gereza R/Bunda. Mateso yote niliyopitia tangu 01/11/2025 - 22, Mei 2026 yamenipa nguvu ya mapambano zaidi. Sasa basi ili kuiondoa CCM Madarakani lazima tuwe na Vijana Watundu, Vijana Wakorofi na Vijana wenye Hasira.
KAUNYA YOHANA tweet media
Indonesia
84
305
1.6K
25.9K
Necto Kitiga retweetledi
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
Tutukatane tarehe 30/5/2026 Kasulu Mjini na tarehe 31/5/2026 Urambo Mjini.
Adv. Dickson Matata tweet media
Filipino
3
122
445
3.8K
Necto Kitiga retweetledi
Vitus Nkuna
Vitus Nkuna@VitusNkuna·
✌️✌️✌️
Vitus Nkuna tweet media
QME
2
57
500
4.8K
Necto Kitiga
Necto Kitiga@NectoKitiga·
Huu ni Mkutano wa hadhara wa CHADEMA Kata ya Ndato, Rungwe Mkoani Mbeya.🙌
Indonesia
0
7
55
1K
Necto Kitiga
Necto Kitiga@NectoKitiga·
Kahama muda huu 🔥🙏
Necto Kitiga tweet mediaNecto Kitiga tweet mediaNecto Kitiga tweet media
Indonesia
0
5
36
247
Necto Kitiga retweetledi
Necto Kitiga
Necto Kitiga@NectoKitiga·
Hiki chama kina DNA na Watanzania, Ni chama chao hawana chama kingine. Mtu asijitoe ufahamu akafikiri anaweza kucheza na huu umma kijingajinga kama bwana Shosti Nyahoza. Sisi ni CHADEMA ❤️🔥
Necto Kitiga tweet mediaNecto Kitiga tweet mediaNecto Kitiga tweet mediaNecto Kitiga tweet media
Indonesia
1
20
74
551
Necto Kitiga retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Leo kwenye #ToneTone la viwanja vya Nyankumbu, Geita Mjini Wanageita wamekichangia Chana zaidi ya shilingi 2,559,000 Ungana na watu wa Geita kwa kuangusha tone lako kwenye hii namba Mpesa 0744446969 Jina- CHADEMA HQ. #PeoplesPower.
Indonesia
5
93
549
7.2K
Necto Kitiga retweetledi
PABLO
PABLO@PabloYende·
Watu wawili ambao hua naamini hawata badilika bongo ni Heche na Lissu
Filipino
43
95
992
19.6K
Necto Kitiga retweetledi
Nice Gisunte
Nice Gisunte@Nice_Gisunte·
“Dada uliyevaa nguo ya Chadema nakuita toka kule huitiki… nyinyi mliopo Chadema ndio mnasimama na @TunduALissu hebu njoo uchukue maji ya kunywa hapa nakununulia” - dereva wa bodaboda baada ya kuniona mtaani. @ChademaTZ2 inapendwa na wananchi mpaka viongozi wake wanapendwa ✌️✌️
Nice Gisunte tweet media
Indonesia
12
82
525
6K
Necto Kitiga retweetledi
Chadema Tanzania
Chadema Tanzania@ChademaTZ2·
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani Mhe. Boniface Jacob akizungumza katika mkutano wa mwendelezo wa Operesheni #KatibaMpya #FreeLissu leo tarehe 17 Mei 2026 Geita Mjini, Kanda ya Victoria.
Chadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet media
HT
1
43
150
1.5K