servant of God.
1.7K posts

servant of God.
@OSenkondo
| song writer | gospel artist 🎚️🎹🎼🎤🎸| minister Chelsea member ⚽ | 🌎🌏| Church ⛪ Tanzania.🇹🇿
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Eylül 2014
739 Takip Edilen931 Takipçiler

@coybarker God bless you and your wife Dr. Coy Barker for your ministry
English

Eeh M/Mungu uturuzukuye, tunaikabidhi timu yetu mikononi mwako. Ikikupendeza, tujaalie mchezo mwema usiku huu. Nasi tutarejea kukushukuru. #NguvuMoja🦁

Indonesia

@kaji_sijo Mungu aliimuumba mtu asiwe robot, Kila mtu ana uhuru wa Maamuz na Vile anavyotaka kuishi
Eesti

Kwenye picha ni Shafilea Binti alie uliwa kikatili na wazazi wake wawili hao.
-
Akitoa ushahidi mahakamani dadaake mdogo wa Shafilea kwa jina ni Alesha kwa uchungu huku akilia alisema "wazazi wetu ndio walio muua dada, Mama alimsukuma dada kwenye kochi kisha kusema mmalizieni haraka afe.
Anaendelea kusema hii ilikuja baada ya ugomvi mkali kuibuka kati ya Dada na Wazazi wetu yaani mzee , Iftikhar na mkewe Farzana Ahmed
Kisa ni nini? Walimuua kifo gani?
Shuka Na Uzi mfupi 🧵⤵️

Indonesia

@faraja_zungu Matatizo yalianzia siku ile alipokwambia umtafutie kazi, Irine aliishi na wewe kijanja sana, na Hivi ndivyo wanawake wengi wanaishi na waume zao, afu ni wapumbavu Sana, wakiwa ofisini wanadanganyana..Shoga usikae kizembe, mwenzio najenga madale na mume wangu hajui..huu ni ujinga
Indonesia

Mwaka 2016 nilifunga pingu za maisha na Irene, alikuwa amehitimu elimu ya chuo kikuu hapa
Ndoa yetu ilikuwa na amani sana kiasi nikawa najuta kwanini sikufanya maamuzi haya mapema
Miezi sita ilikatika tangu tufunge ndoa hapo mke wangu akaanza kunisumbua akitaka ajira rasmi 👇:
Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 Indonesia

@ayubu_madenge @grok hebu nielezee Kwa Nini msalaba unegeuzwa chini juu, juu chini kwenye picha ya askofu Nini Maana yake?
Indonesia

@LuhagaMpina @grok Huyu mheshimiwa hii ni account yake kweli?
Filipino

Mnamwona coordinator ndo anatoa maelekezo?
“Tusiruhusu maswali”
Haulizi! Anaelekeza!
Nikiwaambia kitu mkibisha nawaacheni tu 🤣 maana #TutaelewanaTu
Indonesia

@ayubu_madenge Yes hakuacha utaratibu huu, Yesu alichagua wanafunzi wake ambao wakaja kua mitume, walichaguliwa hadharani,
Indonesia

@ayubu_madenge Itachukua miaka Mingi kupata papa kutoka afrika
Indonesia

Panic ,mbona kubwa sana ? Kwani Chadema haitakiwi kupingwa ? Ndio Udikteta tuliousema jana umaendelea kujidhihirisha waziwazi .
MwanaHabari@MwanaHabariNews
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA), John Heche amesema Wajumbe wa Sekretarieti ya zamani ya CHADEMA waliojiondoa kwenye Chama hicho hawajabaguliwa kama wanavyosema bali kilichowaondoa ni nongwa baada ya Mwenyekiti mpya Tundu Lissu kuunda Timu yake
Indonesia
servant of God. retweetledi

@EduTalkTz @grok hebu tueleze, gharama ya jeneza la papa ni bei Gani?
Indonesia

@EmanuelHincha @mdudenyagali @ayubu_madenge Hoja ni Mtume Petro kua papa wa kwanza, je jambo hili kimaandiko na kihistoria Lina ukweli?? Kanisa la catholic lilianza Karne ya TATU, na Petro alishafariki Kwa kuuwawa, je inakuaje Petro kua papa wa kwanza
Filipino

@mdudenyagali @ayubu_madenge Ukristo ulianza baada ya Yesu kufa..ila Roman empire iliupinga na kuwaua wakristo na kuwazushia mambo mengi ikiwamo Kuwaita cannibalists.kwahiyo ibada zilikua za siri sana..mtaguso wa Nisea ndio ulikuja kurasimisha ukristo..ila ukristo ukianza baada ya kifo cha Yesu.pentekoste
Indonesia

@Sativa255 @Dr_DGwajima Nimeipenda Sana Mh. Waziri @Dr_DGwajima Unajibu Kwa ustaha, Kwa Upendo na Unyenyekevu... Hakika Mungu Akuinue Sana. Hongera sana
Indonesia

@Dr_DGwajima huyu mtoto hajanyonya siku ya pili leo. Mamaake alikamatwa na polisi kosa lake ni kuenda kuhudhuria kesi ya LISSU.
Hakuwa na silaha yoyote ile, alikuwa na SIMU yake tuu. Leo mtoto anapitia mateso ya kushinda njaa kwasababu mamaake mpenda HAKI.
Najua ww unapigania haki za watoto na wanawake. Muonee huruma huyu mtoto. Amani mnayoihuburi ni TUNDA LA HAKI, HAKI sikuizi haipo Tanzania, vaa UMAMA muonee huruma huyu mtoto. Muachieni mama yake.
MURILO na SP ESTER MARTIN PETER wanajua alipo. Wakuonyeshe alipo HILDA. Sisi hawatusikilizi wanasema tunatumia lugha ngumu.
#FreeHildaNewTon
TUTAKUWEPO🫵🏾😎

Indonesia














