Sabitlenmiş Tweet
@Amujisiokum
9K posts

@Amujisiokum
@Odieman_255
I travelled to death and then went back to life, nothing surprises me thus whatsoever
Tabora, Tanzania Katılım Mayıs 2021
1.5K Takip Edilen1.2K Takipçiler
@Amujisiokum retweetledi

#NBCPL Hebu tuwe tu wakweli, unavyoona leo nani anaenda kupigika pale Meja Isamuyo?
#NBCPL #EastAfricaTV

Indonesia

@amina_hafidh @onlygodonsight Unazua taharuki tuu mtandaoni. Free ninja kwani kuna Nani kamshika? Sikaenda kwa mpenzi wake hukoo. Ukute kaenda kwa Mganga...🤣🤣🤣
Ila wanasiasa wanatuonaga mazezeta ya wapi sijuiii
Indonesia
@Amujisiokum retweetledi

‼️HABARI MBAYA‼️
Huyu kijana anaitwa James Temba ni ndugu wa Mwanamziki wa kundi la TMK Wanaume Family wakuitwa Mhe. Temba
James Temba alitekwa na watu wasiojulikana Jijini Dar es salaam siku kadhaa zilizopita jana mwili wake umeonekana ukielea mto msimbazi Tabata huku ukiwa hauna kichwa.
Huyu Msanii wenu pamoja na wenzake ni Makada wa CCM, tukiwaambia tuungane pamoja kupinga maswala ya Watu kutekwa, kuuwawa na kupotezwa huwa wanajivuta nyuma kwasababu wanadhan kwamba wao na familia zao wapo salama kwasababu wapo upande wa watekaji, leo na yeye limemkuta mtu wa familia yake.
Wapendwa hakuna ambae yupo salama ili wote tuwe salama inabidi kila mmoja bila kujali itikadi wala dini, tuungane kupinga vitendo vya Utakaji na yote yanayofanana na haya.
Hii nchi ni yetu sote, haiwezekani kikundi cha watu wachache ndo wawe wanaamua nan aishi na nani afe, HAPANA.
Indonesia
@Amujisiokum retweetledi

@Sativa255 @MariaSTsehai Anajisemeaga shangazi Maria @MariaSTsehai etii... Tutaelewana tuu mbona. Huu wimbo ni wetu sote. Hili pambio, lazima kila MTU alijue. Haijalishi ni mtoto wa ndoa au WA kambo...
Indonesia
@Amujisiokum retweetledi

Leo itaachaliwa Documentary ya wananchi kuanzia saa 9:00 Jioni, hakikisha unasubscribe @MO29TV YOUTUBE.
Filipino

@amprincess9 @officialabo85 @INFLUENCERjr Tricy. Seriously. Drop wigs. Do your natural hair. It's an honest opinion
NB: Vitu vyanguu
English

@VitusNkuna Bongo Zozo kasema: mnaweza kununua maridhiano. Lakini sio miiyo ya watu. Pigeni Sana risasi. Pigeni Sana. Tuuweni mnoo. Ila ukweli mnaujua. We are the people. And one day, we will be able to defend ourselves
Viva Chadema. Na niwaahidi. Siku Jambo likikaa upande wetu, hamtoamini

Filipino
@Amujisiokum retweetledi

@millardayo Ipo mikononi mwa Bunduki. Ni risasi tuu. Uuwe ndugu zetu kama mbwa, umewazika kikatili, kwa makaburi ya halaiki. Inastaajabisha kuwa bado Una nguvu za kuongea.
Dawa ya Moto ni Moto
Kuna siku hili taifa laitajipambania lenyewe. Ipooo siku

Indonesia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inaendelea kuweka misingi imara ya kuwawezesha Vijana ili waweze kushika na kuendesha Nchi kwa ufanisi, akisisitiza kuwa kundi hilo ndilo lenye idadi kubwa ya Watanzania kwa mujibu wa Sensa ya mwaka 2022.
Akizungumza leo Visiwani Zanzibar wakati wa kongamano la Maadhimisho ya Miaka 62 ya Muungano, Rais Samia amesema hatima ya Taifa iko mikononi mwa Vijana, huku akieleza kuwa Serikali imejikita katika kuwajengea uwezo wa kiuchumi, kuimarisha mshikamano wa Kijamii na kuweka mazingira bora ya kisiasa yatakayowawezesha kushiriki kikamilifu katika Uongozi na maamuzi ya Nchi.
“Vijana wangu kwa mujibu wa Sensa ya mwaka 2022, Vijana ndio wanafanya sehemu kubwa sana ya Taifa hili, sasa kama nilivyo sema hatima ya Nchi hii iko mikononi mwa Vijana, tunachofanya Serikali ni kujenga misingi na kuwajengea uwezo wa kiuchumi lakini pia kuiweka Jamii pamoja na kujenga mazingira mazuri ya kisiasa ili muweze kukamata na kuendesha Nchi” amesema Rais Samia. #MillardAyoUPDATES.

Indonesia


@taifa_mbunge zozo I know you have been disappointed. But as a nation, we as a people of Tanganyika, we are highly esteemed and committed to reshaping the future of this country. Peace is a product. But for now, let this nation bleed to its core. Let everyone understand who is the real enemy
English

@godbless_lema Vijana na watoto. Wake kwa waume. Walevi. Walokole. Mabishoo. Matozi. Pisi Kali. Kienyeji. Watoto WA shule za msingi. WA secondary. Vyuoni. Masela WA kitaa. Wahuni WA Boda. Vishandu. Wanangu WA magomeni. Raia WA Chugastan. Mbeya na Mwanza Wanangu wa Banda Umiza
HATUTASAHAU KAMWE!

Indonesia

@YoungAfricansSC Simba asomwe vizuri. Moalin ni noma. Morning homework. Tunataka ukata mdomo wa huyu anayejiita mnyama.

Indonesia

@YoungAfricansSC Anaehisi Azam kauza gàme asijali. Wakati wake utafika
Indonesia

@YoungAfricansSC Tumecheza kitu uzima Sana. Top maturity kutoka kwa kila player. Asinki ajitazame. Anamakosa mengi.
Damaro 🤙 fantastic
Okello.. mhh nisimalize maneno.
NB: kumbé mchungaji Maxi ukileta Bangi na yeye anazivuta. Amenikosha Sana.
Hii silaha inamuhusu dada Farida..

Indonesia















