High Voltage⚡

669 posts

High Voltage⚡ banner
High Voltage⚡

High Voltage⚡

@Pallangyo_

Katılım Temmuz 2023
1K Takip Edilen214 Takipçiler
High Voltage⚡
High Voltage⚡@Pallangyo_·
@mananajr_ Mpira wa Tanzaniaa bila yanga na simba utachambua nn?? Huwez susa yanga utakosa content mkuu Zaidi vipind vyao vya michezo vitapoteza uboraa na wadhamini
Indonesia
0
0
1
187
S.A.N.T.I.A.G.O 🗽
S.A.N.T.I.A.G.O 🗽@mananajr_·
Kamwe ukitoa haya mambo ya Kariakoo jamaa ni smart sana Kama kweli watafungua kesi kuhusu baadhi ya wachambuzi, wajiandae kutafuta wachambuzi wa timu yao Kitakachotokea ni kwamba wachambuzi wataachana na timu yao, kwa kusema hawataki kushitakiwa
Indonesia
19
8
93
3.3K
Learners Bookshop
Learners Bookshop@Vitabu247·
Unakumbuka aliyesema haya maneno ilikuwa mwaka gani? "We’ve seen war. We don’t want war, but if you want a war with the United States of America, there is one thing I can promise you, so help me God: someone else will raise your sons and daughters."
English
7
5
106
10.1K
Trica Online Store
Trica Online Store@TriciaAbou·
Ndizi Mzuzu na Kuku zimeanza kuchomwa saa 5 asubuhi ila mpaka saa1 usiku hazijaiva, Ikafika muda wa ndoa, bi harusi haoni gauni lake ghafla tu ikabidi watafute nguo mpya, Bwana harusi baada ya kuoa amelia sana sasa sijui walikua wanapambana na nini mpaka jamaa akatoa chozi 🙌🏻
Indonesia
7
21
448
28.7K
D A L A L I
D A L A L I@_zolendronic·
In my opinion, Azaboi ndiye mrithi sahihi wa Joti, dogo ana character nyingi na zote anafit vizuri
D A L A L I tweet media
Indonesia
48
28
505
25.5K
KAPETO🇹🇿
KAPETO🇹🇿@kapeto98·
Vijana Tunajichelewesha Tu Wenyewe, Imagine Hapa DSM unanunua Kiwanja Cha Kujenga 10M to 50M. Ukienda Mkoani Kama Arusha, Mwanza Tanga na Kigoma Unapata Heka Moja ya Shamba kwa 500K. Unanunua Unaamua Kujenga au Kulima.
Indonesia
51
14
296
22.2K
Futbal Planet ✴️
Futbal Planet ✴️@PlanetFutbal·
WANANCHI Nani Apunguzwe Hapo!? 👇 ➡️Djigui DIARRA 🇲🇱 ➡️Frank ASSINKI 🇬🇭 ➡️Attohoula YAO 🇨🇮 ➡️Chadrack BOCCA🇨🇩 ➡️Mousa Balla CONTE 🇬🇳 ➡️Duke ABUYA🇰🇪 ➡️Max NZENGELI🇨🇩 ➡️Celestin ECUA🇹🇩 ➡️Pacome ZOUZOUA🇨🇮 ➡️Allan OKELLO 🇺🇬 ➡️Prince DUBE 🇿🇼 ➡️Aurelio DEPU 🇦🇴 ➡️Lassine KOUMA 🇹🇩
Futbal Planet ✴️ tweet mediaFutbal Planet ✴️ tweet media
Italiano
74
22
547
29K
High Voltage⚡
High Voltage⚡@Pallangyo_·
@iddynonga_ Ila kanuni zimekosewa musa bala conte kuwa man of the match sio?? Usieke chuki na akili sehem moja
Indonesia
0
0
0
35
iddynonga_
iddynonga_@iddynonga_·
🎈Kila mashindano ya kanuni zake,Manula kuwa kipa bora ni kutokana na kanuni za michuano ya Mapinduzi,tusichanganye sheria na kanuni za mpira,muacheni kipa atambe bwana !!...
iddynonga_ tweet media
Filipino
9
5
290
10.7K
High Voltage⚡
High Voltage⚡@Pallangyo_·
@Malengo25 Weka malengo makubwaaa Usiogopee Njia zako sio zangu Muache kinana aote ndoto kubwa kwasbabu akishindwa kuwa jua atakuwa nyota
Filipino
0
0
0
16
MALENGOO
MALENGOO@Malengo25·
Kuna Dogo hapa anasema 👇👇 “namaliza chuo this year siwezi kuanza kazi mwaka huo huo lazima nipumzike kidogo then 2027 mwezi wa nne naanza kazi atleast nilipwe 2M without overtime niwe na save 1.5M kila mwezi for two years nitakua na nyumba Yangu ndogo ndogo ya 👇👇
Filipino
22
11
303
24.4K
Mchizi chizi kichizi
Mchizi chizi kichizi@mchizidamas·
Kabla ligi na CCL hazijarejea mmekubaliana kuwa Damaro anatosha pale dimba la kati au kuna mwenye pingamizi?
Filipino
4
9
159
6.9K
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
👉 Maisha ni kitu cha siri sana Mkubwa Phela kamsaidia sana Diamond kwenye kuhakikikisha anakua Bilionea wa muziki. 👉 Leo Phela analalamika kuwa anaumwa na anampigia simu Diamond hapokei, na wala msg hajibu anabluetick tu. 👉 Swali kwanini hapokei simu au kachoka kumtibia
Dr. Sisimizi tweet media
Filipino
39
11
325
37.8K
Shaffih  Dauda
Shaffih Dauda@shaffihdauda1·
Mechi za hatua ya Makundi AFCON 2025 kwa upande wa Tanzania zitachezwa ndani ya siku 7 [ Dec 23 - Dec 30] ◾️Jumanne Dec 23 Nigeria 🇳🇬 v Tanzania 🇹🇿 Uwanja , Stade de Fes uliopo katika Mji wa Fes/Fez na unaingizaa mashabiki 45,000 walioketi ◾️Jumamosi Dec 27 Uganda 🇺🇬 v Tanzania 🇹🇿 Uwanja ,Al Medina jina lingine Al Barid uwanja upo Jiji la Rabat na unabeba mashabiki 18,000 walioketi ◾️Jumanne Dec 30 Tanzania 🇹🇿 v Tunisia 🇹🇳 Uwanja , Prince Moulay Abdellah upo Jijini Rabat na unabeba mashabiki 65,000 walioketi Note : Bado siku 6 mashindano yaanze
Shaffih  Dauda tweet media
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
25
8
386
26.1K
High Voltage⚡
High Voltage⚡@Pallangyo_·
@prossoff Mze jana watu wamekupakia mundende hawapoii😅😅 Ingawa ulichosema sio kibaya ilaa ma bro hawaelewi
Indonesia
0
0
1
189
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Good Morning kwa wanangu wote. Wale wote mnaosoma post zangu, mnaojibu, repost au ku like hata msiosema lolote ila mnajifunza na kuniaminia. Mnaokuja ku appreciate DM etc etc, nipende kusema tu nawakubali sana na sintowaangusha. Pia, wale mnaoniamini na ku share matatizo au changamoto DM then tuna solve na mnasaidika nawapenda sana na nashukuru kwa kuniamini. Bila nyie wanangu hii account sio kitu kabisa, wale wanaohisi siwapendi wanawake mjue kabisa mnanikosea. Basically nayapenda haya maua, ila yale ninayoyakanyagia ni yale ambayo yamekingiuka na ntayaua wallah. Ladies wanajitambua wanasoma post zangu pia na kujifunza nawaaminia sana. Sini tuendelee kula Nondo sasa.😀
Indonesia
10
26
246
7.2K
Ms Bee🌹
Ms Bee🌹@asiliasali·
Hivi ramani za nyumba huuzwa bei gani?
Indonesia
45
24
371
26.7K
High Voltage⚡
High Voltage⚡@Pallangyo_·
@spana_Konki Kwmbaa khana box lake limeshalowana?? 😅😅mwamba anunue sabun alaf dada atupe mrejesho ili kama vipi tumdai khan pumbu zetu
Indonesia
1
0
3
2.1K
High Voltage⚡
High Voltage⚡@Pallangyo_·
@Malengoo Yaan kaka ibenge amsajili girimugisha na aijenge hilali vzr vile. Alaf ake kupendekeza usajili na kubakia na kina sop azam?? Ibenge ni kocha mwenye profile kubwa na hajapata wachezaji wakubwaa Pale azam watu wenye akili 3 tu feisal fuentes na msindo
Indonesia
0
0
2
550