Pepechu

5.3K posts

Pepechu

Pepechu

@Pepechu9

A farmer at Lengusero village/ Chelsea and Dar young African die hard fan. Fikra huru

Katılım Kasım 2019
360 Takip Edilen145 Takipçiler
MAESTRO 🎭
MAESTRO 🎭@maestrochance_·
Kama umetembea 🇹🇿 location inasoma wapi hapa 👇🏾
MAESTRO 🎭 tweet media
Indonesia
39
29
181
10.5K
Pepechu
Pepechu@Pepechu9·
@Happinesmlay Happy natamani sana hizi jeans ila kinachoniogopesha ni wasiwasi wa kupata kitu tofauti. Sijawahi kupata kitu sawa na nilichochagua kutoka mtandaoni.
Indonesia
1
0
0
6
HAPPNES MLAY
HAPPNES MLAY@Happinesmlay·
Kindly reposts Size 32-42 45,000
HAPPNES MLAY tweet mediaHAPPNES MLAY tweet mediaHAPPNES MLAY tweet mediaHAPPNES MLAY tweet media
English
1
21
26
1.3K
Erick Makori Kisare
Erick Makori Kisare@ErickMKisare·
@Thommunkondya TP. Prof Kironde, Moja ya Prof walioandika paper nyingi sana. Aliandika zaidi 20K Plot project
Indonesia
2
0
2
1.8K
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
Huyu ni mwalimu wangu anaitwa Prof Kironde amenifundisha somo la utawala wa ardhi(Land administration) na Sera za ardhi(Land Policy) wakati nafanya masters ya land administration pale chuo kikuu cha Ardhi(ARU) ,pamoja na kustaafu kufundisha bado anafanya mazoezi sana na anashiriki marathon 🙌🏿😁. Kweli mazoezi ni tabia kama tabia zingine huwezi kuacha.
Thom Mnkondya tweet media
Indonesia
33
31
670
59.6K
Pepechu
Pepechu@Pepechu9·
@prossoff We ni mchawi aisee sio Bure. Unajua wanayiloyapitia watumishi huko?
हिन्दी
0
0
0
613
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Tuseme ukweli. Wafanya kazi wa serikali HAWAFANYI KAZI. Ni moja ya kundi la watu linalokula good time katika haya maisha. Sio kweli kwamba madaktari hawapo. Wapo ila kila huyo ni mkubwa na wana siku zao za kazi. Mtumishi wa kata nae anabiashara zake( mara ana ki gari anaendesha siku nzima) Mwalimu anafundisha kidogo anachukua probox yake anaenda kupiga hela. Serikali ina usimamizi hafifu sana juu ya watumishi huko makazini. Huko halmashauri watu wanakula maisha tu.
Filipino
92
72
717
38.1K
Young Africans SC
Young Africans SC@YoungAfricansSC·
Klabu ya Yanga SC imeandika historia nyingine kubwa katika anga la kidijitali baada ya kufikisha zaidi ya subscribers milioni 1 YouTube (Yanga TV). Mafanikio haya yanaifanya Yanga kuwa klabu namba mbili barani Afrika kufikia idadi ya wafuasi, nyuma ya Al Ahly ya Misri(1.49)
Young Africans SC tweet media
Indonesia
17
29
667
15.5K
Pepechu
Pepechu@Pepechu9·
@Barongo01 We jamaa itakuwa ulipata zamani sana leseni yako. Ngoja iishe hiyo ya mchongo uone utajavyopata shida kuipata nyingine
Indonesia
0
0
0
109
Tate !Gawaxab
Tate !Gawaxab@Barongo01·
Tanzania ni kati ya nchi chache ambazo ni rahisi kupata driving license. Ndio maana ajali ni nyingi sababu madereva wanaunga unga. Nchi nyingine kupata driving license ni ‘mchakato’ na ukiipata ni kama achievement 😀
Filipino
32
30
342
19.6K
Comrade Kicheche Jr
Comrade Kicheche Jr@Kicheche_jr·
Nmetembea mikoa Mingi ila Mtwara vijijini kuna umaskini wa kuonekana kwa macho.
Indonesia
76
39
540
31.6K
KUBWA LA MAADUI
KUBWA LA MAADUI@ATizulwa_·
Baadhi ya watangazaji wa wasafi wameaga kundoka kwenye kituo hiko cha kazi huku wengine wakidai kuachana kabisa na kazi hiyo ya utangazaji na uchambuzi jambo ambalo limezua maswali mengi kwa watu wengi. Watangazaji hao ni pamoja na @oscaroscarjr @ahmedabdallah05 @zembwela2 pamoja na @georgeambangile . Swali ni kweli wanaacha kazi ya utangazaji kabisa? Au ni kweli wanaondoka wasafi? Na kwa nini wote kwa pamoja??
KUBWA LA MAADUI tweet media
Indonesia
14
8
122
18.9K
Pepechu retweetledi
Masoud Kipanya
Masoud Kipanya@masoudkipanya·
Kufikiri nje ya BOX ukiwa ndani ya BOX.. Kalamu episode 6, kwenye chaneli ya Kipanya Tell a Vision, YouTube.
Indonesia
25
162
1.4K
42.2K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Level tofauti kabisa! Nay wa Mitego na ‘Tupo Busy’ 🔥 Gen Z komaeni YouTube kumzalia support, wakuda wanajaribu kujua secret, Lakini Nay anacheza game ya pro 😎 Oyaaa , kama nyuki YouTube Now!!! Nay Lazima awe Top!
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
21
273
2K
48.9K
Micky Jnr
Micky Jnr@MickyJnr__·
🇹🇿 History Made! ✨ Tanzania become the first CECAFA nation to qualify for the 2026 CAF U-17 Africa Cup of Nations. They sealed their spot with a solid 3-1 victory over Kenya in the semi-finals of the CECAFA Zonal Qualifiers in Addis Ababa. The Junior Taifa Stars will now face either hosts Ethiopia or Uganda in the final. 🔥 #CAFU17 #AfricanFootball #Tanzania #RoadToAFCON2026
Micky Jnr tweet media
English
5
11
341
18K
Nurse Saphia
Nurse Saphia@StoneSaphia·
Kuuzia watu wenye hela raha sana haombi discount anachukua bidhaa na kulipa na kusepa ila wenzangu na mimi sasa anaomba mpaka apunguziwe mia tano ukikataa anatishia kuondoka
Indonesia
1
0
1
152
Pepechu retweetledi
Emmanuel Edward
Emmanuel Edward@Edward_Kijo1·
@lifeofmshaba Tulikuwa hatuna haja yakuendelea kuyapa airtime mambo yao yaliyotokana na uovu, nafikili tungeendelea na agenda zetu kuliko kulukia mambo yao. Ni kama tunawasaidia kuleta kwa watu umakini wa mambo yao. Wao wana maTV na maredio tuwaachie huko
Filipino
0
3
10
2.6K
Comrade Kicheche Jr
Comrade Kicheche Jr@Kicheche_jr·
Kwa mtazamo wako ni nani anafaa kuwa Prime minister wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania? Mimi:- Jumaa Aweso.
Filipino
96
11
138
12.1K
#ObbyWK
#ObbyWK@ObbyWilson·
@Happinesmlay Aulizwe yeye kama anajua au hajui, akiwapatia jibu then muulizeni kwanini ameamua kutenda kosa la uhaini. Acheni kuwaingiza watoto za watu kwenye mikumbo ya kijinga, lakini nadhani huyo ameishakua na anajua kile anachokifanya.
Indonesia
5
0
2
242
HAPPNES MLAY
HAPPNES MLAY@Happinesmlay·
Tuende mbele tusirudi nyuma hivi huyu mtoto anajua hata maana ya uhaini?
HAPPNES MLAY tweet mediaHAPPNES MLAY tweet media
Indonesia
27
34
287
8.8K
Mdada Creative Decor 📐🖌️🔨
Mdada Creative Decor 📐🖌️🔨@immaculatepet14·
Zaburi 44:3 Maana si kwa upanga wao walivyoimiliki nchi, Wala si mkono wao uliowaokoa; Bali mkono wako wa kuume, naam, mkono wako, Na nuru ya uso wako, kwa kuwa uliwaridhia🇹🇿
Indonesia
1
3
13
892