#ObbyWK

10.6K posts

#ObbyWK banner
#ObbyWK

#ObbyWK

@ObbyWilson

Intrepreneur@Mark Online tv & Politics Government & Human Right Activist

Tanzania Katılım Ocak 2018
2.7K Takip Edilen2.9K Takipçiler
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Hii nchi tumeipambania sana kubabake! Hapo wadwanzi walichana suti yangu mpya kabisa ya Calvin Klein, MATAKO YAO!😎 #FREELISSU #KATAARIPOTI
Joseph Mbilinyi tweet media
Filipino
270
500
4.1K
81.6K
iam_Jac
iam_Jac@Iam_jac5·
Chande ameingia kwenye mgogoro mkubwa sana na jamii kabudi na Samia wamemtumia vibaya sana huyu mzee Umma wa sasa ukifanya kosa unawajibishwa
Indonesia
40
112
533
39.8K
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha mwigizaji mkongwe wa filamu nchini, Hashim Kambi kilichotokea leo, Dar es Salaam. Taifa limepoteza kipaji adhimu kilichochangia kwa kiasi kikubwa kukuza na kuitangaza tasnia ya filamu nchini. Ninatoa pole kwa Shirikisho la Filamu Tanzania, Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA), wasanii wa filamu nchini, familia ya marehemu, wadau wa filamu, ndugu, jamaa, marafiki na wote walioguswa na msiba huu. Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un.
Samia Suluhu tweet media
Indonesia
81
81
495
29.2K
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Hii ni Nkasi jana kikao cha ndani, tena Kirando huko! Najivunia sana kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, pia najivunia tuna mtu imara kabisa my sister Mh. Aidah mkoa wa Rukwa! #StrongerTogether
Joseph Mbilinyi tweet media
Indonesia
31
276
1.9K
21.3K
#ObbyWK
#ObbyWK@ObbyWilson·
@zizujo01 Baba wa imani, mzalendo, kiongozi kweli kweli na mwanamendeleo aliyetubumbulua wananchi nchi ilivyo na namna tunaweza jifanyia wenyewe bila kutegemea wahisani. Papa mtoa matongotongo utakumbukwa daima. Rest easy papaa
Indonesia
0
0
0
65
HATUSHINDWANI BEI STORE.
HATUSHINDWANI BEI STORE.@zizujo01·
Kiukweli mzee ndie aliyetukosea sana, amechangia pakubwa kuwa tulipo leo 💔 Elezea neno moja kuhusu anko 👇👇👇
HATUSHINDWANI BEI STORE. tweet media
Filipino
50
33
218
12.1K
Priscilla
Priscilla@Magandula·
Hatutakusahau !!! Mwehu wewe .
Priscilla tweet media
Indonesia
35
112
712
13.6K
#ObbyWK
#ObbyWK@ObbyWilson·
@joeselasini @OrubaJ Utabiri wa kijinga huo. Sisi kama watanzania hatupo tayari kuyasikia maujinga yenu
Filipino
1
0
1
92
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
Baada ya ripoti ya JAJI OTHMAN CHANDE; Natabiri wananchi kutoridhika, hasira kali na maandamano makubwa kuliko ya tarehe 29.10.2026. Tatabiri uasi ndani ya CCM na madai ya mabadiliko ya ndani. Natabiri dunia kuunga mkono na kuweka mashinikizo yatakayoathiri uchumi wetu.
Indonesia
42
182
1.2K
20.6K
#ObbyWK
#ObbyWK@ObbyWilson·
@Eggle_Vuvu Jitekenyeni then mcheke wenyewe. Jaribuni muone kenge ninyi. Safari hii jeshi tutaliambia likae kando tudeal nanyi sisi wenyewe
Indonesia
0
0
0
14
#ObbyWK
#ObbyWK@ObbyWilson·
@Innocen89950594 @Migosatz Maswali ya kitoto haya. Acha kutuletea ujinga wewe ni mtu mzima. Ila uzuri wake umefanikiwa kuwapata wajinga wenzako wasio na uwezo wa kuendana na mfumo wa maisha kazi yenu kukariri pekee.🚮
Indonesia
2
0
1
349
KIDUKU OFSA NGIRI
KIDUKU OFSA NGIRI@Innocen89950594·
Rais BENJAMINI MKAPA Alitumia Bilion 54 Kujenga Huu Uwanja Wa Taifa Wenye Uwezo Wakubeba Mashabiki Elfu 60. Pale Arusha Kuna Uwanja Mdogo Sana Unajengwa Na Gharama Yake Ni Bilion 338, Kama Wangejenga Uwanja Wenye Ukubwa Kama Huu Wa Mkapa Ingekua Shs Ngapi?😂
KIDUKU OFSA NGIRI tweet media
Indonesia
57
75
856
30.5K
Reema
Reema@Reema575357·
Can you solve this???
Reema tweet media
English
408
100
196
10.4K
Tanzania Leaks
Tanzania Leaks@TanzaniaLeaks·
ALERT: Taarifa tulizozipata ni kwamba waziri wa mambo ya Nje, Thabeet Kombo (VANDERLIST) na Muendesha Mashtaka wa Mahakama ya kimataifa ICC Mame Mandiaye Niang, walikutana ambapo Mandiaye alitaka kujua kuhusu wito wa Samia kwenda The Hague kwa ajili ya kuweka baadhi ya mambo sawa
Tanzania Leaks tweet media
Indonesia
18
38
468
29K
#ObbyWK
#ObbyWK@ObbyWilson·
@Sisimizi3 Aiseee mwaka 2010 nikiwa advance SBA Sec nilisoma na mtoto wa padre. Mbona japo kuwa Daniel katizama chini lakini ni Kitima kabisaa?
Filipino
0
0
1
40
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
𝐍𝐈𝐌𝐄𝐏𝐄𝐍𝐘𝐄𝐙𝐄𝐖𝐀 : Huyu mtoto hapo pembeni anaitwa Daniel Charles Kitima ni mtoto wa Askofu Charles Kitima, ana miaka 10 amezaa na mdada anaitwa Suzana Obedi maarufu kama (Honoritha), mkazi wa Kijichi DSM. 👉 Swali je Canon Law zinaruhusu Askofu kuwa na mtoto.?
Dr. Sisimizi tweet mediaDr. Sisimizi tweet media
Indonesia
351
40
123
44K
#ObbyWK
#ObbyWK@ObbyWilson·
@ikulumawasliano Tanzania ni pazuri, endeleeni kumiminika enyi wageni wetu. Karibuni sana
Indonesia
0
0
0
217
ikulu_Tanzania
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano·
Muonekano wa Tuzo tatu za “WORLD TRAVEL AWARDS” ambazo Tanzania imeshinda.
ikulu_Tanzania tweet media
Italiano
32
47
131
17.4K
#ObbyWK
#ObbyWK@ObbyWilson·
@ikulumawasliano Here we go, hongera sana Mh. Rais kwa ubunifu wako mkubwa wa kiuongozi unaoing'arisha Tanzania katika maeneo tofauti tofauti. Tuendelee kusonga mbele, pamoja tutavuka. Tanzania oyeeee
Filipino
0
0
1
1.1K
ikulu_Tanzania
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano·
PRESS STATEMENT | JANUARY 05, 2026
ikulu_Tanzania tweet mediaikulu_Tanzania tweet media
English
38
25
75
13.6K
Maulid Kitenge
Maulid Kitenge@mshambuliaji·
Katibu Mkuu wa Barala La Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima akizungumza jana Disemba 19, 2025 wakati wa akimtambulisha Naibu Katibu Mkuu mpya wa Baraza hilo huku akimshukuru aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Baraza hilo Padre Dkt. Chesco Msaga C.PP.S kwa kuwa msaada kwake hata pale ambapo yeye (Kitima) alishindwa kwenda baadhi ya maeneo kwa sababu ya hofu aliyonayo ya kudhurika. #KitengeUpdates
Indonesia
11
32
337
25K
#ObbyWK
#ObbyWK@ObbyWilson·
@ikulumawasliano Pole kwa wiki lenye heka heka mama yetu. Hongera kwa ugeni mkubwa wenye mafanikio pamoja na mengi yenye kufurahisha lakini pole pia kwa kuondokewa na mchapa kazi wako. Hongera yako Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu. Hakika unajua kuitendea haki nafasi yako.
Indonesia
0
0
0
43
#ObbyWK
#ObbyWK@ObbyWilson·
@mangekimambi Acha ujinga kahaba wewe. Umeyagharimu maisha ya ndugu zetu bure kabisa. Hatutakupatia nafasi ya kukusikiliza tena kenge wewe.
Indonesia
0
0
0
16
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Hiki ndio kinachofanyika nchi zingine pale wananchi wanapoandamana kuwakataa viongozi wabovu ila sio Tanzania, Tanzania kuliko serikali kuachia madaraka wakaona ni bora waue maelfu ya wananchi. Watanzania hatuwezi kukubali kutawaliwa na serikali iliyotuua, serikali ambayo hatukuichagua…..
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet media
Indonesia
118
480
3K
114.3K
#ObbyWK
#ObbyWK@ObbyWilson·
@NchimbiRas @Sisimizi3 @_zack255 Kenge wewe kwani hasara ya kupoteza mapato ya leo ni shida ya viongozi ama watanzania walala hoi? Acheni ujinga rudini kwenye akili zenu za kuzaliwa. Acheni kuishi kwa kuwaiga waishio ughaibuni. None sense
Indonesia
0
0
0
8
Ras,nchimbi
Ras,nchimbi@NchimbiRas·
@Sisimizi3 @_zack255 Hasara iloingia siku ya leo,jinsi gharama ya jeshi na shughuli zilosimama za Raia,ujue ni matokeo ya maandamano,endapo yatakuwa endelevu,maanake tension hii itaendelea,kazini hakutaendeka,vizuizi na vitambulisho,"Vitaparalize" serikali na uchumi,NI WANANCHI WAMESHINDA.
Indonesia
1
0
0
102