Uriel25

1.9K posts

Uriel25

Uriel25

@PeterUriel6

chelsea fc yanga sc1935

Dodoma, Tanzania Katılım Mayıs 2021
539 Takip Edilen199 Takipçiler
Uriel25
Uriel25@PeterUriel6·
KUNA WATU WALIPANGA KUFANYA MAMBO MAKUBWA LEO,ASUBUHI,LAKINI KWA SASA WAPO MOCHWARI.PUMZI UNAYOVUTA SASA HIVI NI ANASA AMBAYO WENZAKO WAMEIKOSA
Tanzania 🇹🇿 Filipino
0
1
1
45
The champ👑
The champ👑@fintanjr_·
Okello mmoja ni Chama mia😂🐸🤔.. yeye😂👇
The champ👑 tweet media
Indonesia
10
9
36
1.3K
#Dr Gudume The PDF Guy 🇹🇿
Kila nikitaka kuhama kigamboni najiuliza nani atakula hawa wanachuo 😂 Yani niondoke jijini nihamie makongo vumbi kali?🚮😆
Filipino
6
7
20
387
DevotaTweve
DevotaTweve@TweveDevota·
Ni kweli ni ngumu kutoboa kupitia njia halali au ukiwa umenyooka?
Indonesia
17
12
57
1.3K
CHURA WA MILEMBE MKALI PAPPARAZI
Ni kweli maisha magumu ila usitapeli sasa sawa nanii? Anyways aliye Makongorosi tusomane wakali Chura Cowboy ntakuwepo😅😅
CHURA WA MILEMBE MKALI PAPPARAZI tweet mediaCHURA WA MILEMBE MKALI PAPPARAZI tweet media
Filipino
24
22
89
4.5K
Sally Brown🌷
Sally Brown🌷@officielsalome·
Mwanzoni nilijua zile cheque watu wanapewa zawadi kwenye maharusi au ishu yoyote zinatoka moja kwa moja bank kumbe zinatengenezwa tu 😂.
Indonesia
15
17
217
9.4K
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Kule Kenya yule kijana aliyeenda kumkumbatia Rais Rutto amepatiwa ajira mamlaka ya Bandari nchini humo Jamaa wakati anaenda kumkumbatia Rais Rutto alibeba Bible na CV yake. Idara ya Usalama ya ulinzi wa Rais wameamua kufanya mabadiliko ya walinz wa Rais kutokana na tukio hili.
Indonesia
3
22
202
6.1K
Life Of Vike
Life Of Vike@Life_of_vike·
Usiku mmoja wa UEFA ! Nimeenda kuangalia mechi SHAMBA LA BIBI ! Mechi ikapigwa ilikua ya Bayern vs Barcelona ile iliyokuwa 8 - 2 ! Nikaanza mdogo mdogo kurudi ma ghetoni nilipomuacha Mama la Mama ! Ile nakaribia kufika Ghetto nikasema ngoja nipige simu ikawa " USER BUSY "
Indonesia
45
23
361
26.3K
#GWIJI🔴
#GWIJI🔴@athanas_pius·
Give me Police Tanzania Or I Retire! Kajamaa Kenu Katapeli, Kalidhani tumekasahau 😃 Just Vibes, Hakunamo player hapa kwa Tepsi wa Uganda 😃🚮
#GWIJI🔴 tweet media
Indonesia
40
19
443
29.7K
Mzee wa Chuki 🤬
Mzee wa Chuki 🤬@PapiiKhan98·
humu ndani kuna watu so wa kukaa upande wao mfano Chura … Yeye akishapewa ganji tu anawahama.😂😂😂😂🙌🏼💔
Indonesia
22
31
172
8.2K
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
Huyu Masaawe Fala sana sijui kalipwa shi ngapi. Mpira ulikua unatoka nje kakaurudisha ndani kupelekea goli la Utopolo🚮
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
19
6
91
3.5K
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
🚨Narudia kusema Okello goli zake kama sio zote ni robo Tatu kafunga kwa mazingira ya kubebwa mnoo anzia game ya Dodoma, njoo Singida big star nenda sijui Mashujaa nenda sijui prisons yaani familia zote ndipo kapata hizo goli mbona mechi Mbili na Azam hajafunga vipi game na Simba alifanya nn? Ntaongea mpaka lini mnielewe watu🏃 Hata magoli ambayo kanafunga sio ya ufundi kwangu ninavyoona yani sio yale magoli ambayo unaona mchezaji kama Chama au mpanzu ana hustle mpaka kulipata...magoli yake nayaona ya kawaida mnooo.....hata uchezaji wake....mimi labda nimuone tena kimataifa au tukicheza nae kwa wakat mwengine ila kwa mechi alizocheza hizo za kina GSM hapana jamani sijaona cha maana kwake.
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
67
8
72
10K
#GWIJI🔴
#GWIJI🔴@athanas_pius·
This humbling from Tepsi Evance should be studied! Nakubali Sana 😂🙌🏽
#GWIJI🔴 tweet media
English
42
14
540
21.4K
MUITALIANO 🔋
MUITALIANO 🔋@iamkizzyh·
Kama mzee okello angetumia condom siku anayomtafuta allan basi leo hii tungekuwa tunadanganywa na Chama, Gueye na Oura 😭😭😂😂
MUITALIANO 🔋 tweet media
Filipino
15
13
114
2.8K
Uriel25
Uriel25@PeterUriel6·
@iamkizzyh Ila ndio hivyo sasa okello star boy
Filipino
0
0
0
59
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
Msimu huu ukimalizika anabakiza mwaka 1 kwenye mkataba wake pale Azam.
WHYMYCATISSAD tweet media
Indonesia
13
7
251
4.6K
Uriel25
Uriel25@PeterUriel6·
@IAmHaule Unachelewa sababu ma bibi kama yeye hawataki vijana waajiriwe ukiangalia vijana wengi wanao omba iyo mikopo wnategemea waajiriwe ndo warejeshe
Indonesia
0
1
5
451
IAmHaule
IAmHaule@IAmHaule·
‘‘Uzalendo wa kurejesha mikopo umepungua ’’ Meneja wa Bodi ya Mikopo Elimu ya juu ( HESLB) bi Anna Sabuni . Unahisi ni kwanini watu hawana uzalendo tena wa kurejesha pesa za Serikali . ?
IAmHaule tweet media
Indonesia
26
13
101
17.8K