P H I L

2.4K posts

P H I L banner
P H I L

P H I L

@PhVenance

I M M O R T A L

Katılım Eylül 2014
410 Takip Edilen111 Takipçiler
P H I L
P H I L@PhVenance·
@MkulimaKante Ok poa mimi sitaki unazi kesho kabla jogoo kuwika navunja nazi andunje an’g’oke na wahuni wenzie 😃
Indonesia
0
0
0
4
Kante
Kante@MkulimaKante·
@PhVenance Ilikuwa sahihi kaka VAR ilionesha mpira haukumgusa mkononi mshambuliaji wa hispania lakini pia yamal alichezewa faulo eneo la hatari
Indonesia
1
0
0
15
Kante
Kante@MkulimaKante·
Kesho magazetini :Mzimu wa Kante waitafuna Ufaransa😁
Kante tweet media
Filipino
12
9
82
1.6K
P H I L
P H I L@PhVenance·
@MkulimaKante Ivi ile penalty nayo kaka imekaaje kwa upande wake
Filipino
1
0
0
10
P H I L
P H I L@PhVenance·
@MkulimaKante daah leo Didier ange mueka tuu ngamia hawa vuruge vuruge we OLMO mremavu yule waku takata vile 😃
Eesti
1
0
1
13
Kante
Kante@MkulimaKante·
Anaitwa Djaro Arungu ukipenda muite Baba Mzazi Baba😁 Mwamba aliumiza sana na kipindi chake cha Bungua Bongo watu wazima na ndevu zao walikuwa wanakula sana mikwaju😂🙌 Sema jamaa anajua sana kuwapambania wasanii wanaochipukia aliifanya Tanzania iwajue mpaka wasanii wa Tarime huko akina Chifu Maker na Best Naso kila kipindi chake ilikuwa lazima agonge ngoma zao alihusika kumpaisha sana na Lukuga (Diamond Platnumz) Kipindi cha kombe la dunia 2010 alikuwa anagonga sana nyimbo za wasanii kulikuwa na shindano la nyimbo kali inayohusu kombe la dunia humo ndani hadi Mr Ebo alishiriki huo mtanange ilikuwa balaa sana🙌🔥 Jamaa ana roho safi sana acha ashinde tuzo tu
Kante tweet media
Indonesia
35
24
221
14.4K
Nzowowo
Nzowowo@nzowowo·
ZXX
9
76
1K
69.3K
peter kunjega
peter kunjega@PKunjega1_·
Umeona namba ngapi hapo🥹
peter kunjega tweet media
Filipino
15
5
30
3.5K
P H I L
P H I L@PhVenance·
@meamswahili uyu ukweli tuseme world cup hajashaini ila sio mchezaji waku mbeza uo ndo ukweli
Filipino
0
0
0
129
MeaMswahili
MeaMswahili@meamswahili·
🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄 Nyota chipukizi wa timu ya taifa ya Uhispania na FC Barcelona, Lamine Yamal, ametoa kauli yenye nguvu mbele ya mechi muhimu ya dhidi ya Ufaransa. Katika mkutano na waandishi wa habari, Yamal alisema..!! “Kila mtu anasema kwamba sipo katika kiwango changu bora, kwa hivyo nadhani hamtarajii kitu chochote kutoka kwangu kesho. Tayari najua kwamba kesho itakuwa siku maalum.” - Alisema. Hata hivyo, mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 19 anaonyesha kujiamini na kuwa tayari kutoa mchango bora kwenye Timu yake. #MeaMswahiliUPDATES
MeaMswahili tweet media
Indonesia
4
2
88
7.4K
ZEDD-Enigma
ZEDD-Enigma@yasukesanada·
Hivi kuna wimbo bora duniani kuuzidi uu?
ZEDD-Enigma tweet mediaZEDD-Enigma tweet media
Indonesia
2
0
1
183
P H I L
P H I L@PhVenance·
@mreno255 They speak Xhosa language from eastern cape na hizo tatoo ndo kabisa madem waki south afrika wengi wanapenda tatoo mimi nna uzoefu napo kaka ni home 🇿🇦
Filipino
1
0
1
31
P H I L
P H I L@PhVenance·
@mreno255 Si kweli sio sura mabint wakbongo hizo mimi nawajua mionekano yao
Indonesia
1
0
1
27
Adwoah✨💞
Adwoah✨💞@adwoah_tricia·
Hi men tell us why 👀
Adwoah✨💞 tweet media
English
864
202
3.6K
159.9K
MRENO_🎧
MRENO_🎧@mreno255·
Jamaa namba yake Ni hiyo apo kanitumia hadi lipa namba nilipie simu wapo Zanzibar. S21 ultra ananiuzia kwa 250k inaonekana jamaa hawataki tamaa kabisa 😂😂😁😂
MRENO_🎧 tweet media
Indonesia
68
32
168
18.2K
Kante
Kante@MkulimaKante·
Je ni kweli wanaojenga nyumba ni washamba😁?? Huenda dotto magari ana hoja ya msingi, Msikilize
Indonesia
20
29
184
11.5K
ZEDD-Enigma
ZEDD-Enigma@yasukesanada·
I love this kind of thinking! Nakubali 👊
P H I L@PhVenance

@MkulimaKante brother nyumba ni kati ya assets kubwa sana duniani tukiacha tuu stori za hawa influencer wanao kaa nakupost wanacho jiskia jenga nyumba ya mil30 maporini na nunua la mil 30 ulaya then njoo ujaribu kuuza baada ya miaka mitano utaona kipi utauza kwa bei ya juu 🧠

English
1
0
1
136
GunnerPulse
GunnerPulse@GunnerPuls·
Who is the player beside Ronaldo? Level: HARD
GunnerPulse tweet media
English
2.3K
351
4.8K
307.4K
P H I L
P H I L@PhVenance·
@MkulimaKante Amini bigg bruh hakika Mungu yupo na wenye kuangaika 💪🏾
Indonesia
0
0
0
5
Kante
Kante@MkulimaKante·
@PhVenance Utajiri wa ndagu hapana bora nife kapuku
Indonesia
1
0
1
13
Kante
Kante@MkulimaKante·
Ni hela hizi hizi au kuna toleo jingine wanangu😁🙌 Aaaah watu wanayo pesa walahi
Indonesia
22
12
103
11.4K