Mr-Peace

189 posts

Mr-Peace

Mr-Peace

@PSumari33226

Be you

Katılım Nisan 2026
108 Takip Edilen13 Takipçiler
ChaiYaSaaKumi✨
ChaiYaSaaKumi✨@kahawa260·
Kesho innshaallah niende zangu milimani mtoni kwenye yale maji yanayotembea nikaogelee nikitoka apo nisugue miguu kwenye yale mawe😌what a beautiful liiiiiffeee😊
Indonesia
9
9
34
764
Mr-Peace
Mr-Peace@PSumari33226·
@leo_unsc Kwa hyo umekuja kutia huruma humu au
Indonesia
1
0
0
9
Leo
Leo@leo_unsc·
@PSumari33226 Siwezi kaka ndio maana nalalamika mtandaoni
Filipino
1
0
0
9
Leo
Leo@leo_unsc·
Kuna kipindi kama mwanaume unakuta unahitaji pesa nyingi, harafu sio kwakili yako. Uanaume kazi.
Filipino
3
2
14
384
Extreme Introvert🧕💫
Extreme Introvert🧕💫@Sincerelyrahma7·
Kama we ni active tweep na mpaka sasa X haijakukutanisha na angalau watu wawili wa msingi walionyooka kwenye maisha yako, we basi tena hama tu huu mtandao kajaribu facebook au tiktok Mi nkiwaambia X inaeza kukulipa bila hata matakataka ya bluetick hamuamini, just be you atakuja tu mtu au watu sahihi wataekuelewa hivyo ulivyo na mta rhyme MIND YOU SIJAONGELEA MAPENZI WALA ZINAA, SIJASEMA KUPATA WAPENZI WALA KINA FWB HAPA🙄
Indonesia
38
25
79
5.1K
Mr-Peace
Mr-Peace@PSumari33226·
@lifeof_nono Naomba namba yako dm inayopokea nkulipie hako kachenchi mrembo NB:nimetokea KATORO
Filipino
0
0
0
14
Nonobanks ❤️
Nonobanks ❤️@lifeof_nono·
Nina 153k kwenye simu, nataka kulipa hapa kwa lipa no 150k ya mchezo ety salio halitoshi🥹🙌 kwahiyo 3k makato hayatoshi dah Mungu tusaidie sisi tusioishi KATORO.
Filipino
30
14
255
20K
Jacque
Jacque@Jacquetorro·
Siku ntakayopata mtoto wangu sijui itakuaje jamani siwezi kusubiri🥹😍
Indonesia
7
0
25
1.5K
Mr-Peace
Mr-Peace@PSumari33226·
@leo_unsc Nadhani wewe ni genz ndo maana unaona 2010 ni zamani
Indonesia
1
0
1
189
Leo
Leo@leo_unsc·
Hii sio zamani sana ni mwaka 2010 tu hapo. Kitu unachokinunua 10K leo, utakuja kukinunua 100K mwaka 2040+. Inflation ni kifaa cha kutafuna thamani ya fedha over time.
Leo tweet media
Indonesia
18
9
53
3.7K
Miss_Salum
Miss_Salum@AsiahSalum·
Thank you for the birthday wishes!❤️🙏 Mnioe sasa nazeeka!!😃
Miss_Salum tweet media
Tanzania 🇹🇿 English
33
16
123
22.8K
Mr-Peace
Mr-Peace@PSumari33226·
@AmRosalinee Engeneer nipo hapa 70m nakukabidhi funguo karibu
Indonesia
0
0
0
448
ROSALINE🦋
ROSALINE🦋@AmRosalinee·
Hapa amna amna kabsa unatakiwa uwe na pesa kiasi gani mjengo kama huu usimame.......?????
ROSALINE🦋 tweet media
Indonesia
24
31
256
13.7K
P H I L
P H I L@PhVenance·
@MkulimaKante brother nyumba ni kati ya assets kubwa sana duniani tukiacha tuu stori za hawa influencer wanao kaa nakupost wanacho jiskia jenga nyumba ya mil30 maporini na nunua la mil 30 ulaya then njoo ujaribu kuuza baada ya miaka mitano utaona kipi utauza kwa bei ya juu 🧠
Indonesia
2
0
7
677
Kante
Kante@MkulimaKante·
Je ni kweli wanaojenga nyumba ni washamba😁?? Huenda dotto magari ana hoja ya msingi, Msikilize
Indonesia
20
29
184
11.5K
Mr-Peace
Mr-Peace@PSumari33226·
@Sincerelyrahma7 Njoo dm na orodha ya mahitaji yako ya umuhimu pamoja na namba inayopokea miamala mda wote achana na eloni
Filipino
0
0
0
21
Extreme Introvert🧕💫
Extreme Introvert🧕💫@Sincerelyrahma7·
Guys hebu tuwe serious kidogo nani ashawahi kupokea malipo ya X kupitia stripe?! Alifunguaje hiyo stripe account?! ILA ELON MXIIIEUW😑🙄🚮
Filipino
20
13
120
17.8K
Ademba Allans
Ademba Allans@Ademba_47·
God is truly an artist. Women deserve all the love. Who would we be without women? @kahawa260
Ademba Allans tweet media
English
28
7
133
61.9K
MIRIAM💜
MIRIAM💜@MiriamMkanaka·
Napata DM za watu kuomba wachangiwe Ada na ni nyingi sana, naelewa hali ya kukosa Ada kuna mmoja Last time tumemchangia Ada humu kumbe hela alibetia 😂 Mzee wake akaona Tweet yangu alinisaka sana nusu nilale ndani, mpaka leo maswala ya kuwaombea watu Ada niliacha 🚶‍♀️
MIRIAM💜 tweet media
Indonesia
53
55
592
23.7K
Extreme Introvert🧕💫
Extreme Introvert🧕💫@Sincerelyrahma7·
Hivi kwanini wanaume wengi wanaopenda kupiga wanawake hawawezi kupigana na wanaume wenzao lazima wadundwe?!🧐
Polski
28
22
169
11.6K
MKALI WALEO
MKALI WALEO@Jaguar_455·
Pumzika kwa amani kipenzi cha wana michezo JAYDEN ADAM💔 Kifo kilianza kukuandama mara baada ya kupata taarifa ya mpenzi wako anakusalit Mara baada ya game ya Korea kumalizika hukuwahi kuonekana na furaha tena Binafsi napata ugumu kukulaumu kwa maamuzi uliyochukua mwisho mwema
MKALI WALEO tweet media
Indonesia
14
8
115
15.1K
Muuza viatu🌹
Muuza viatu🌹@Agnesskanje·
Mkopo bila riba unapatikana wapi?
Indonesia
14
4
41
2.7K
Djkid_b_____
Djkid_b_____@BlessdGrooveKid·
Mtu Asiwe na Sigida sasa🤔
Djkid_b_____ tweet media
Indonesia
11
11
111
9.1K
SIAH☺
SIAH☺@MalkiaTabasamu·
Nampenda Mama Nampenda Baba Naipenda familia Na hii Ndo Furaha Yangu Nafikiri na wewe upo kama mimi Nothing like Family JAY ADAMS Nafikiri kaona hawezi kuishi pekeake bila upendo wa fam yake
Indonesia
5
12
61
1.8K