Planning Commission_Tanzania
65 posts

Planning Commission_Tanzania
@Planning_Tz
Ukurasa Rasmi wa Tume ya Mipango
Tanzania Katılım Ocak 2024
31 Takip Edilen140 Takipçiler


🗞️ Habari katika Picha 🇹🇿
Juni 4, 2025 — Dkt. Fred Msemwa (Tume ya Mipango) amekutana na Ndugu Said Salim Bakhresa kujadili maendeleo ya sekta binafsi na ujasiriamali nchini.
#SektaBinafsi #UjasiriamaliTanzania #MaendeleoEndelevu


Indonesia

“Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameanzidha Tume ya Taifa ya Mipango ili kuimarisha Uchumi na Mipango ya Maendeleo”
@kitilam

Indonesia

Waziri wa Fedha Dkt. @mwigulunchemba na ujumbe kutoka Tanzania wamekutana na Benki ya Dunia leo Aprili 22, 2025 Washington DC kujadili ufadhili wa miradi ya maendeleo.
Ameambatana na @StanslausNyongo, Dkt. Fred Msemwa (Tume ya Mipango), Bw. Tutuba (BoT), Dkt. Mwamba (Hazina).

Indonesia

Serikali yaweka matarajio makubwa kwa Tume ya Taifa ya Mipango kusimamia maendeleo ya kiuchumi kulingana na mahitaji ya wananchi na jiografia ya nchi. Spika Dkt. Tulia amesema hayo baada ya kukutana na Dkt. Fred Msemwa leo Aprili 16, 2025 Bungeni, Dodoma. @TuliaAckson @fredmsemwa



Indonesia

Tume ya Taifa ya Mipango, Inawatakia wote Maadhimisho mema ya Sikukuu ya Idi
@OR_MU1 @TanzaniaYaMama @SuluhuSamia @TZMsemajiMkuu @ccm_tanzania @DiraYaSamia @uvccm_tz @vijanathinktank

Indonesia



































