chiefempire
252 posts

chiefempire
@RChristaud
jitihada zaidi ya mtoto anaetambaa 🔩🔩 survival for the fittest
Mtaa Katılım Ocak 2026
31 Takip Edilen8 Takipçiler

@saralexozil kuna nyumba ya 5m kweli jamani we angalia mlango wa bishara bana sis
Indonesia

@CavityDamas23 hahha sasa kaka hapa ni kuhukumiana tuu watu wengine hata hatujui kama ilo ni tunda gani kwasababu mtaani na mkoa tunapotoka hakuna lakini sio wakishua😟😟😟
Filipino

@Mwacha5 hqhaha hahaha kwamba wake zetu na mama zetu lazima wawe hawakwivi chungu kimoja
Polski

@MkulimaKante @mreazi mkubwa njaa itaniuwa nihaitaji ajira bana tuongee vyema😁😁
Suomi

@MkulimaKante @mreazi kaka promo imezidi alafu mbaya zaidi unamtag kwamba kuna namna unafukuzia ajira
Filipino

@kasesco_tz kaka ongezea ni msafi an ukienda ndani nipasafi vitu vipo kwa mpangilio uyo labda dem ang'ang'anie geto
Filipino

@Kassa_Chiddy @nassor_01 kaka majini ni story za kusadikika hakuna evidence za kisayansi uwepo wa hizo vitu
Indonesia

@nassor_01 Bahati mbaya ni kuwa binadamu tunajimilikisha dunia as if sisi ni viumbe pekee, majini pia ni sehemu ya viumbe wa dunia hii na miongoni mwao wapo wema na waovu kama ilivyo kwa binadamu. Kwa hiyo si ajabu kwa hilo
Indonesia

@nassor_01 Mimi waislam nawapinga pote ila likija swala la pepo yao wanaita firdausi basi nafurahi wanasema huko kwao unapewa mabikra 70 unapiga mashine alafu utamu wa bao unakua umeongezwa mara 70 ya bao hili la duniani😆 sio sis mbinguni ni kuimba alafu haujulikani kama demu au mwana😆
Indonesia

@nassor_01 @galalonga mkubwa unauliza mambo za matinki katika hii topic
Polski

@inomjimbu_45 @Mikumifinest Hio haina mashiko kwasababu ina utani ndani ake
Filipino

@inomjimbu_45 hee an hapa hata utumie wakili gani lazima unyee bede mkubwa 🤣🤣🤣
Indonesia

@fintanjr_ kaka kama hapa ameishi week 2 hata laki anachukua ohooo maisha ya hapa ninomaa an ukizubaa kidogo unajikuta ndio ushakua masikini moja kwa zote ohoo 🤣🤣
Indonesia

@fintanjr_ kuna kula bure tena toa location sioni dalili za kupata nguvu ya msosi hapa 🤣🤣
Filipino

















