LIVING

2.5K posts

LIVING

LIVING

@galalonga

it's

Katılım Ocak 2014
550 Takip Edilen135 Takipçiler
LIVING
LIVING@galalonga·
@Nurjan_seyd Zaka Mungu anasema tuilete galani zaka ni mali ya Mungu inarejeshwa hekaluni. Sadaka ni upendo wetu kwa Mungu inatolewa. Kwahiyo kupeleka zaka kwa watoto yatima ni kukosa kufuata utaratibu wa kimungu.
Indonesia
0
0
0
8
Ms konpa💃
Ms konpa💃@Nurjan_seyd·
Hivi kati ya kutoa sadaka au fungu lakumi au zaka makanisani na kusaidia watoto yatima kipi kina thawabu?
Indonesia
30
19
92
3.1K
LIVING
LIVING@galalonga·
@kasesco_tz Mikumi hapo,njia ya kwenda Iringa, kushoto kwako njia ya ifakara na kulia kwako njia ya kilosa
Filipino
0
0
0
28
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
X matembezi tuambieni hapa ni wapi..👇🏾
kasesco☆ tweet media
Indonesia
12
22
48
1.3K
Strange Migrant
Strange Migrant@StrangeMigrant·
@Dr_Thadeus_19 Criteria gani umetumia kwa hii list? Coz vyovyote iwavyo Aga Khan should top that list! 1.Aga khan 2.Jkci 3.BMH 4.MOI 5.ORCI 6.MNH 7.BMC 8.HINDU MANDAL 9.KAIRUKI 10. KCMC
HT
5
0
3
730
Dr. Thadeus Mihayo
Dr. Thadeus Mihayo@Dr_Thadeus_19·
Orodha ya hospitali 10 Bora katika utoaji wa huduma za Afya Tanzania. 1. Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) - Dar es Salaam. 2. Aga Khan Hospital - Dar es Salaam. 3. Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC) - Moshi. 4. Bugando Medical Centre - Mwanza. 5. Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) - Dar es Salaam. 6. Muhimbili Orthopaedic Institute (MOI) - Dar es Salaam. 7. Ocean Road Cancer Institute (ORCI) - Dar es Salaam. 8. Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) - Dodoma. 9. Shree Hindu Mandal Hospital - Dar es Salaam. 10. Kairuki Hospital - Dar es Salaam
Indonesia
24
6
65
11.2K
LIVING
LIVING@galalonga·
@nassor_01 Majini wapepo ni malaika waovu walipotupwa duniani wakawa waislamu
Indonesia
1
0
0
460
CHOLLO
CHOLLO@nassor_01·
Sheikh anasema Quran inaposomwa majini husogea karibu kwa furaha, Pastor anasema Bible inaposomwa majini hukimbia mbali kwa hofu, hii imekaaje watu wa Mungu..?! Nani anaweza kunielewesha kwa undani.😁
Indonesia
38
21
158
13.2K
LIVING
LIVING@galalonga·
@HildaNewton21 Mimi najiuliza hivi serikalin hakuna wenye hekima? Hivi kwanini isitokee wacha Mungu wenye hekima kuacha Kazi mfano wakatokea watu 100 kwa pamoja waende kwenye vyombo vya habari waeleze kuachia nafasi kwa sababu hawaridhishwi na A, B, C........ INASIKITISHA
Indonesia
0
0
0
102
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Ukiangalia hii video kwa makini Utagundua kwamba hawa wauaji walimkurupusha Mhe. Lissu hawakuta hata kusubiri achane nywele. Hii mijitu ni mikatili sana.🚮🚮🚮🚮
Indonesia
17
116
564
14K
LIVING
LIVING@galalonga·
@MariaSTsehai Viongozi wa dini walioitwa na Mungu waitenge serikali wakiitwa kwenye kikao au jambo lolote waitikie Ila wasiende. Wananchi wakiitwa kwenye vikao wasiende. Tuamue kurejesha heshima ya nchi. Hatuwezi furahia kinachoendelea.
Filipino
1
0
0
376
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
‼️🚨MBONA WAMEMKURUPUSHA LISSU NA KUMTOA GEREZANI KINYEMELA‼️ Jamani angalieni Lissu hata hajachana nywele wamemwamsha na kumkurupusha! Wamembeba na gari waliong’oa plate nunber na kwa siri Hawakutaarifu mawakili wake This is not right! Kulikuwa na emergency gani ? Hii ni hatari! Lissu appears disheveled and hurried in today’s clandestine transfer to court without his lawyers being notified! Something is fishy! Hii haikubaliki! Hatuoni good intention hapa! Msirudie tena au tutajua mnataka kutekeleza nia ovu #FreeTunduLissu NOW!
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
43
233
884
42.5K
M.B.G
M.B.G@_kingOFstreet·
Ooh me mikoa yote tz naijua😅 sawa hapa ni wap!?
M.B.G tweet media
Indonesia
36
11
144
13.8K
LIVING
LIVING@galalonga·
@MariaSTsehai Ccm wasifanye mzaha mioyo ya watu imejawa maumivu na sio muda tutaanza kushuhudia mambo makubwa ya hatari sana kama kulipiza kisasi, ukimya wa watu katika matatizo sio afya na yasiwape ujeuri na kujisifu. Rais na makamu jiuzuru, vunja Bunge itisha uchaguzi
Indonesia
0
0
0
259
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Niliambiwa na mtu ndani ya mfumo kabla ya uchaguzi kuwa inatakiwa niwaelewa maana “Huyu mwanamke anafikiri kila mtu ana bei! Na akiona kama hueleweki hasiti kukutoa roho” Sasa imejulikana wazi kuwa hana shida na kumwaga damu ya maelfu wala si ishu ya bei wala ushawishi! Hii video ni kutoka Mwanza walipoenda polisi na kuua vijana WOTE waliokuwa wanatazama mpira! Alafu leo wanasema eti ni wa Gaza! Ndo mjue tunaishi wa watu WASHENZI sana! So watumishi wa umma acheni woga! Na msitumikie utawala ovu! Tushikamane tukomboe Tanganyika! #TanzaniaMassacre #MO29 #SamiaMustGo #TutaelewanaTu
Indonesia
12
103
318
18.1K
LIVING
LIVING@galalonga·
Mbwa anaekaribia kufa hukosa uwezo wa kunusa.
Indonesia
0
0
0
5
LIVING
LIVING@galalonga·
@Veriafya Hata yeye afya yake sio nzuri angeirekebisha kwanza yeye
Indonesia
0
0
0
19
Veriafya
Veriafya@Veriafya·
Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika, Prof. Mohamed Janabi aliyasema haya Machi 2, 2026 kwenye Busati la Msikiti wa Mtoro Video: Dua TV
Indonesia
1
9
31
2.9K
LIVING
LIVING@galalonga·
@mangekimambi Na atateuliwa kuwa waziri Mark my words..... Naota
Filipino
0
0
4
659
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Aisee, hii inaitwa hakuna wa kunifanya kitu na sijali. Watanzania nawaita mara 3, nchi imetekwa na majangili ni lazma kila mtu ajitoe. Hakuna namna. Hii haina u CCM tena wala uChadema tena. Huu ni wakati wa Watanzania woote kuungana ili tuwaondoe hawa mashetani madarakani. Aiseee, mnajua kimama hana aibu wala hajui vibaya. In short she doesn’t care anymore. Kaamua kuifirigisa nchi. Na bado kuna Mitanzania yenye low IQ inadhani kuna katiba mpya atayoleta huyu mtu.. Kibaya zaidi kuna Watanganyika bado wanaendelea na uchawa sababu ya kuendekeza njaa za kijinga.
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai

Sister @mangekimambi amkaaaa 😁 Angela Kizigha kateuliwa kuwa mbunge na shostiake @SuluhuSamia Ila jamani hawa kweli wanatuonaje!? Nyie @ccm_tanzania wa Tanganyika mliopo huko mna shida si bure Eniwei hakuna deka - aluta continua! #TutaelewanaTu

Indonesia
77
218
1.3K
101.6K
LIVING
LIVING@galalonga·
@Elsukay0 Na amefungua bonge la duka la vifaa vya ujenzi
0
0
0
47
EL SUKAYO LE ANALYSTE 🇹🇿
Kuingia tu kwenye kikao cha wanaume cha IPM ni 50k × watu 500 = million 250 Tshs Million 250 × vikao 10 = billion 2.5 Huyu mchungaji anapiga sana hela Bahati mbaya zaidi watu hawashituki Oyaa mjini shule
EL SUKAYO LE ANALYSTE 🇹🇿 tweet media
Indonesia
140
60
992
63.3K
LIVING
LIVING@galalonga·
@InexorablesoG Ukweli usiopingika watu watakufa sana wasipotoka kwenye usingizi maana Lisu sio kiumbe wa kawaida tungeacha ukiziwi tungetambua kusudi la Mungu. Mwaka huu tutazika sana
Indonesia
0
0
1
61
Marcus
Marcus@InexorablesoG·
Mchungaji Kimondo anapiga kwenye mshono. Wataelewa tu.hawa madiktekta
Indonesia
13
142
471
9.3K
LIVING
LIVING@galalonga·
@AfricaOne_ I fear the cup of pain is about to overflow. Soon, wisdom will mean nothing. Blood will flow, revenge will rule, fear will reign, and peace will be lost forever. Let us stop accepting titles that cause pain, and stop ignoring the suffering of others."
LIVING tweet media
English
0
0
0
1
Africa_Universal🌍
Africa_Universal🌍@AfricaOne_·
Nani kasababisha Hii Tabia 🔥🙌🏾
Indonesia
5
35
219
7.7K
LIVING
LIVING@galalonga·
@Sativa2555 I fear the cup of pain is about to overflow. Soon, wisdom will mean nothing. Blood will flow, revenge will rule, fear will reign, and peace will be lost forever. Let us stop accepting titles that cause pain, and stop ignoring the suffering of others."
LIVING tweet media
English
0
0
0
4
CINEMAS ANALYTIC 🎬
CINEMAS ANALYTIC 🎬@CinemasAnalytic·
No future for Tanzania with Samia Suluhu hassani Repost 340
CINEMAS ANALYTIC 🎬 tweet media
English
40
199
627
7K
LIVING
LIVING@galalonga·
@Jambotv_ Always bear in mind that whatever you sow, you or your children will reap. Use wisdom — do not destroy your own generation. The silence of many people is not a good sign for you. Learn to recognize the danger that is silently approaching you.
LIVING tweet media
English
0
0
0
2
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Tanzania Bara Benson Kigaila akihojiwa na Jambo TV kupitia kipindi cha 'Jambo Asubuhi' ametoa wito kwa wadau mbalimbali kuhakikisha wanakuwa tayari na kushiriki kwenye maridhiano pale ambapo mchakato wa jambo hilo utakapoanza Kigaila ameenda mbali zaidi kwa kueleza kuwa wale ambao hawako tayari kushiriki maridhiano wasibembelezwe kwani hakuna mtu/ watu muhimu kwenye nchi kuliko Watanzania wenyewe, na kwamba vyama vya siasa au wanaharakati pekee sio sehemu ya washiriki wa maridhiano bali maridhiano yanagusa makundi mbalimbali kwenye nchi.
Filipino
10
4
26
3.7K
LIVING
LIVING@galalonga·
@dailynewstz By nature, when a human loses all fear, their humanity disappears, their innate evil surfaces, and they become worse than a wild, ferocious animal. We should learn not to drive each other into the wickedness of fearing nothing. Free Tundu Lissu.
LIVING tweet media
English
0
0
0
2
LIVING
LIVING@galalonga·
@MariaSTsehai By nature, when a human loses all fear, their humanity disappears, their innate evil surfaces, and they become worse than a wild, ferocious animal. We should learn not to drive each other into the wickedness of fearing nothing. Free Tundu Lissu.
LIVING tweet media
English
0
0
0
2
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
#FreeTunduLissu Kama wewe bado unafikiri ishu hii ya kutaka Tundu Lissu aachiwe ni ya CHADEMA au wanaharakati basi huelewi siasa mbovu inavyoathiri vibaya maisha yako! Ukishindwa kupigania haki za msingi za wengine usitarajie watakuwepo wa kukupigania haki zako wewe! Kwa sasa kila mtanzania ana wajibu wa kuweka #FreeTunduLissu na kuwaambia hawa wauaji kuwa INATOSHA! #WenyeNchiWananchi Tunataka nchi itulie na tujenge Taifa - inaanza na unconditional release ya Lissu na #SamiaMustGo nje ya hapo ni kupoteza muda na huu muda wa kujenga ukipita hautarudi tena! Yaani nchi ikwame kwa sababu ya genge ndogo inayoongozwa na Bi Kizimkazi? Eniwei msiponielewa leo basi huko mbele #TutaelewanaTu mambo yakiwa magumu zaidi! #FreeTunduLissu
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
33
300
940
33.2K
LIVING
LIVING@galalonga·
@Jambotv_ By nature, when a human loses all fear, their humanity disappears, their innate evil surfaces, and they become worse than a wild, ferocious animal. We should learn not to drive each other into the wickedness of fearing nothing. Free Tundu Lissu.
LIVING tweet media
English
0
0
0
3
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
HABARI PICHA: Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb), ameshiriki katika hafla ya utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU) kati ya Taasisi ya Innopraktika kutoka nchini Urusi yenye muunganiko wa makampuni zaidi ya 142 ya Teknolojia (High Tech companies) na Kampuni ya Gen Z Corporation Limited ya Tanzania. Akizungumza katika hafla hiyo, iliyofanyika Machi 25, 2026 katika ofisi ndogo za Wizara zilizopo Dar es Salaam. Kombo amesema Tanzania na Shirikisho la Urusi zimejizatiti kuimarisha ushirikiano katika teknolojia za kisasa, hatua inayolenga kukuza diplomasia ya uchumi kwa manufaa ya maendeleo ya Wananchi wa pande zote mbili. Aidha, Waziri Kombo amesema hati hiyo ya makubaliano imekuja wakati muafaka ambapo Tanzania inaendelea kuimarisha utekelezaji wa Sera yake Mpya ya Mambo ya Nje, inayolenga kukuza diplomasia ya uchumi, huku ikisisitiza umuhimu wa teknolojia na ubunifu kama vichocheo vya maendeleo endelevu. Balozi Kombo amesema teknolojia ya kisasa ni chachu muhimu katika kupunguza umaskini, kurahisisha upatikanaji wa elimu, masoko ya bidhaa, na huduma za kifedha katika sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya kilimo. Sambamba na tukio hilo, Waziri ameelezea kufurahishwa na pendekezo la makampuni hayo la kuanzisha 'Kituo cha Teknolojia – Technology Hub' nchini Tanzania. Amebainisha kuwa mpango huo unaendana kikamilifu na azma ya kitaifa ya kuwa kitovu cha teknolojia ya taarifa na mawasiliano (ICT) kikanda. Awali, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Innopraktika, Bwana Alexander Likhanov alisema Hati hiyo ya Makubaliano ya ushirikiano itahusisha ushirikiano katika teknolojia za kisasa katika kuboresha ufanisi wa kazi katika sekta mbalimbali ikiwemo kilimo, madini, mawasiliano, usafirishaji na maliasili. Hafya hiyo imejumuisha wataalam kutoka COSTECH, watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na wajumbe kutoka Kampuni zilizosaini mikataba hiyo.
Jambo TV tweet mediaJambo TV tweet media
Indonesia
2
1
18
1.5K
LIVING
LIVING@galalonga·
@JamiiForums By nature, when a human loses all fear, their humanity disappears, their innate evil surfaces, and they become worse than a wild, ferocious animal. We should learn not to drive each other into the wickedness of fearing nothing. Free Tundu Lissu.
LIVING tweet media
English
0
0
0
2
Jamii Forums
Jamii Forums@JamiiForums·
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Afya ya Kinywa na Meno kutoka Wizara ya Afya, Dk. Baraka Nzobo, Machi 26, 2026 katika uzinduzi wa maonesho ya Kimataifa ya Vifaa na Huduma za Afya ya Kinywa na Meno (Tanzania Dental EXPO) ambapo maonesho hayo yatafanyika rasmi Mei 28–30, 2026 Jijini Dar es Salaam. Zaidi jamii.app/MenoKuoza #JamiiForums #JFAfya #PublicHealth
Indonesia
3
1
23
2.6K