Sabitlenmiş Tweet
ZEGEGA
12.7K posts

ZEGEGA
@Zegega339
Jifunze maarifa mbalimbali ya kiroho na kimwili,tambua ulimwengu wa kiroho hasi na chanya,elimu zilizofichwa,zijue dawa Contact me. +255 678252118 /0747422466
Dar es salaam,kawe Katılım Mayıs 2020
6.7K Takip Edilen4.9K Takipçiler

@Kassa_Chiddy @nassor_01 kaka majini ni story za kusadikika hakuna evidence za kisayansi uwepo wa hizo vitu
Indonesia

@ItsKamala @MangiwaKwanza1 Tena kiluvya yenyewe nyingine ipo kibaha upande ipo kisarawe
Indonesia

@MangiwaKwanza1 Kiluvya ni pwani unajiuliza inakuwaje? Fikiria mtu wa ikwiriri anatoka huko anapita Dar anaenda kibaha kutafuta makao makuu ya mkoa
Mzaha 😀
Indonesia

@Zephania_Ndaki 29 oct waliwatoa wenzao ,wao na rafiki zao na ndugu zao hawakutoka

@mTusiOriginal Hildah vipi wakuuu,
Au haimuhusu hiyo🤔🤔
Indonesia

@Zegega339 Huyuuuu na sadio kanouteeee putiiin wamepita stade malien kwa vipindi tofautiiiii 🗣️
Filipino

@simply__fiasco @MrDepalitto9 Kwa konda suala la kula au kupata kodi sio ishu labda awe mtu wa starehe sana
Indonesia

@MrDepalitto9 Kwa hiyo huyo konda hali wala hapangi 😁😁😁. Humu ni pa kukaa kitaalam sana 😁😁
Filipino

@WaterMe65619922 @SwahiliRealTalk Ni muhindi ila Taifa ni kenya ndiye Grand master wa East Africa kwa sasa, Dr Virendra k Talwa
Filipino

@Zegega339 @SwahiliRealTalk Na yeye ni mshindi?? Au black African?? Kama una namba yake nisaidie nataka nimshauri aokoke
Indonesia

Mwaka 2017 aliyekuwa mfanyabiahsra maarufu wa Tanzania na kiongozi wa ‘Freemason’ Afrika Mashariki, Jayantilal Keshavji “Andy” Chande amefariki dunia huko Nairobi nchini Kenya.
Jayantilal Keshavji “Andy” Chande alizaliwa May 7, 1928 Mombasa Kenya, na wakati wa utoto wake aliishi Bukene mkoani Tabora ambako ndiko alikopata elimu yake ya msingi.
Elimu yake ya sekondari aliipata katika Shule ya St. Peter’s School iliyoko Panchgani, walaya ya Satara, Jimbo la Maharashtra nchini India. Baada ya kufanya vizuri katika mitihani yake ndipo alipopata jina jipya la ‘Andy’ ambalo ndilo alikuwa akilitumia mpaka mauti yalipomkuta.
Baada ya kumaliza masomo yake, alirudi nchini Tanzania na kuendelea kumsaidia baba yake katika shughuli za kibiashara.
Mnamo mwaka 1967 wakati azimio la Arusha lilipopitisha sera ya utaifishaji, mali nyingi zilitaifishwa na kuwa za serikali. Ujuzi aliokuwa nao Andy ulimfanya Mwl. Nyerere amteue kuwa Meneja Mkuu wa Shirika la Taifa la kuhifadhi nafaka (National Milling Corporation)
Mpaka kufikia mwaka 2015 alikwa na utajiri wa dola za kimarekani milioni 892 sawa na TZS trilioni 1.9.
Wakati wa uhai wake amewahi kupokea tuzo mbalimbali ikiwemo ya (Knight Commander of the Most Excellent Order of the British Empire) KBE mwaka 2003 ambayo ilikuwa ni kwa mara ya kwanza kupewa raia wa Tanzania.
FOLLOW ME @SwahiliRealTalk kwa historia nyingi zaidi

Indonesia

@WaterMe65619922 @SwahiliRealTalk District Grand Master
RW Bro Dr. Virendra K Talwa
English

@SwahiliRealTalk Nani alishika nafasi yake?? Pale freemason
हिन्दी

Kwenye picha kila mwanamke huwa ni mzuri hadi pale utakapokutana nae
Ms.__hope@Ms__hope255
🥰❤️
Filipino

@sarahsiplisa Mwanamke awe mweupe tena weupe wake wa asili Tanga hapo kuna weupe kama papai na hata vipodozi hawavijui
Indonesia















