Rais7

926 posts

Rais7 banner
Rais7

Rais7

@Rais611

Katılım Ocak 2020
750 Takip Edilen142 Takipçiler
Rais7
Rais7@Rais611·
Hatucheziiiiiii Ni aibu kuwa na viongozi kama Kasongo,Mnguto,Boimanda,Karia na wenzake kwenye mpira wetu Haijalishi kuna hatua gani kwenye maendeleo ya mpira nchini Hapa mada ni ubakaji wa kanuni uliofanywa na tff na bodi ya ligi tarehe 8th March 2025
Rais7 tweet media
Indonesia
0
0
1
5
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Wewe ku** kibuyu wewe. After all you have done, unatoa wapi nguvu ya kunitafuta tuongee??? After wewe na wapuuzi wenzio wa Njaa55 kuanzisha issue ya kwamba Lissu anafanya uhaini mpaka CCM wakambambikia kesi leo unanifata tuongeee? After the damage mmefanya we na wapumbavu wenzio ya kui-weaken Chadema sababu ya kujali matumbo yenu unanifata tuongeee? . Pumbav siongei na wasaliti…. Siachiagi maongezi na watu nomatter what, hata chat zangu na Abdul wa Samia sijawahi kuachia mpaka leo ila nimeachua hii sababu wewe ni traitor wa hii nchi….. Mnam-weaken Lissu sababu mnataka Mbowe arudi aendelee kushirikiana ma CCM? Sasa mmesababisha mpaka Lissu ambae tayari ana kilema aende kufia jela… . Mi nilikuwa naongea na wewe zamani kipjndi nakuona una akili. NEVER AGAIN. Mbwa wewe!!!
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet media
Filipino
348
387
2.1K
253.1K
Boniface Mwabukusi
Boniface Mwabukusi@Mwabuk2Boniface·
TAMKO NA MSIMAMO WA TLS KUHUSU SAKATA LA MWENYEKITI WA CHADEMA WAKILI MSOMI TUNDU ANTIPAS LISSU.
Boniface Mwabukusi tweet mediaBoniface Mwabukusi tweet mediaBoniface Mwabukusi tweet media
Indonesia
106
737
2.7K
83.8K
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Taarifa rasmi ya @ChademaTz kwa Kiingereza na Kiswahili 👏🏽 Public statement in English as well from @ChademaTz about not taking part in signing the election code of conduct today 👇🏾 @ccm_tanzania is so desperate at this point after failing to dampen the spirit of #NoReformsNoElection despite charging @TunduALissu with treason! They are neck deep in trouble and they know it!
Maria Sarungi Tsehai tweet mediaMaria Sarungi Tsehai tweet media
English
68
377
1.2K
55K
Laul🌺🦋
Laul🌺🦋@Saraphinalaul78·
Hawa wababa wenye ( Age 45 ) na kuendelea sjui inakuwaje wanatembea na watoto wadogo mfano under Age18-23 wakati wamama huko mtaani wapo wengi sana 💔 INAUMIZA SANA BADILIKENI 🚮🔞
Indonesia
178
17
465
66.9K
mwijaku
mwijaku@MwijakuBurton·
Nimepokea taarifa mazito juu ya Boss wangu . Amenambia tayari amepata wa maisha yake . Inshaalah Ndoa hiyo
mwijaku tweet media
Indonesia
29
16
982
23.6K
Rais7
Rais7@Rais611·
@azamtvtz 1.Yanga 2.Simba 3.Azam 4.Nafasi ipo wazi By mwl Ghulam Mutabazi msemaji wa mashabiki wa mpira babati nzima
Indonesia
0
0
0
16
Azam TV
Azam TV@azamtvtz·
MSHIKEMSHIKE: Kwa namna Ligi Kuu ya NBC inavyoenda, unadhani ni timu zipi zitashika nafasi nne za juu na kupata uwakilishi wa kimataifa? Tuandikie maoni yako hapa na sisi tutayasoma kwenye kipindi cha Mshikemshike saa 3:00 usiku LIVE #AzamSports1HD #Mshikemshike
Azam TV tweet media
Indonesia
27
0
32
5.6K
Lady JayDee
Lady JayDee@JideJaydee·
Nahitaji mtu wa kupokea simu zangu kwa muda wa miezi 5 kuanzia March 1st hadi August 1st 2025. I hate phone calls 😩
Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 Indonesia
727
97
2K
226.6K
Rais7
Rais7@Rais611·
@Jacquetorro Baba kuchagua starehe yake na wewe tafuta mume uolewe atachagua starehe yako
Indonesia
0
0
0
9
Jacque
Jacque@Jacquetorro·
Nimemuomba baba yangu 10k ameninyima muda kidogo mama yangu akapiga simu akarequest 210k akamtumia muda huo huo kweli haya mambo ni priority😂💔😩
Filipino
81
29
734
71.6K
Rais7
Rais7@Rais611·
@sheebecky Naona umeamua kutoa elimu kwa hivi vitoto vya 2000
Indonesia
0
0
0
7
ms.milembe
ms.milembe@sheebecky·
Mm hata aniamshe usiku wa manane anataka supu ya utumbo na gesi imeisha naamka nawasha kuni nampikia ale..ntoen kwenye ujinga wenu wa feminism 🤣
Indonesia
184
117
1.4K
140.6K
Rais7
Rais7@Rais611·
@hereiseddy_ Na wanaume tujue kutoa matumizi au tukubaliane na matokeo
Eesti
0
0
0
19
ADENUGA✝️
ADENUGA✝️@hereiseddy_·
Unatombewa kisa matikiti na mboga za majani😂😂 ao madem zenu hamuwapi chakula ama?
Indonesia
142
60
845
72K
Malkia Nawal
Malkia Nawal@Mrsbajabir·
Kuna kijana ana 23yrs ananipenda balaa ila mhhh na hii miaka yangu 40 inanifanya nisite japo nampenda. Nishaurini. N.B: Ni handsome na pesa anayo
Filipino
200
20
483
116.2K
Rais7
Rais7@Rais611·
@HildaNewton21 Kosa la dc ni kuihujumu katiba na amekiuka kiapo chake kwa kutoa siri za serikali kwa asiyehusika
Indonesia
0
0
0
2
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Tuwe wa kweli tu hapa DC kosa lake ni lipi?
Filipino
209
181
960
158.9K
Rais7
Rais7@Rais611·
@mzeewakaliua Huyo anajiuza wanaotoa bure thamani yao ni kubwa kwani wanatoa kwa waume zao na Mungu muumba atawalipa
Filipino
0
0
0
2
OscarOscar
OscarOscar@mzeewakaliua·
Dear sister, kuna mtu leo Kapewa Gari na Nyumba kwa kile kile wewe unachokitoa Bure.
Filipino
28
43
1.1K
43.8K
fatma karume aka Shangazi
fatma karume aka Shangazi@fatma_karume·
Kuna watu WAPUMBAVU sana 🇹🇿. Mnashindwa kumwandikia SSH na kumuita EVIL lakini mnanitukana kwa sababu ninakataa kumuita EVIL! Stupid kabisa! Muiteni EVIL kama mna amini hivyo! Mie nilimuita Magufuli EVIL hadharani kwa sababu niliamini he was EVIL! Sijaogopa!
Indonesia
248
36
570
62.6K
Rais7
Rais7@Rais611·
@muandazi Fuatilia CEO wa makmpuni ya bakhressa ndo utajua kuwa kiba si mshamba
Indonesia
0
0
0
8
LOCHO
LOCHO@muandazi·
CEO wa wasafi Ni mondi CEO wa EFM Ni majizo CEO wa crown fm Ni Aidan seif na sio Ally kiba🙄🙄🙄 Hii imekaaje wakuu
LOCHO tweet media
Indonesia
158
28
824
148.2K
Rais7
Rais7@Rais611·
@SharonMontana20 Unasubiri nini wewe nenda tu ukerewe yeye ataenda kwa Mungu Ila pesa hata kama ni buku ikikupotea bila ridhaa yako inauma muacheni baharia adai 80k yake hamjui alivyoipata aisee
Indonesia
0
0
0
133
Rais7
Rais7@Rais611·
Tulienjo sun siju hii makala ilipotelea wapi aisee Hebu malegend wenzangu nitajie kikosi
Rais7 tweet media
Suomi
0
0
0
11
Rais7
Rais7@Rais611·
@goligani Yaani kikosi hakina njomba nchumali na lod lofa Ukimuacha baba ubaya meneja wa timu Goal mashine ni load lofa alitupia mbili ft Born town 0-2Bush stars
Indonesia
3
0
0
250
goligani
goligani@goligani·
Watoto wa EFU MBILI tupisheni hapa kweny TBT ya KIBABE hii ilikuwa bonge la DERBY mwaka 1993 kati ya BORN TOWN na BUSH STARS kweny uwanja wa MANYASINI. WALIOSIMAMA kuanzia kushoto ni komredi kipepe,kepu ndondo,huihui,kobelo na Mzee meko. WALIOCHUCHUMAA kuanzia kushoto ni mdindifu,mtwivira,madenge,kizibao, na zoba. BACK BENCHA Nina VOCHA ya BUKU ya mtandao WOWOTE kwa mtu atakaenipa matokeo ya game hii na wafungaji kina nani FT.
goligani tweet media
Indonesia
64
45
340
52.2K