Malkia Nawal

116.5K posts

Malkia Nawal banner
Malkia Nawal

Malkia Nawal

@Mrsbajabir

Nutritionist at Kukeke Gang, Nutritionist Local Miyeyusho Gang, Mwenyekiti Chama Cha Wasimbe😍

Tanzania Katılım Aralık 2019
2.1K Takip Edilen8.2K Takipçiler
Malkia Nawal retweetledi
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Kuna maisha Europe na America haswa maeneo mawili ya "Tabia ya Ulaji" na "Malezi" wameanza kujirudi, halafu sisi ndio tunayaacha 😁 Waafrica uwa ni kama tupo centuries nyingi nyuma 🤣
Indonesia
14
32
464
17.5K
Malkia Nawal retweetledi
TRUST ME BRO
TRUST ME BRO@Mwenyekit_i·
My uncle died in 2005 alikuwa na rafiki yake ambaye aliendelea kumjulia hali na kumtembelea mama yake (bibi yangu) miaka yote mpaka alipofariki 2021; Bado anaendelea kuwatembelea nyumbani ndugu zake miaka 21 baada ya kifo cha rafiki yake. We all need this kind of friendship.
Indonesia
14
70
597
20.6K
Ahmad
Ahmad@rajuQuire·
@Ochu_Mpwemuka Barakallahu lakuma wa baraka alaikuma wa jama’a baynakuma fii khair. 🤲🏻💍
Indonesia
1
1
7
97
Malkia Nawal retweetledi
Maviatu 👞👟🥾🛍️🛒
Kila mtu anafaa kukomaa viti maalumu vifutwe. Hawa ni 30% ya wabunge wote. Na wanaigharimu nchi Tsh.200B+ Tuanze na hili moja peke yake.
Indonesia
36
148
866
22.6K
LastKid
LastKid@PoorCandidate·
@MarekaMalili Nishachukia hatua mkuu, inshallah Mwaka huu mambo yatakuwa safi😂😂
Indonesia
2
0
1
117
Maviatu 👞👟🥾🛍️🛒
Watu ambao hawana haraka na watoto huenda ndio watu wenye utimamu na wanaofikiria zaidi kuliko wenye watoto. Mtoto ni kitu serious ila sisi tunazaa kwa mazoea, unakuta hata lishe yake inamgonga halafu alete mtoto. Udumavu hautoisha. Michezo.
Wakunesa@Savasec

Mtu ana miaka 37 na unaheshimiana nae vizuri tu alf kumbe hana mke wala mtoto,Ukimuuliza shida nn eti bado anajipanga.Aisee kuna watu wasenge sijawahi kuona miaka 37 unajipanga na nini?

Indonesia
40
55
276
27.1K
Malkia Nawal retweetledi
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Hakuna kitu nachukia kama uongo 🙌🏼 Bse m a very honest person.
Filipino
19
44
245
12.3K
Azmina
Azmina@amina_salum·
@Mrsbajabir @MarekaMalili Ukweli tunapenda kuusikia ila sasa hao wa kutuambia ukweli ndio tunawatafuta kwa tochi, vile hawapatikanagi kirahisi😃
Filipino
1
0
1
26
Malkia Nawal
Malkia Nawal@Mrsbajabir·
@amina_salum @MarekaMalili Kweli Ila wanaume wanaangalia una uwezo wa kupokea ukweli? If yes basi wanakupa sema majority ya wanawake hawapendi ukweli ndio shida
Filipino
1
0
1
11
Malkia Nawal retweetledi
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Usipime uvumilivu wa mtu kwa kumuongezea maumivu.
Suomi
15
175
672
12.3K
Malkia Nawal retweetledi
Nyani Ngabu
Nyani Ngabu@NNgabu_·
@EsirEid Genge la Maria na Buyobe kuna mahali wamepishana na kama kawaida ya kina Maria silaha yao kubwa ni kuwatupia shutuma za uongo na kweli watu mitandaoni. Hamna kitu hapa zaidi ya mgongano wa kimaslahi kati ya genge la Maria na Buyobe. Wayamalize "kifamilia".
Filipino
2
2
6
1K
Malkia Nawal retweetledi
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Mimi ndio maana huwa nawaita WANAHARAKATI UCHWARA… Mkikosa AGENDA ya muhimu mnaanza kuangalia mtu gani wa kumuangushia jumba bovu! Muandishi Charles Stewart,Alishasema : "Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people" Yaani nyie mtu ili mumkubali lazima awe Nje ya nchi Kama mkimbizi akibaki nchini mnaaanza kumuita TISS nk😅 Hebu nendeni kwenye Agenda bana… huku siko… mnajishusha nakuharibu BRAND pamoja na Legitimacy mliojiwekea humu!
Think Different@lifeofmshaba

Kwa ufafanuzi kidogo maana naona machawa wanapindisha kidogo Hii hoja kuhusu usiano wa Post za @fbuyobe hapa online, inahusiana na mahusiano yake na Msuya, haihusiani chochote na anachopost au anachofanya hapa ila ni gizani kinachofanyika ndio issue. Kuna mtu amewahi kuona ameandika chochote kuhusu Msuya? na kufafanua lolote kuhusu Msuya kufanya utekaji? Humu amejiweka kama mhunguzi na anashusha sana mafile, sasa Mbona file la Msuya ajashusha, issue iko hapo na Richard Mwesigwa , Azizi na Siri za CHAUMMA na Mbowe akipenda anaweza fafanua kwa nini polisi wanamuita kwamba yeye ni kijana wa Abdul hapo central polisi why kuna mambo hayo mwisho, hawa machawa wa CCM wanaomtetea leo amewatoa wapi nani amempa hao machawa ghafla?

Indonesia
38
31
144
16.6K
it could be today grandma
it could be today grandma@LamelaEric008·
@MarekaMalili 🤣🤣 huruma siyo maleziii hiyo kazii muachie mama Maggie mm Mzee hakuwaiii nipiga lakini yule mama alikua anapiga kama anajua mbwaa Hadi unajiuliza huyu ni bimkubwa kweli🙌🏾
Filipino
2
0
2
639
Malkia Nawal
Malkia Nawal@Mrsbajabir·
@DMsangii @ZrdWMqWE Inna lillahi wainna ilayhi rajiun, Allah amsameh dhambi zake na amridhie. Na nyie muwe na subra
Indonesia
1
0
0
42
Mwidini_Z_Msang
Mwidini_Z_Msang@DMsangii·
Innah lilah laajun nimempoteza baba yangu usku huu
Indonesia
218
93
768
20K