Bonge La Seller

2.3K posts

Bonge La Seller banner
Bonge La Seller

Bonge La Seller

@SEGGA101

"Bulk sms" & "Bulk WhatsApp”. Tailor made for your business. Contact: [email protected]

TANZANIA Katılım Mart 2013
385 Takip Edilen154 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Bonge La Seller
Bonge La Seller@SEGGA101·
"Unleash the power of WhatsApp Bulk Messaging! 💬💪📲 Supercharge your communication strategy with our convenient and efficient tool. 🚀✉️ ONE TIME PAYMENT, NO extra costs Call: 0749333665
Bonge La Seller tweet media
English
0
0
1
110
Hasta La Victoria Siempre
Kushoto ni msemaji mkuu wa Serikali ya Kenya Isaac Mwaura. Ana diploma 2, degree 1, Masters 2, na Phd student at Oxford Kulia ni Gerson Msigwa msemaji mkuu wa Serikali ya TZ. Alimaliza A.level Songea Boyz 2000, akajifunza kutangaza habari mbalimbali, akaajiliwa Radio Tanzania
Hasta La Victoria Siempre tweet mediaHasta La Victoria Siempre tweet media
Indonesia
83
144
1.5K
72.3K
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️
Ukiamua kufuatilia hii vita Kwa akili yako timamu utagundua tu marekani bado ni kama anajaribu kutuliza hii vita siyo tena kupigana, lengo alisha kamilisha ila Iran Wana mlazimisha Marekani aingie vitani wakati haikuwa lengo lake. Marubani wote wa ndege za marekani walio angukia kwenye ardhi ya Iran wote wame okolewa mpaka Sasa, hii ni wazi kwamba marekani ana sababu zote za kuipiga Iran ndani ya wiki Moja tu na Kuimaliza ila bado hajataka. Kitendo hiki ni picha tosha kwamba marekani bado anafanya ubinadamu kwenye vita hii.
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️ tweet media
Indonesia
95
7
166
20.9K
EL SUKAYO🇹🇿
EL SUKAYO🇹🇿@Elsukay0·
Yupi ni mchambuzi bora wa siasa za ulimwengu!? Yupi unamkubali?
EL SUKAYO🇹🇿 tweet media
Indonesia
207
24
306
46.8K
Bonge La Seller
Bonge La Seller@SEGGA101·
@Bukayoshafi77 Mungu awasaidie kwenye mechi zao mashabiki wasianze mashetani ya kukaanga chips, hawakawii kubadilika kisaikolojia, maana wanalihitaji Sana kombe
Indonesia
1
0
2
194
Bukayo Shafi🇹🇿
Bukayo Shafi🇹🇿@Bukayoshafi77·
🔴⚪️Jamaa wote wameumia kwenye mchezo mmoja na kutolewa kwenye kikosi cha timu ya taifa akili mtu wangu.
Bukayo Shafi🇹🇿 tweet media
Indonesia
4
7
174
6.4K
Bonge La Seller
Bonge La Seller@SEGGA101·
@mTusiOriginal Watu walio katika closed mind ndio huwa wanadhani uvutaji wa sigara ni kosa. Sio kosa jamani, ni maisha ya mtu, kuna wengine wanakunywa pombe.
Filipino
1
1
1
242
mTusi original 👦
mTusi original 👦@mTusiOriginal·
Kuna video nimeiona tajiri saidi lugumi anapiga fegi mbele ya mawazili akina Rizone kikwete yani ukiwa na hela ukivuta sigara unaonekani unarefresh😂😂😂👇👇
mTusi original 👦 tweet mediamTusi original 👦 tweet media
Filipino
21
22
651
62K
komugisha Peace
komugisha Peace@KomugishaPeace·
If arsenal loses today's game, call me a dog🙌🏽
komugisha Peace tweet media
English
7.3K
555
8.1K
624.5K
Bonge La Seller
Bonge La Seller@SEGGA101·
@VungaEl74 We unasaidiwa nini ndugu yangu na hao Mmarekani, Israel hata Iran?
Indonesia
0
0
0
27
Vunga
Vunga@VungaEl74·
IRANI inaongozwa na magaidi na watu wa mihemuko kwenye maamuzi wangekuwa na Nuclear weapons saiv wengeitumia Asante Sana Trump na Netanyahu kwa kusaidia duniani na vizazi vya baadae Nchi kama hizi za ukandamizaji wa haki za binadamu na kuua watu zizibitiwe mapema Tukichelewa tutakuja kuipoteza hii dunia Hogera Israel na Marekani
Vunga tweet media
Indonesia
48
4
68
4.4K
#ImranRoofing & Properties🏠
#ImranRoofing & Properties🏠@imran_services·
See what my neighbour is doing, he is constructing rooms and attached them to my fence. So, my fence is now part of his property, i don't get it? The fence i built alone, i called him and ask him to stop He says i don't have the right to tell him what to do on his Land. Atanda, I want to take it up Pls tell me what to do sir
#ImranRoofing & Properties🏠 tweet media
English
2.2K
675
5.4K
2.1M
®️ E L E
®️ E L E@ReleGlo·
Dating a broke guy can be really draining. You end up pretending you don’t like nice things just to protect his feelings, and acting like money doesn’t matter when it actually does 😪😭
®️ E L E tweet media
English
3.9K
365
3.8K
1.7M
Bonge La Seller
Bonge La Seller@SEGGA101·
@issapax @KibwanaEdgar Na kwanini refa aliruhusu mchezo uendelee mpaka extra time?, na viongozi wa CAF wakagawa kombe, ina maana walikuwa hawajui Sheria?
Indonesia
1
0
2
57
Mzawa
Mzawa@issapax·
@KibwanaEdgar Weah ni mchezaji wa zamani sana natumaini tangu astaaf sheria zimebadilishwa nyingi japo hiyo article84 ipo je wa senegal walitoka.wenyewe tu bila.sababu yeyote?
Indonesia
1
0
3
1.1K
edgar kibwana
edgar kibwana@KibwanaEdgar·
"Sheria ipo wazi sana .Ukiondoka Uwanjani na kurudi tena tafsiri yake wewe tayari umepoteza mechi.Morocco wametumia sheria iliyopo kudai haki yao na wameipata.Hongera sana kwao kwa kuongeza Kombe lingine la AFCON " George Weah - Mchezaji wa zamani wa timu ya AC MILAN
edgar kibwana tweet media
Indonesia
53
7
210
18K
George Ambangile
George Ambangile@George_Ambangil·
Napitapita humu naona watu wamekuwa wakali sana Bruno kutajwa kwenye nafasi ya kutwaa tuzo ya mchezaji bora EPL msimu huu. Sasa nasema kwa ajili ya fans wote wa United, sisi hata Bruno asipotwaa hatuna shida , tunaridhika kwa alichofanya kwetu msimu huu.
George Ambangile tweet media
Indonesia
108
127
1.4K
21K
Bonge La Seller
Bonge La Seller@SEGGA101·
@HashtagSD_ @George_Ambangil @anuskills3 Kupumzika sio magoli kiongozi, Ronaldo, Rooney, Halaand mbona Wameonyesha hivi viwango Sana hata kama wamecheza mechi nyingi ndani ya msimu bila kupumzika, lakini walishinda goli nyingi na assists.
Indonesia
0
0
0
9
Hashtag 🅢🅓 °
Hashtag 🅢🅓 °@HashtagSD_·
@SEGGA101 @George_Ambangil @anuskills3 Kabla sijajibu hilo. JIULIZE BRUNO ANACHEZA MASHINDANO MANGAPI ZAIDI YA LIGI KUU TU. WENZIE BAADO WAKO KWENYE MAKOMBE YOTE WANA PAMBANA. HAWA PUMZIKI WIKI 3 MFULULIZO KAMA BRUNO. wao kila wiki wako uwanjani. NA HAWA FUNGWI. Badili swali bwana mdogo
Filipino
2
0
0
108
Bonge La Seller
Bonge La Seller@SEGGA101·
@emabilly2001 Sijui kwa nini kina Mo, GSM , Bakhressa, Kusaga hawafanyi haya mambo?, hawa kina Godlove sijui Wana Ka mtindio wa ubongo au vipi?, wanatumia nguvu nyingi kutuaminisha Wana hela.
Filipino
1
0
0
524
Beast
Beast@emabilly2001·
Ni ulimbukeni na ushamba huwezi kuniambia unalisha ng'ombe majani kwenye gari nikuone wewe ni tajiri. Never ni utahila tu huyu jamaa anaendelea kuonyesha watu wa mbeya wengi ni malimbukeni
Beast tweet media
Indonesia
94
29
321
28.7K
Micky Jnr
Micky Jnr@MickyJnr__·
🇲🇦 Ladies and gentlemen, Morocco are the 2025 AFCON champions! 🏆 They hosted They saw They believed They conquered Congratulations to all Moroccans on a historic victory! 🏆 #AFCONwithMicky #AFCON2025
Micky Jnr tweet media
English
714
223
1.7K
60.8K
Bonge La Seller
Bonge La Seller@SEGGA101·
@JMariotz Kwa maoni yako nani ni mchezaji bora kwa sasa EPL kumzidi Bruno?,,,,, numbers don't lie.
Filipino
0
0
1
22
Jogoo la Shamba Mjini
Jogoo la Shamba Mjini@JMariotz·
Zaidi ya nusu ya G/A za Bruno Fernandes msimu huu ni set pieces ila Nyumbu wanasema anastahili kuwa mchezaji bora wa EPL. Only 36% of Arsenal PL goals this season are coming from set pieces ila wanasema they don’t deserve to be champions. Kwa Nyumbu Pogba was right 100%.😆😂
Jogoo la Shamba Mjini tweet media
Indonesia
28
6
98
7.2K
Bonge La Seller
Bonge La Seller@SEGGA101·
@Chizzodrama Wanaomcheka Kontawa labda Wana wivu kaka. By the way, Sanaa ina uwanja mpana.
Indonesia
0
0
0
223
chizzo drama
chizzo drama@Chizzodrama·
STEREO aliwahi ku~rap “ SINA SONGS KAMA TREY” Huu ni mfano wa zile wordplay za kawaida ( not clever), hata kama alimaanisha habani pua still that line is the weakest link Msiwacheke akina KONTAWA. sometimes ni pronounciation trick(how it sounds) pengine likafurahisha tu.
chizzo drama tweet media
Indonesia
13
6
52
5.9K