Son of God@EliabuDanford
Hata mniite Pro-Israel, no problem, Taifa linatengenezwa, linatengeza silaha kubwa kubwa, unakuta lina mtaala mashuleni jinsi ya kuchukia na kuua Wayahudi[wote]. Zingine zina katiba inasema lengo ni kuuwa Wayahudi wote. Then baada ya hapo speech kwa speech hatutaki Dunia yenye wakristo mnasema nisiseme naonekana mdini?? No, I don't want to please anybody na simuogopi mtu yeyote, eti kila kitu kiwekwe kwenye siasa mbona wao hawaweki kwenye siasa tu kila siku. Wakifa ni martyrdom, yaani wamemfia mungu wao[wanapigana kwa ajili ya mungu wao]. Wakipiga in our god we shall prevail then mnasema ni siasa?? Nope.