Sabitlenmiş Tweet
Shaaban Daudi
463 posts

Shaaban Daudi
@SMDKING6
Web Designer and Dev: Php, Laravel, React, NodeJs, OctoberCms, Django, Flask, FastApi, Quart | Mobile App Dev: React Native, Flutter | Data Science & AI
Dar es salaam, Tanzania Katılım Mart 2019
859 Takip Edilen137 Takipçiler

@airtel_tanzania habari za wakati huu, nimekuwa muhanga wa kupata data kupitia router yenu tangu nilivyojiunga wiki ya pili sasa, nimetoa taarifa kwenu niliambiwa nitapigiwa lakini sijapigiwa, niliiwasilisha router kwenu nikaambiwa chip ilicheza, sasa tatizo limekuwa endelevu.
Filipino

@ShowmaxOnline I've been charged twice a month I'm looking for a way to contact you guys directly with no success.
English

🔥🔥🔥 uGodZille usekhulumile guys. Stream the #ShowmaxRoastofHelenZille now. Only on Showmax
🔗 shw.mx/helenzilleroas…
English

@Phbhimself Mbona wapo viongozi anafanya ushoga..mbona
.. je dini ndo inavyosema. Kumbuka viongozi wa dini pia ni binaadamu ukiona kakosea usimfuate kwenye ubaya wake fuata muongozo wa dini unasemaje. Fuata dalili kwenye maandiko na yasemwayo hakikisha hayapingani na dini yako inavyosema.
Indonesia

@Phbhimself Ukiona mtu kakosea usianze kupondea katika yale mema anayoyafanya kemea ubaya tu. Pengine kila mtu fulani akienda nyumba ya ibada anamuomba mungu ampe nguvu ya kuishinda dhambi ambayo ww unaitumia kumpondea. Au pengine akasikia mawaidha yakapelekea kuacha mabaya.
Indonesia

Ndugu yangu, hebu tulia, kaa sawa, halafu sikiliza kwa umakini.
Leo nataka nikufungulie macho, nikueleze ukweli ambao wengi hawataki kusikia, ukweli ambao dini zimekuwa zikiuficha kwa karne na karne.
NB: Hili si somo la kidini, wala si mahubiri ya kuokoka, hivyo wafia dini kaeni mbali.
Hili ni somo la maisha, ukweli wa dunia hii ambayo wengi wetu tunaishi kwa mazoea, tukiwa tumefungwa kwa minyororo ya imani bila kuuliza maswali ya msingi.
Ukweli ni kwamba dini zilipaswa kutufundisha hekima, maadili na kutuongoza katika njia sahihi.
Lakini badala yake, zimekuwa njia ya kuwafanya wachache wafaidike kwa mgongo wa imani za wengi.
Zilikuja kama mwanga, lakini kwa namna fulani zimegeuzwa giza, zimebeba siri nzito ambazo zimefichwa makusudi ili wewe usifahamu.
Fikiria hili kwa umakini, Unajua kwa nini gharama za kwenda kuhiji zinafikia hadi milioni 10+?
Sheikh mmoja rafiki yangu aliniambia mwenyewe! Lakini hebu jiulize, inawezekanaje kwenda Saudia na kukaa wiki moja gharama ifikie kiwango hicho?

Filipino

@mafolebaraka Aise nimeelimisha sana watu nimenyoosha mikono 😂 lolote liwakute
Filipino

@oracle_of_lagos @StephanieInii What you are discussing reflects on what kind of leader you can be. Each style you propose has their pros and cons. I prefer the direct and verbal leaders but not harsh ones as area of improvements really sound as they should and not easly covered and forgotten by the butter.
English

@StephanieInii True, but if you teach people, you'll notice there are different learning capacities. There are people that being hard on encourages, and there are people it would demoralize. The first compliment is to appreciate your effort, and the last encourages you to implement the change.
English

@elonmuskADO BAMIA, that's in Lugbara (Uganda 🇺🇬)
Who calls in the same name? Which country? let's connect 😀
English

@Exquisite_255 Kufananisha vitu na kuweka conclusion haitoshi kuwa ndo ukweli. dhana za matrix n.k. Pia watu wanamezeshana kama mambo mengine tu. Dhana ni nyingi kuliko uhakika. Kufananisha al kaaba na hivyo vingine is among the stupidiest thing i came across today.
Filipino

I just published Master Your Free Time: Plan, Learn, and Pursue Your Interests link.medium.com/eMhIJiheIKb
English














