N Y O N Y O M A

12.9K posts

N Y O N Y O M A banner
N Y O N Y O M A

N Y O N Y O M A

@ednxie

Banking & Finance || computer science

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Mart 2012
370 Takip Edilen724 Takipçiler
Msomi Khan
Msomi Khan@MsomiKhan18·
Bank ya Amana ni Bank ambayo haiweki Riba katika Mikopo Dhamana yako Mkopo wako Wanapataje faida hapa? 😂
Indonesia
37
41
603
38.1K
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Wabongo tunakabana sana kwenye utafutaji 🙌🏼🙌🏼
Indonesia
19
25
210
8.2K
N Y O N Y O M A
N Y O N Y O M A@ednxie·
@salim_alkhasas Mimi kitu ambacho sijawahi kuelewa kabisa ni kufanya uzinduzi kwani kuna ulazima gani kufanya uzinduzi kwani mradi hauwezi kuanza kazi bila uzinduzi
Indonesia
0
0
0
79
Salim Alkhasas
Salim Alkhasas@salim_alkhasas·
Sawa tumekubali unakagua na kuzindua miradi ila kiukweli ukweli kabisa tunaomba kujua nini siri nyuma ya Mwenge wa Uhuru
Filipino
14
19
126
9.5K
N Y O N Y O M A
N Y O N Y O M A@ednxie·
@Addy_Adams Unaongea kama tajiri au muwekezaji mwenyewe kwani serikali haiwezi kukifanya ambacho muwekezaji anataka akifanye? Kuna nini kwenye muwekezaji? Rushwa na ubinafsi ndo vimetawala. Serikali ifanye itafute msimamizi wa ukusanyaji wa mapato
Indonesia
0
0
1
529
Adamoo
Adamoo@Addy_Adams·
Hao Machinga na Mawinga wa Mihogo hapo Coco Beach walimchangia jiwe 2mil ya form waache kulialia Mabanda yatolewe yamekaa kiuchafu sana. Tunachotaka maendeleo Mwekezaji aje hatujali Mjomba wa Oman, UAE au Beberu. Kikubwa WATOKE kazi iendelee mandhari ya jiji la Dar iwe safi 🤝
Indonesia
32
48
418
23K
N Y O N Y O M A
N Y O N Y O M A@ednxie·
Wachina tukiwa kwao wanatunyanyasa, wakija kwetu wanatunyanyasa, serikali yetu ipo lakini haifatilii na kuwalinda wananchi wake ikiwa wao wakiwa kwao wanalindwa kama LULU, SMH
Indonesia
0
0
0
5
Assenga Jr
Assenga Jr@assengajrr·
Mo dewji anaamka saa kumi na moja akiamka anasali afu saa kumi na mbili anajibu email 700 za biashara zake. Wewe unaamka saa mbili unaingia status za Whasapu afu unasema umelogwa. Sawa mwenetu.😁😁
Indonesia
72
40
617
27.7K
Joyce Evaristi
Joyce Evaristi@JoyceHuru·
Mh mama @Dr_DGwajima huyu ni mwanaume ametoa mpk namba za simu anasema wateja wake ni mawaziri n wabunge hawezi fanywa chchte.
Joyce Evaristi tweet media
Indonesia
36
8
194
43.3K
N Y O N Y O M A
N Y O N Y O M A@ednxie·
@Dr_DGwajima Mama nimekuwa nikikutumia link ambazo zinaharibu maadili lakini hujawahi kuzifanyia kazi maana social handles ni zile zile na hazikemewi sijui lengo la kukaa kimya ni lipi. @djfyvewabuza/video/7602384398373096725?_r=1&u_code=f279bldgce9m3k&preview_pb=0&sharer_language=en&_d=emmcik5g4h39ga&share_item_id=7602384398373096725&source=h5_m×tamp=1774100061&item_author_type=2&utm_source=copy&tt_from=copy&enable_checksum=1&utm_medium=ios&share_link_id=ABF8596D-8F15-4AA5-9EB8-02E0FD9B049E&user_id=7611438688739918866&sec_user_id=MS4wLjABAAAAVscO8b2jPrX6LQkOWsvS5dnkRfgsvF928o5oZ8eDH6H6nePaOPi1ADp9m30ur2rZ&social_share_type=0&ug_btm=b2001,b2001&utm_campaign=client_share&link_reflow_popup_iteration_sharer=%7B%22click_empty_to_play%22:1,%22follow_to_play_duration%22:-1,%22dynamic_cover%22:1,%22profile_clickable%22:1%7D&share_app_id=473824" target="_blank" rel="nofollow noopener">tiktok.com/@djfyvewabuza/…
Indonesia
0
0
0
53
Sammy Awami
Sammy Awami@awamisammy·
Hii #TukoKadi ya Kenya iko poa sana - lini Tanzania tutafika hapa? Na tunafikaje?
Indonesia
21
50
205
8.6K
N Y O N Y O M A
N Y O N Y O M A@ednxie·
@Dr_DGwajima @Fabrizi0flora @JoyceHuru Ni watu wangapi wamechukuliwa kama mifano kwa makosa ya ushoga ambayo yanasambaa kwa kasi, na maudhui yamekuwa wazi kuanzia kwenye mitandao ya kijamii, kwenye sehemu za starehe za usiku mfano Kitambaa cheupe ya Sinza (inaongoza kulea mashoga). Wasanii wetu pia wanaharibu maadili.
Indonesia
1
0
1
280
Dr. Dorothy Gwajima
Dr. Dorothy Gwajima@Dr_DGwajima·
@Fabrizi0flora @JoyceHuru Nimejibu alichouliza kwa sura ya watoto. Kuhusu Sheria ya makosa ya ushoga tumeshajibu mara kadhaa na nikaposti huku huku mara kadhaa kuwa ipo na adhabu ipo miaka 30. Labda swali hamjasoma vema
Indonesia
6
0
4
1.3K
N Y O N Y O M A
N Y O N Y O M A@ednxie·
@JamiiForums Siku zote Dip ni shule za msingi sasa hapa una panga kipi kipya au mlipeleka Degree kwenye shule za maingi?
Filipino
1
0
0
46
Jamii Forums
Jamii Forums@JamiiForums·
Akizungumza na Waandishi wa Habari, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Daniel Mushi amesema Serikali imeanza mpango wa kupanga upya Walimu kulingana na viwango vyao vya elimu ikiwa ni hatua inayolenga kuongeza ufanisi katika ufundishaji na ni sehemu ya maboresho ya mifumo na miundombinu ya elimu nchini. Soma zaidi jamii.app/WalimuDiplomaM… #JamiiForums #JFElimu
Indonesia
4
5
28
5.8K
Susanna Nordlund 🐐 🇹🇿
Mahindi yamefyekwa leo katika kata ya Orgosorok na wanajeshi JWTZ na migambo kwa amri ya Mkuu wa Wilaya Wilson Sakulo. Sababu ni Msitu Loliondo One.
Filipino
114
133
439
80.5K
N Y O N Y O M A
N Y O N Y O M A@ednxie·
@Thommunkondya Kwahiyo kila anyetoa taarifa mbalimbali zinahusu viongozi wa serikali lazima awe kamanda? Au mpinzani yeyote ni kamanda?
Indonesia
0
0
0
133
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
Kwahiyo na akili zenu na elimu zenu Recho Dangwa ndiyo anawapa taarifa nyeti 😂😂.? Vijana wa X mmekuja kuwa mafala sana asee. Kwahiyo makamanda ile nayo ni Silaha ya chama.?😁
Filipino
44
10
76
14.6K
Nonobanks ❤️
Nonobanks ❤️@lifeof_nono·
Kuna ofisi moja za kupangisha na kuuza nyumba pale jirani na Mlimani City, zimenitapeli 2.7m yangu . Yani sipati hata usingizi nikiwaza napambana nao Vipi 🥹😭 email hawajibu, ukipiga simu kila no Wanasema wameacha kazi sehemu hiyo. Nimeenda ofisi kwao nakuta watu wengine siwaele
Indonesia
76
47
623
128.3K
Assenga Jr
Assenga Jr@assengajrr·
Ukiweka akiba ya Milion 1 kila mwezi kwenye akaunti yako ya M-Wekeza ya voda utakua unapata elfu 8 kwa mwezi kwenye kila milion.. Ukiwa na Milion 12 ndani ya Mwaka unatengeneza faida ya uwekezaji ya Laki tisa na Elfu 60. Tofauti na ungeicha ela benki itulie tu.
Assenga Jr tweet media
Indonesia
62
18
271
42.9K
KAPETO🇹🇿
KAPETO🇹🇿@kapeto98·
Watu Wa Bima tupeni Elimu. Kwenye Hii Ajili Jamaa kama Ana Bima Ndogo Wanamlipa Kwelii..?
KAPETO🇹🇿 tweet media
Indonesia
8
2
42
8.9K