Sadara Jr

2.8K posts

Sadara Jr

Sadara Jr

@SadaraSued

Dar es Salaam city Katılım Ekim 2017
101 Takip Edilen112 Takipçiler
Sadara Jr
Sadara Jr@SadaraSued·
@RMbeyale @VungaEl74 Huko kwenye trucks scania , benz mjapan yupo noma na hzo bidhaa za wenye high purchasing power. Lakini ukija kwenye higher population ambao ni wengi masikini mchina ananufaika kwa kuweka variety which is something profitable
Filipino
0
0
0
3
Cowboy
Cowboy@RMbeyale·
@SadaraSued @VungaEl74 Kiwanda kikubwa cha mabasi China kinaitwa Yutong nimeomba nitajie basi waliona lenye level ya marcopolo G7 au Paradiso Kiwanda kikubwa cha truck China kinaitwa Sinotrack nitajie gari walio nayo yenye level za scania xt, Volvo na benzi Af nitajie na gari ya mswideni km howo
Filipino
1
0
0
14
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Kwanini japani mpaka sasa inaonekana bora kwenye teknolojia kuliko China tunae muona anatoa bidhaa nyingi duniani kwa sasa
Filipino
28
19
138
8.9K
Sadara Jr
Sadara Jr@SadaraSued·
@VungaEl74 Mchina kwa sasa anayo high rotation hasa Africa
Filipino
1
0
0
163
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Azam anazidiwa utajiri na MO ila kwa fujo za bidhaa alizo nazo Azam unaweza zani ndio anategeneza nafaida kumbe hakuna ndivyo ilivyo kwa mjapani na China, japani hana kelele mali imenyoka na bei ni elekezi
Filipino
6
12
70
2.5K
Sadara Jr
Sadara Jr@SadaraSued·
@RMbeyale @VungaEl74 Kuna kitu kinaitwa "new product development". Unatengeneza bidhaa zenye ubora mbalimbali ili uongeze sales volume. Mchina anakutengenezea bidhaa ya 1M na bidhaa ya 100k uchague ww. Angalia pia ile kampuni ya coca cola huko amerika ilianza na coca tu baadae fanta, novida n.k
Indonesia
1
0
0
14
Cowboy
Cowboy@RMbeyale·
@SadaraSued @VungaEl74 Acha wongo ulisha wahi ona Bus la kichina lina Standard ya marcopolo au ulishawahi on marcopolo ina Standard ya Yutong Ulishawahi ona howo ina Standard ya benz au scania au Ulishawahi on scania ina Standard Faw Ubora ni culture inatoka n wewe ulivyo
Filipino
2
0
0
28
Sadara Jr
Sadara Jr@SadaraSued·
@IAmHaule Nipo kwenye menejimenti nawasiliana na president wa kampuni almost kila siku, yupo mfanyakaz wa kitengo kingine anafanya kaz kwa juhudi beyond average lkn bado income ndogo licha ya kuwa bega kwa bega na bilionea. Anyway nipe 300M nitajua nn cha kufanya😀
Indonesia
0
0
1
124
IAmHaule
IAmHaule@IAmHaule·
Kama ungepewa chance moja tu: Kukaa mwaka mmoja karibu na Aliko Dangote. OR Kupewa million 300 cash instantly Unachagua nini?
Indonesia
37
13
166
10.9K
Sadara Jr
Sadara Jr@SadaraSued·
@KakaUjugu Hii inaashiria movement ya wazungu au vagina fluid kuelekea sehem za siri, kadiri anavokuwa ndio hali inapotea
Indonesia
0
0
0
75
Kaka Ujugu
Kaka Ujugu@KakaUjugu·
Kinachodunda kwenye utosi wa mtoto mchanga huwa ni kitu gani
Filipino
15
4
57
1.9K
𝐀𝐥𝐓𝐚𝐛 𝐒𝐩𝐚𝐫𝐤
😂😅Uta chagua wew sasa usome, uajiliwe ualimu government on 30days ulipwe 500k. Ama uju tulipo per 4hours imengia 1.2M. Hapa niludi nikalale fighters tukutane kesho.
𝐀𝐥𝐓𝐚𝐛 𝐒𝐩𝐚𝐫𝐤 tweet media
Indonesia
37
27
303
23.2K
Sadara Jr
Sadara Jr@SadaraSued·
@Makaveli_255 Ukiniona we nicheke tu fresh, nakuwa bwege moyo wangu nimemkabdhi raia mmoja tu. Kwann nisiwachek hata kumi halafu niplay game
Indonesia
0
0
3
417
Sadara Jr
Sadara Jr@SadaraSued·
@kishoka_ Unarusha jiwe gizani, ni mwaka wa pili naenda wa 3 as a quality manager wengi wanaopata kazi kwenye kampuni yetu priority ni wanaoletwa na HR tunaamini anajua background zao attitude is what we consider most
Indonesia
0
0
1
142
METRO🎭
METRO🎭@kishoka_·
Mimi sahivi nishaacha kuapply hizo kazi kama mtumwa Ukinitumia link ya kazi nitakuuliza kama unajuana na mtu kwenye hio ofisi. Nishawahi kufika final interview tukabaki watu nane, Tukashare namba ili tujue nani atapata kazi. Hebu fikiria hakuna hata mmoja wetu alipata hio kazi
Indonesia
32
65
507
14.6K
Msambinungwa😍😂
Msambinungwa😍😂@AnthonyEme27082·
Nipe bajeti namna hii hela itoshe kula hadi ijumaa ikiwa ndani sina unga,mchele wala mafuta🤌🥲
Msambinungwa😍😂 tweet media
Indonesia
37
17
110
3.9K
Sadara Jr
Sadara Jr@SadaraSued·
@shiggatz Mm ni quality manager nikiangalia uzalishaji kiwandan na sain za risti za mauzo, na control of operations. Ikija kwenye mshahara wangu nazidi kuchanganyikiwa😀 Nazan watu wa benk pia kuna ukweli hapo
Indonesia
1
0
5
442
SHIGGA_.
SHIGGA_.@shiggatz·
Wafanyakazi wa bank 90% wasumbuliwa na shida ya afya akili.
Indonesia
15
20
298
15.4K
Steph.
Steph.@LifeofSteph_1·
Hv mtu ukimuoa aka kukuta na kila kitu ndoa ika kaa miaka miwili mkaachana hapo kwenye mali akienda mahakaman nayo ni 50-50 au ?
Filipino
22
22
147
10.7K
Comrade Kicheche Jr
Comrade Kicheche Jr@Kicheche_jr·
Sasa mbona Biblia ni gharama hivyo? Kwani imani imekuwa biashara?
Indonesia
16
8
74
4.9K
Sadara Jr
Sadara Jr@SadaraSued·
@Kaponda_077 Mlipo sawa naenda kwa mwarabu, Ramadan wote tule tende na mazaga mengine 😀
Indonesia
1
0
12
2.6K
Kaponda Jr
Kaponda Jr@Kaponda_077·
Kwa mfano umeomba kazi kampuni tatu (3) na kote umeitwa kazini. 1. Kampuni ya mchina 2. Kampuni ya muhindi 3. Kamupuni ya mwarabu Utaenda ipi na kwanini?
Indonesia
41
16
350
30.4K
Sadara Jr
Sadara Jr@SadaraSued·
@lucaniwai Three days nime install WiFi, kila kitu kipo fresh
English
0
0
0
81
luca niwai kibangi
luca niwai kibangi@lucaniwai·
Nashindwa kuchagua between kulipa wifi na kulipa 1k nipewe 1gb daily,,mnisaidie kudecide
Indonesia
166
243
4.2K
174.6K
miss.nancy🇰🇪
miss.nancy🇰🇪@she_is_nancy255·
Mkaka anaagiza chips yai rojo , anatembea anaringa, alafu kila saa anabinuka anashika kiuno🚮🙌 Eeh Mungu baba tulindie hawa wachache waliobaki🙏
Filipino
11
13
102
3K