Cowboy

7.6K posts

Cowboy banner
Cowboy

Cowboy

@RMbeyale

gentlemen, Jesus disciple, marketer by profferisional, basketball, choleric personality

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Nisan 2014
745 Takip Edilen1K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Cowboy
Cowboy@RMbeyale·
Ukimwona Yesu kwenye mwanzo 1:1 imani yk kwa Yesu haibaki pale ilipokuwa inaongezeka sana mpk ujiuliza kwanini alikuja km maskini wakati vitu vyote viumbwa kutoka kwake kwa neno la Mungu then unaanza kufikiri siku ya kuli itakuwaje 7bu amesema hata kuja kinyonge tena
Indonesia
0
1
2
84
Cowboy
Cowboy@RMbeyale·
@nyalut23 Ni picha au naona vibaya nyumba tofauti zike zimelala km kiti cha flow
Indonesia
0
0
0
2
Eng.Benjamin
Eng.Benjamin@nyalut23·
Mmeshindaje leo humu maboss
Eng.Benjamin tweet media
Filipino
4
9
63
1.9K
Cowboy
Cowboy@RMbeyale·
@EliabuDanford Ukiacha elimu kuna damage pia Mfano USA kuwa Gangs S.Africa kutumia madawa kulevya India kuwa Shoga Ulaya kuzalau mazingira ya maisha ya Africa Nk
Filipino
0
0
0
17
Cowboy
Cowboy@RMbeyale·
@PolycarpMDM Wenzetu hawaangali ukubwa wanaangalia efficiency ya jambo hilo eneo lina weza limwa hata mara 3 kwa mwaka sisi msimu moja tu tupo hoi
Indonesia
0
0
0
41
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Njombe kuna raia wana mashamba makubwa ya viazi mviringo kuliko hawa, lakini wanashindwa kumudu hizi accessories. Ndipo ilitakiwa Makundi kupewa walau moja.
Filipino
2
4
38
3.2K
Cowboy
Cowboy@RMbeyale·
@SadaraSued @VungaEl74 Kwaiyo kwenye production process mchina kwa sasa hana uwezo wa kumkuta mswedeni, Germany na Japan kwenye product quality
Filipino
0
0
0
15
Sadara Jr
Sadara Jr@SadaraSued·
@RMbeyale @VungaEl74 Kuna kitu kinaitwa "new product development". Unatengeneza bidhaa zenye ubora mbalimbali ili uongeze sales volume. Mchina anakutengenezea bidhaa ya 1M na bidhaa ya 100k uchague ww. Angalia pia ile kampuni ya coca cola huko amerika ilianza na coca tu baadae fanta, novida n.k
Indonesia
2
0
0
21
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Kwanini japani mpaka sasa inaonekana bora kwenye teknolojia kuliko China tunae muona anatoa bidhaa nyingi duniani kwa sasa
Filipino
29
20
156
10.6K
Cowboy
Cowboy@RMbeyale·
@SadaraSued @VungaEl74 Usisahau tweet yk kuwa mchina anatengeneza kitu kutoka na uhitaji wako Je soko la benz na scania kali hudumia???? tunaojua tunajua hana huo uwezo cozy kuna howo zinatumia engine na production za MAN ya German ili kufikia au kujalibu kufikia hili soko
Indonesia
1
0
1
14
Sadara Jr
Sadara Jr@SadaraSued·
@RMbeyale @VungaEl74 Huko kwenye trucks scania , benz mjapan yupo noma na hzo bidhaa za wenye high purchasing power. Lakini ukija kwenye higher population ambao ni wengi masikini mchina ananufaika kwa kuweka variety which is something profitable
Filipino
1
0
0
12
Cowboy
Cowboy@RMbeyale·
@SatisGreenFoods @Isayadicksonjr It's natural bro, if you business man material hata ukiajiriwa you soul don't stop to tells you that place is not where u belong to unakuwa km unaugomvi wa nafsi yk lkn km mtu anaweza pewa kila kitu na asitoboe
Indonesia
0
1
1
10
Samia The Killer🎖️🎖️🎖️
@RMbeyale @Isayadicksonjr No, they are made, bro. It is like saying business is a talent, not a skill. People learn from each other to do business. That's what has made many Nigerians very successful. Dangote biashara ya mafuta kajifunza kutoka kwa billioner mwenzake Nigeria.
English
1
1
1
12
Dr Mwakalebela
Dr Mwakalebela@Isayadicksonjr·
Wawekezaji kuna ukweli apa ??
Filipino
18
9
88
16.4K
Cowboy
Cowboy@RMbeyale·
@SadaraSued @VungaEl74 Acha wongo ulisha wahi ona Bus la kichina lina Standard ya marcopolo au ulishawahi on marcopolo ina Standard ya Yutong Ulishawahi ona howo ina Standard ya benz au scania au Ulishawahi on scania ina Standard Faw Ubora ni culture inatoka n wewe ulivyo
Filipino
2
0
0
34
Sadara Jr
Sadara Jr@SadaraSued·
@VungaEl74 Mchina ni kama wnga wa karkoo ulivokuja ndivo anavokupokea, ana options nyingi make it simple to use
Indonesia
1
0
4
539
Cowboy
Cowboy@RMbeyale·
@Isayadicksonjr @ItsKamala Tengeneza saloni tu mtaani ya kawaida mwambie kinyozi wako kila siku akupe 12k kwa mwezi una 360k Au nunua hata bajaji used demand ya transport ni kubwa mno
Indonesia
1
1
2
13
Cowboy
Cowboy@RMbeyale·
@SatisGreenFoods @Isayadicksonjr Ila shule zilitualibu sana seeh Utajiri wetu sisi maskini ni kutawala mazingira tunayoishi kifedha sasa nambie wewe kwenye mazingira unayoishi unaweza kuzalisha cement
Indonesia
1
1
1
24
Samia The Killer🎖️🎖️🎖️
@Isayadicksonjr Dangote alianza kwa kununua stock ata kabla ya kuwa na viwanda. Kuna vitu vingi vikubwa mtu utajifunza na connection nyingi utapata kwa kuuzulia vikao vya makampuni makubwa uliyonunua stock. Pia inakupatia self discipline ya ku control pesa.
Indonesia
3
1
1
319
Comrade Kicheche Jr
Comrade Kicheche Jr@Kicheche_jr·
Sasa mbona Biblia ni gharama hivyo? Kwani imani imekuwa biashara?
Indonesia
16
8
74
4.9K
I ❤️ Dar Es Salaam
I ❤️ Dar Es Salaam@FaradayMtz01·
Makampuni ya kimataifa yenye ofisi Nairobi 🇰🇪 1. Google LLC 2. Microsoft 3. IBM 4. Oracle 5. Cisco 6. SAP 7. General Electric 8. Citibank 9. Unilever 10. Coca-Cola 11. BCG 12. Deloitte Yenye ofisi Dar Es Salaam 🇹🇿 1. Yanga 2.Simba 3. Efm 4. Wasafi 5. Uchawa 6. Kitambaa cheupe
Indonesia
22
34
180
15.7K
Cowboy
Cowboy@RMbeyale·
@_realmeter @SangKip4 Also ask yourself why? Most Chinese project use Japanese cars especial klugger
English
0
0
0
4
Mengesha 🇯🇪🇮🇱
@RMbeyale @SangKip4 Durability issues will be debunked 5 to 10 years from now.. Chinese automotive industry has evolved.. They are no longer what they used to be.
English
2
0
0
9
CHOBOS™
CHOBOS™@SangKip4·
GWM TANK Vs VXL ogopa mchina bro
CHOBOS™ tweet mediaCHOBOS™ tweet media
CY
11
21
240
18.1K
Cowboy
Cowboy@RMbeyale·
@xlusako Wamarekani pia Na project za Ulaya
Polski
0
0
0
573
Nkota ☭
Nkota ☭@xlusako·
Wachina wenyewe wakija huku wanatumia gari za mJapan, kwanini wasitumie hizo BYD zao.🤏🏾🧠
Polski
24
12
315
19.1K
Cowboy
Cowboy@RMbeyale·
@_realmeter @SangKip4 Not true boxer and tvs took large share of East Africa market because are more durable in global market there's various of tukutuku but do you think why? We brought Re, bajaj and Tv
English
0
0
0
9
Cowboy
Cowboy@RMbeyale·
@_realmeter @SangKip4 Our cars 90% are second hand car From Japan we always believe on durability thus y? We sales them even more than 4 time, Chinese Car are less durable there's large number 113 scania on road more than HOWO 2010 same to yutong and marcopolo
English
1
0
1
28
Mengesha 🇯🇪🇮🇱
@RMbeyale @SangKip4 UAE they dont buy them to cruise on the highways but proper drives at the deserts... We have Chinese trucks, buses operating in Kenya and Africa in general for ages without issues.. NYS have Chinese made Yutongs and zhongtong na Hadi wa Leo they are still operational.
English
1
0
1
30
Cowboy
Cowboy@RMbeyale·
@MustapherM @MalisaGJ_ Maisha tu tamebadilika sana vyakula hali ya hewa nk lkn pia zaman pombe kali ilikuwa konyagi Wanywaji wa gongo hao walikuwa wanaanguka wenyewe bila sababu nowadays ndio tumejua ni tatizo la figo
Indonesia
1
0
2
24
mustapher Mdetele
mustapher Mdetele@MustapherM·
@MalisaGJ_ nini kinachosababisha ongezeko la matatizo ya figo? maana kama pombe watu walikuwa wanakunywa toka mababu hakukuwa na hizi shida, wataalamu wa sekta ya Afya wanapaswa kuchukulia hili kama janga wafanye reseach kutunusuru kawa ni madawa tujue maana maisha ni yaleyale.
Indonesia
4
0
2
114