Sam otulo mrema

997 posts

Sam otulo mrema banner
Sam otulo mrema

Sam otulo mrema

@SamotuloMrema

SDA,/LUO/ACTIVIST/HUMAN RIGHTS/AFRICANISM/TRUST/UBUNTU

Katılım Ekim 2021
400 Takip Edilen158 Takipçiler
Sam otulo mrema retweetledi
Lucas Ngoto
Lucas Ngoto@lucas_ngoto·
Hii ilikuwa mwaka 2017 tulifanya maombi maalum ya kumuombea mhe Tundu lisu alipopigwa risasi Dodoma Niliongoza haya maombi nikiwa mkt Chadema wilaya ya Tarime baadae tuliaza safari kuelekea Nairobi kumjulia hali lakini hatukuweza kumuona kutokana na hali mbaya alokuwanayo
Lucas Ngoto tweet media
Filipino
12
101
761
13.4K
Sam otulo mrema
Sam otulo mrema@SamotuloMrema·
@EsirEid 6️⃣Akiba au fedha ya dharura 40,000 ⭐Mafuta/gesi ya ziada ⭐Uharibifu wa vifaa ⭐Siku za mwanzo bila mauzo mengi TOTAL 500,000 ESTIMATED SUCCESSFUL 🤣 #TajiriLaKihaya Leta uo mkwanja tuingie mzigoni
Indonesia
0
0
0
35
Sam otulo mrema
Sam otulo mrema@SamotuloMrema·
@EsirEid 4️⃣ Vifaa vya huduma & usafi – 185,000/= ⭐Sahani, vifungashio, karatasi: 20,000 ⭐Sabuni, ndoo, maji ya kuanzia: 15,000 ⭐Kabati la kio 150,000 5️⃣ Matumizi ya kiofisi 110,000 ⭐Msaidizi kwa wiki 15,000 x 60 ⭐umeme na maji kwa mwezi 50,000
Indonesia
1
0
0
18
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Siku ya Birthday Yangu,19th January Napotimiza Miaka 31. Nitatoa Zawadi ya 1m. watu wawili (ME na KE) kila mmoja atapata Laki 5. Unachotakiwa kufanya niambie hio TZS 500,000. nitakayokupa utaifanyia Nini Au itakusaidia kuSolve tatizo gani? Comment au Quote hii Post Tu! Tuna siku 10. Mwisho ni tarehe 18 saa nne asubuhi. Muda ni mrefu ili watu wengi waweze kuona hii - hasa Wale ambao hata bundle la kuingia humu wanapata mara moja moja saana! Hapo nitasoma Comments na Quotes zote- na ITAKAYONIGUSA atapata laki 5 saa sita usiku 19th january!
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿 tweet media
Indonesia
547
259
1.2K
340.3K
Sam otulo mrema
Sam otulo mrema@SamotuloMrema·
@EsirEid 3️⃣ Gharama za eneo & leseni – 50,000 Kodi ya sehemu (au makubaliano ya mwanzo): 30,000 Leseni ndogo ya biashara / mchango wa mtaa: 20,000
Indonesia
0
0
0
15
Sam otulo mrema
Sam otulo mrema@SamotuloMrema·
@EsirEid 2️⃣ Malighafi ya mwanzo – 210,000 Viazi (gunia ndogo): 80,000 Mafuta ya kupikia (lita 20) 75,000 Mayai (trei 3): 45,000 Vitunguu, pilipili, chumvi, nyanya: 10,000
Indonesia
0
0
0
18
JUMA MIRIGO
JUMA MIRIGO@JumaMurigo·
Happy birthday 🎂 @HildaNewton21 Update zako za Mahakama zimeichanganya serikali ikabidi waweke mpira kwapani. Mungu akuongeze maisha yenye neema
JUMA MIRIGO tweet media
Indonesia
4
12
101
3K
Sam otulo mrema retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Anaandika Godbless J Lema TAARIFA ZA UONGO NA MATESO NA MAUAJI YA RAIA. Mwaka 2011, jijini Arusha, kulitokea sakata zito la mauaji yaliyosababishwa na Polisi kufuatia maandamano ya wananchi waliopinga uchaguzi Meya feki wa Arusha Mjini. Tukio hilo liliacha majeraha makubwa katika mioyo ya wananchi na maswali mazito kuhusu matumizi ya nguvu za dola dhidi ya raia wasio na hatia. Katika mazingira hayo, Waziri Mkuu wa wakati huo, Mizengo Pinda, aliwasilisha taarifa Bungeni ambayo haikuwakilisha ukweli kamili wa kilichotokea Arusha. Nilihisi dhamira yangu ya uongozi na uwakilishi wa wananchi inanitaka nisikae kimya. Nilisimama hadharani na kusema wazi kuwa taarifa hiyo ilikuwa ya uongo. Nilimwambia Waziri Mkuu kuwa alidanganya Bunge, na kwamba uongo aliousema angeweza hata kumfundisha shetani mbinu za uongo. Nilisisitiza kuwa nilikuwa na ushahidi wa kuthibitisha nilichokisema. Spika wa Bunge, alinipa siku saba kuwasilisha ushahidi huo, la sivyo ningechukuliwa hatua za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kusimamishwa kuhudhuria vikao vya Bunge. Nilimjibu Spika kuwa sikuhitaji siku saba. Nilihitaji muda mfupi tu kutoka nje ya ukumbi wa Bunge, kwenda hotelini na kuleta ushahidi mara moja. Ilikuwa hali ngumu na yenye mvutano mkubwa wa kisiasa, lakini nilikuwa tayari kubeba gharama ya kusimama upande wa ukweli. Baada ya Bunge kuahirishwa mchana, Waziri Mkuu alituma wasaidizi wake wanitafute, akitaka nionane naye ofisini kwake. Niliitikia wito huo. Tulipobaki wawili, aliniambia kwa sauti ya utulivu lakini yenye uzito, “ Lema, umeniita muongo hadharani kwa sauti kali sana. Unadhani uongo wangu ulikuwa upi? Tafadhali nieleze.” Nilimweleza kwa kina kila nilichokijua kuhusu sakata la Arusha, alisikiliza kwa makini, akashika kichwa kwa mshangao, kisha akasema kwa unyenyekevu mkubwa “Sasa nimekuelewa. Hatuhitaji kuendelea kulumbana ndani ya Bunge. Wewe potezea, nami nitamjulisha Spika asikufuatilie suala la ushahidi. Nitakuja Arusha kushughulikia jambo hili kwa kina zaidi. Kisha akatoa kauli ambayo hadi leo naona ina uzito mkubwa kwa mustakabali wa nchi yetu: Lema, alisema , tatizo letu kubwa sasa liko kwenye recruitment ya vijana wanaoingia kwenye vyombo vya usalama. Kazi ya intelijensia ni kusema ukweli ulivyo, ili viongozi wapate mwelekeo sahihi wa kutawala. Kwa sasa tuna changamoto kubwa ya aina ya watu tunaowaajiri. Kuna kazi kubwa sana ya kufanya.” Maneno haya yanaeleza kiini cha tatizo kubwa linalolikabili taifa letu kwa sasa. Watu wengi wameuawa, wameteswa au kupotezwa si kwa sababu walikuwa na hatia, bali kwa sababu ya taarifa za uongo, majungu na uzembe wa kitaaluma ndani ya mifumo ya usalama. Wapo wanaoandika au kuwasilisha taarifa nzito na uongo za kiintelijensia bila uchunguzi wa kina, wakati mwingine katika mazingira yasiyoheshimu hata thamani ya uhai wa binadamu. Mwaka 2020, nilipokuwa natoroka nchini, nilikamatwa nchini Kenya. Niliwasikia baadhi ya maafisa wa vikosi maalum Kenya, wakisema kuwa mimi na wenzangu tulikuwa tunapanga kupindua nchi. Mke wangu Neema alisikia maneno haya ya uongo ktk masikio yake, kwa huzuni na hofu, aliniuliza ! “Godbless, ni kweli ulikuwa unataka kupindua nchi?” Nilimtazama na kumjibu kwa utani “Labda kama nchi hiyo ni wewe, mimi naweza naweza kukupindua pindua wewe tu mpenzi. Huu ni uongo mtupu.” Usiogope uongo huu , tutashinda tena. Andiko hili si kwa ajili ya kulalamika, bali ni wito wa kutafakari. Taifa lolote linalojengwa juu ya taarifa za uongo hujenga msingi wa damu na machozi. Ukweli, hata unapoumiza, ndiyo pekee unaoweza kuokoa maisha na kulinda heshima ya nchi. Taarifa za majungu , uongo , umbeya na ulevi zimeumiza watu wengi sana kibiashara, kijamii , makazini na wengine wamefungwa na hata kuuwawa bila hatia yoyote.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
48
251
1.2K
58K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Ninaona kauli zako kuhusu CHADEMA. Je, unalenga kuona CHADEMA ikifutwa? Au unaamini kwa kufanya hivyo unaweza kujijenga kama mgombea wa urais wa baadaye? Nauliza tu, kwa nia ya kukumbushana jambo moja muhimu, ukiendelea na mkakati huu mliouchukua, si CHADEMA itakayofutwa bali ni wewe na nyie ndio mtakaofutwa. Na watu wote semeni AMEN.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
624
409
3K
112K
Sam otulo mrema
Sam otulo mrema@SamotuloMrema·
@LarryMadowo Larry wuod alego kel mosechiek kutoka CNN DOCUMENTARY sisi Yuko gado juu tuna wait kitu kutoka jikoni
Suomi
0
0
0
14
Larry Madowo
Larry Madowo@LarryMadowo·
Ugandan presidential candidate Bobi Wine wears a bulletproof vest and helmet to campaign because President Museveni’s “regime has me as the main target.” Full story tomorrow on CNN about the violence we witnessed
Larry Madowo tweet media
English
827
2.7K
15.3K
434.3K
Sam otulo mrema retweetledi
Chriss fundi CDM
Chriss fundi CDM@ChrissFundi·
Kama bado upo na chama makini CHADEMA PIGA. REPOST
Chriss fundi CDM tweet media
Filipino
24
562
1K
13.4K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Mungu huwa asikilizi maombi ya MATAPELI. Kwani Nyama choma amekuwa Mungu siku hizi. PUMBAVU MKUBWA WEWE. Sasa Mwenyezi Mungu atakuondoa wewe na utakufa wewe mapema sana maana umeingia kwenye anga za mtoto wa Mungu. Na hao waliokutuma PUMBAVU zao. Na watu wote semeni AMEN.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
340
202
1.7K
67.1K
Getrude Mollel 🇹🇿
Getrude Mollel 🇹🇿@Getrude_mollel·
Dear @Meta thank you for taking the action to deplatform Mange Kimambi. For many years she has been an extortionist and a bully who illegally benefited from the pains of her victims. She has paid for illegally obtained private information to resell them on her account at 50 cents per user per month while at the same time laundering money. Her content carrying private and illegally obtained materials have led to violence against other people, suicidal attempts on her victims among other things. There are tens of cases in court about this. Uphold Meta safely policies and rules. Keep her out of the platform. @finkd
Getrude Mollel 🇹🇿 tweet media
English
33
35
85
11.6K
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Kwa UTAMADUNI wa Kesi za Uhujumu Uchumi, ambao ni KUKOMOA, maana ya AHIRISHO hilo 👇 ni kwamba; MANGE KIMAMBI ataendelea KUSOTA RUMANDE hadi tarehe 28 Januari 2026. ##FREE MANGE KIMAMBI##😂😂
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
77
74
832
41.9K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Kama nawaona vile vibaka wa matusi wanavyosonya….!😂😂😂 Walitamani akitoka mahabusu aanze kutukana kama wao, sasa kawapiga tobo ya kisigino!😂
Yericko Nyerere tweet media
Filipino
192
5
98
20.2K
Sam otulo mrema
Sam otulo mrema@SamotuloMrema·
@TitoMagoti Kipindi kile Kuna Wana walimbeza sana huyu mwamba bila kujua alionyesha njia
Indonesia
0
0
0
5
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Endelea kupumzika kwa amani, kaka yangu Hamza. Tutakukumbuka daima.
Tito Magoti tweet media
Indonesia
22
228
1.7K
20.6K
kibaha_finest
kibaha_finest@kibaha_finest·
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🚮
kibaha_finest tweet media
QME
348
35
655
74.4K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
vibaraka wake kwamba Mbowe ni mlamba asali. Rais kasema mlamba asali ni Lissu na Lema waliokuwa ughaibuni. Haya mkamuombe radhi Mbowe! Pengine sasa akili zitawakaa sawa. Hayo ni machache nitaendelea kuchambua kila engo ya hotuba hiyo! Na Yericko Nyerere
Filipino
54
3
33
11K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Leo nimesikiliza hotuba ya Rais yenye Mamlaka kamili, Hotuba ya Rais wa Nchi Huru, Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote ya Ulinzi na Usalama. Pamoja na mapungufu kwenye maeneo kadhaa hasa mfano kushambulia kwa nguvu kubwa wale wanatajwa ni wachochezi wa ndani, badala yake kwa maoni yangu ilitakiwa wahubiriwe kwa lugha ya Mfariji Mkuu (Comforter in Chief), lugha ambayo Yesu na Mtume Mohamed waliitumia dhidi ya watu wema na wahalifu wa enzi hizo waliopinga kazi yao dunia, nimemuona rais kachukia sana, yes lazima achukie mbele ya washenzi wa taifa letu, ndivyo inavyotakiwa kwa taifa lenye nguvu ya kulinda uhuru wake! Lakini kwa kiasi kikubwa imekuwa hotuba thabit ya mkuu wa nchi halisi, Binafsi kwa miaka mingi nilikuwa sijaliona taifa langu likitetea ukuu wake kwamtindo wa hotuba ya Mkuu wa Nchi yenye ladha njema kama leo. Imenikumbusha hotuba ya Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere 23 Januari 1967. Akizionya Ureno, Uingereza na Marekani. Pia imenikumbusha Rais Nyerere alipovunja uhusiano wake na Uingereza kwakumfukuza Balozi wa Uingereza nchini Tanzania. Imenikubusha Rais Nyerere alipopinga ubaguzi wa Raingi kwasusia shughuli zote za kimataifa zilizoihusisha Afrika Kusini ya Makaburu hadi kufika kuzuia timu zetu za taifa kutoshiriki michuano ya Olimpiki. Na mwisho imenikumbusha hotuba ya Rais Mkapa mwaka 2001 alipopinga kwa nguvu zote shinikizo la mabeberu waliotaka kuingilia mgogoro wa ndani uliotokana na mauaji ya zanzibar na mwembechai yaliyotokana na CUF kupinga matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2000. Rais Samia amegusa vitu vingi muhimu sana ambavyo nimekuwa nikivisema tangu mwanzo, Na vingine tulivisema huko nyuma kabisa ndani ya vyama vya siasa, ikatafsirika kuwa ni propaganda. Vitu hivyo ni: 1. Amesema kuwa tukio la 29 oktoba lilikuwa jaribio la mapinduzi. Hili nilishalisema tangu siku moja baada ya jaribio lile na ndio msimamo wangu leo na kesho na historia itaandikwa hivyo! Hakukuwa na maandamano! 2. Amesema waandaaji wa uhalifu huu ni mabeberu wanaopigana vita vya kiuchumi kuzisaka raslimali zetu na ustawi wetu. Hili nilishalisema tangu siku moja baada ya jaribio lile na ndio msimamo wangu leo na kesho na historia itaandikwa hivyo! 3. Amesema vijana wengi walilipwa kuhamasisha na kufanya uhalifu huu. Hili nilishasema na kuweka ushahidi wa taasisi zilizowalipa ikiwemo taasisi ya Ford Foundation ya Marekani ambayo imemlipa Maria Sarungi kupitia taasisi yake inayoitwa Change Tanzania iliyopokea zaidi ya bilioni 10 katika kipindi kifupi cha miezi 10 tu hivi, Zingatia taasi ya Maria imesajiliwa Tanzania inatakiwa kufanya kazi zake Tanzania, lakini kwa miaka zaidi ya mitano Maria hayupo Tanzania, na taasisi haifanyi kazi zake lakini inapokea mabilioni, nakuwalipa vijana makumi kwa mamia nchini na wengine amewatoroshea Nairobi huko sasahivi. 4. Rais ameweka ukweli rasmi na kufuta propaganda ya muda mrefu iliyoenezwa na Tundu Lissu kipindi cha uchaguzi wa Chademw kwamba Mbowe amelambishwa asali. Rais amesema kuwa Lissu ndie alimpatia pesa alipokwenda kumuona Ubelgiji tena Rais alitoa pesa yake ya safari, Rais hajaishia hapo, amesema Lissu na Wenzake waliporudi Tanzania kwaamana ya Gobless Lema nk aliwapa pesa ya kujikimu. Na mwisho wakaanza kumtukana Rais huyuhuyu! Si mimi nasema, bali Rais Samia kasema yeye kwa kinywa chake! Hili jambo la Lissu kulambishwa asali mimi binafsi nilisema kipindi cha kampeni kwamba ninazo taarifa sahihi Lissu amepewa pesa, na kama nimsafi kweli mbona hajatangaza hadharani hiyo pesa aliyopewa pale Ubelgiji? Bahati mbaya tayari wanaharakati uchwara walikuwa washavamia na kuteka chama hivyo hawakusikia wala kuelewa sauti yoyote nje ya Lissu ambae alijimilikisha usafi wa moyo na mwili na akajimilikisha ukweli na haki ya nchi hii. Lakini sisi tunaomjua kuwa ni muongo na mlamba asali mkubwa, wala hatukuwashangaa, tuliacha ungo upande lifti, na sasa tunafurahi kuona ukweli umefika kwa njia ya ngazi. Rais wa nchi kafunga mjadala wa Uzushi ulioenezwa na Lissu na
Yericko Nyerere tweet media
Filipino
201
29
86
64.2K
Sam otulo mrema retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Kijana ana muogo mkononi kutokana na maandamano ya OKTOBA 29–lakini bado anaendelea KUKEMEA UTEKAJI TENA KWA SAUTI YA HISIA KALI. Hawa ndio vijana ambao walisema wameandamana kwa kufuata MKUMBO? Kyela Moja hii. REPOST 200 TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Filipino
25
412
1.6K
36.5K