
Exotic
2.3K posts

Exotic
@Songombingo28
I’m like nobody you've ever met 😉



@Obure1998 tuangalie kazi zake 4 za mwisho The revenant - physical character depicting unyielding persuit of a father Dont look up - socially awkward nerd satrical comedy Killers of flower moon - morally corrupt and nuanced Once upon a time - insecure actor Zinafananaje??



Titles ulizotaja za De Niro ni kweli zote ni strong performances sana tu lakini nilitegemea utacompare na kucontrast between the two kwa sababu hata Di Caprio ana strong versatile characters na ni methodical actor mzuri sanaa. Mfano: Django unchained - cruel slave owner

Tuwe Serious kidogo, Wewe Ushawai Kumuona mmasai muislamu..😄





@Obure1998 @HastaRuego Range ya kitu gani Binafsi mimi ni deniro lialia ila haiondoi kuwa kina a wake pia yuko vyema And of course genre~wise Leonardo ni versatile kuliko wote hao Na siyo kitu kibaya Nafikiri ungejikita kwenye kuelezea tu siyo habari za kufahamu movie, siyo kila jambo ni ligi

Bobby kacheza kama Boxer kwenye Raging Bull 80 Kacheza kama Psychopath kwenye Cape Fear 93, Jack Brown 96, Taxi Driver 76 Kacheza kama Gangster kwenye Goodfellas 90, Casino 95, The Godfather 74, Irishman 94, The Untouchables 88, KOFM



@Wakazi Bro i get you ila sijaelewa mkisema Bilingual mnamaanisha code switching au code mixing? Rappers wengi ambao are so called "Bilinguals" are code mixers not switchers on my opinion. Waswahili hatujawahi kuwa fans wa code switching kwasababu it was termed as wa kishua.







The thing is English sounds so Legit in rap kutokana na kuwa ilianza kwa lugha hiyo Wengi wanaoanza hivyo wanapewa benefit of doubts lakini wakisikilizwa unagundua ni weupe wanatupwa Wanasahau ubora wao upo kwenye ART na siyo idadi ya lugha anazotumia So wapo







