godbless msaki
1.1K posts


Hiki ndicho kifungu cha sheria kinachomzuia Samia kuunda 'Tume ya Uchunguzi' ya matukio ya #MO29.
Kwa kuwa yeye (Samia) ni MTUHUMIWA #1, hakutakiwa kuunda hii 'Tume' kutokana na MGONGANO WA KIMASLAHI (CONFLICT OF INTEREST). Kulingana na kifungu hiki cha Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Samia alitakiwa akae pembeni kabisa kwa sababu yeye ni MTUHUMIWA.
Sheria iko wazi, kunapotokea mgongano wa kimaslahi, hakuna jema hupatikana. Binafsi, nashauri kila mmoja wetu aikatae hii 'Tume' kwa maana haitaleta matokeo CHANJA na yenye TIJA kwa Taifa. Hifadhi hili andiko maana litaleta maana siku 'Tume' hii itakaposoma ripoti yake.
#Maadili


Indonesia

@Sativa255 Watu wanalipa bill za maji kila mwezi, wao wanasubiri mvua zinyeshe wauze maji. 😃 Shida ni uwezo.
Indonesia

Kwa hali kama hii NCHI NZIMA hakuna maji lazima MABEBERU WATUONEE WIVU.
Dunia ya leo Kama taifa tunategemea MVUA zinyeshe ndio tupate Maji, vipi hali ya CHAKULA mwakani kama hali ya mvua itaendelea kuwa hivi?
Hali ikiendelea hivi UZALISHAJI wa nchi mwakani utakuwaje kama mvua zitagoma kunyesha?
Hakika MABEBERU WANATUONEA WIVU SANA-MIAKA 64 baada ya uhuru bado tunaishi zama za MAWE.
TUTAKUWEPO🫵😎

Indonesia

@JamiiForums Watu wanalipia bili za maji, Dawasa wanasubiria mvua zinyeshe ili waendelee kuuza maji? Hii ina jina lake am sure.
Indonesia

Mdau wa JamiiForums.com kutoka maeneo ya Mbezi Beach anasema wananunua maji kwa Tsh. 1,500 hadi 2,000 kwa dumu kutokana na ukosefu wa maji, hali ikoje mtaani kwako?
Zaidi: jamii.app/MajiDumu
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFMdau2025 #HudumaZaKijamii #JFHuduma #JFUwajibikaji




Indonesia

@Jambotv_ Kwahio hawa jamaa wanachukua hela za bill za maji wanazolipa watu alafu wanasubiri mvua inyeshe ndio sisi tupate maji, aisee 🤔
Indonesia

VIDEO:
Mamlaka ya usimamizi wa rasilimali za maji zimeeleza sababu zinazofanya mikoa ya Dar es Salaam na Pwani isiendelee kutegemea uchenjuaji wa maji ya Bahari ya Hindi kama suluhisho la uhaba wa maji, ikisema kuwa hatua hiyo bado ina gharama kubwa ikilinganishwa na vyanzo vya maji vinavyotumika sasa.
Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam, Ijumaa Desemba 12, 2025 katika mkutano wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mkurugenzi wa Bodi ya Bonde la Wami/Ruvu, Mhandisi Elibariki Joseph Mmassy amesema pamoja na uwekezaji wa uchenjuaji wa maji ya bahari kuwa wazo zuri, bado gharama zake ni kubwa ukilinganisha na maji ya vyanzo vinavyotumika kwa sasa.
Kwa upande wake, Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA, Mhandisi Mkama Bwire amesema teknolojia ya kuchuja maji ya bahari ipo na inawezekana, lakini changamoto iko kwenye gharama kubwa za uendeshaji zinapotumika kwa uzalishaji mkubwa wa maji.
Mhandisi Bwire amesema changamoto za maji zitaendelea kupita kwenye hatua tatu: upatikanaji, kisha ubora, na hatimaye gharama, hivyo uwekezaji lazima uangalie suluhisho linalodumu kwa muda mrefu bila kuongeza mzigo kwa wananchi.
Ufafanuzi wa viongozi hao umetolewa kufuatia maswali ya Watanzania wengi wanaotaka kufahamu kwa nini mikoa ya Dar es Salaam na Pwani wakati mwingine hukosa maji licha ya kuwa na Bahari ya Hindi yenye maji ambayo yanaweza kuchujwa kuwa ya matumizi ya kawaida.
Indonesia

@Kiganyi_ Huyu jamaa filter yake huwa ina matobo kila akiongea.
Indonesia

Huyu ANAKUFA na AKIFA kama nitakuwa HAI nitachinja MBUZI 100 mtaani kwetu Mbeya kama Sadaka yangu kwa MUNGU kusikia Maombi yetu.
Hilda Newton@HildaNewton21
Haya mambo yapo spiritual sana. Nakumbuka hata kipindi cha Magufuli story zilianzaga hivi hivi kwenye mitandao badae bendera ikapepea nusu mlingoti, Wahenga wanasema lisemwalo lipo kama halipo basi lipo njiani linakuja.
Indonesia

Divorce rate:
🇮🇳India: 1%
🇻🇳Vietnam: 7%
🇹🇯Tajikistan: 10%
🇮🇷Iran: 14%
🇲🇽Mexico: 17%
🇪🇬Egypt: 17%
🇿🇦South Africa: 17%
🇧🇷Brazil: 21%
🇹🇷Turkey: 25%
🇨🇴Colombia: 30%
🇵🇱Poland: 33%
🇯🇵Japan: 35%
🇩🇪Germany: 38%
🇬🇧United Kingdom: 41%
🇳🇿New Zealand: 41%
🇦🇺Australia: 43%
🇨🇳China: 44%
🇺🇸United States: 45%
🇰🇷South Korea: 46%
🇩🇰Denmark: 46%
🇮🇹Italy: 46%
🇨🇦Canada: 47%
🇳🇱Netherlands: 48%
🇸🇪Sweden: 50%
🇨🇵France: 51%
🇧🇪Belgium: 53%
🇫🇮Finland: 55%
🇨🇺Cuba: 55%
🇺🇦Ukraine: 70%
🇷🇺Russia: 73%
🇱🇺Luxembourg: 79%
🇪🇦Spain: 85%
🇵🇹Portugal: 94%
Note: This compares the number of divorces in a given year to the number of marriages in that same year (the ratio of the crude divorce rate to the crude marriage rate). For example, if there are 500 divorces and 1,000 marriages in a given year in a given area, the ratio would be one divorce for every two marriages, e.g. a ratio of 0.50 (50%).
Data is from last available year by country. As an example Portugal data is from 2020, Germany is from 2017.
English

@JumaAbdukarim Siongei na mbwa naongea na wenye mbwa, that kind of mentality
Indonesia

Hii sasa nini? Kutoa matamko ni uhuru wa maoni ambayo inalindwa na Katiba
Anzeni na wale wahuni waliojiita mashehe na kusema watakata vichwa na elezeni sheria waliovunja si kuleta vague statements!
Hii nii rubbish 🚮 haiwezi kutoka kwenye taasisi serious!
#SamiaMustGo
Police Force TZ@tanpol
JESHI LA POLISI LATOA TAHADHARI KWA YEYOTE ATAKAYE KIUKA SHERIA ZA NCHI
Indonesia

@HildaNewton21 @Advocate_Kisabo Maana yake mfungwa kapotea.
Filipino

@Sativa255 Wow, perfect stakeholders analysis, hapa sasa you can clearly set an effective strategy.
English

@Harambee__Stars There is a swahili word for this "Kubemendwa"
English

@IAMartin_ Kwenye tangazo hawajaandika hio title ili watu wasigundue.
Indonesia

Dkt. Stergomena Lawrence Tax hadi kufikia 29.10.2025 alikuwa Waziri wa Ulinzi na JKT. Maana yake alikuwa sehemu ya Serikali ambayo inatuhumiwa kwa vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu ikiwepo mauaji ya kutisha ya raia. Achilia mbali endapo alitoa maagizo kwa kofia yake ya waziri. Jina lake halikupaswa kuwepo katika orodha ya wajumbe wa tume hiyo ya uchunguzi. Anyways, kwa kuwa tumeelezwa ni tume ya kufanya uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani – labda wapo sahihi kwa mtazamo huo.
Indonesia

@IAMartin_ Sio uchunguzi wa vifo na maafa yalifanywa kwa wananchi. Ni uchunguzi wa waliovunja amani.
Indonesia

@Wakazi Hii ni hospitali moja tu Dar pata picha hospitali zote nchini zilikuaje, na hapo fridge zote zilikua zimejaa, na kuna watu kibao hawakupelekwa hospitali walifia nyumbani. Plus majeruhi na wale mioli yao iliosemekana imechukuliwa, we unazani hii namba ni ndogo? Aisee

Alafu watu wanashangaa kwanini nimeghafirika…
Kama Kufa tufe wote, ila hii haikubaliki.
Illegitimate Government HATUWATAKI NA HATUWATAMBUI
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi
OMG!! 😭😭😭😭 hii ni Mortuary ya Mwananyamala. Alieachia video hii anahofia mnooo maisha yake ndo maana imemchukua muda sana kunipa video hii. Anasema kuwa polisi walikuwa wanachukua simu za manesi na madokta wanafuta video na picha na kuwatishia wasirekodi kitu, yeye alikuwa na simu 2 so akawapa simu ambayo alikuwa hajarekodi chochote wakaridhika.
Filipino









