Tanzania Updates 🇹🇿
73 posts

Tanzania Updates 🇹🇿
@TanzaniaUpdates
Follow kupata updates na ripoti mbalimbali za uhakika kuhusu Tanzania.
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Haziran 2023
20 Takip Edilen34 Takipçiler

Mtu anasema mbona Makamu wa Rais hashambuliwi, lini kwenye Taifa hili Makamu wa Rais amewahi kuwa anapokea spana?
Mm nimepata fahamu VP akiwa Dr Omar Ali Juma akaja Shein, baadae Bilal kisha Samia, hapo ni Uongozi wa Mkapa, JK & JPM ni kipindi kipi kati hv VP alikuwa kikaangon?
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
Tanzania Updates 🇹🇿 retweetledi

@elonmusk I thank EU for Type for apple devices 😀. The EU committee responsible is doing a good job.
English
Tanzania Updates 🇹🇿 retweetledi

@Tanganyikan Advantage ya ndege hapo ni kwamba mabawa yake hayalowani. Water proof.
Filipino

@ChangeTanzania Nchimbi “ Mbegu ya chuki imeanza kudhihirika miongoni mwetu; ikitumia usafiri wa dini”
Indonesia


Treni mpya ya umeme inatarajiwa kuwasili nchini jumanne Machi 26 mwaka huu tayari kwa kuanza kazi mwezi Julai.
Hii ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa juzi na shirika la reli nchini (TRC) #TanzaniaUpdates
Indonesia

Waziri wa elimu,sayansi na teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amesema kuwa kupitia sera ya elimu na mafunzo ya mwaka 2014 toleo la mwaka 2023 ambayo imeanza kutekelezwa January 2024, wenye taaluma ya ualimu wataanza kufanyiwa tathmini ya mitihani ili kupata ajira #TanzaniaUpdates
Indonesia

Waziri wa elimu, sayansi na teknolojia, Prof Adolf Mkenda amesema kuwa mitaala mipya imeanza mwaka huu ikihusisha ngazi ya darasa la kwanza na la tatu, upande wa sekondari imeanzia kidato cha kwanza na kidato cha tano pamoja na vyuo vya ualimu #TanzaniaUpdates
Filipino

Rais wa Senegal, MackySall amekubali kufanya mabadiliko ya tarehe ya uchaguzi mkuu kutoka Disemba 15, 2024 hadi Machi 24, 2024 kutokana na maandamano yanayotaka aheshimu muda wake wa kuondoka madarakani #TanzaniaUpdates
Indonesia

Siku ya wanawake husherekewa kila ifikapo Machi 8, ikilenga kutambua jitihada, harakati na mchango wa wanawake duniani #HappyInternationalWomensDay #TanzaniaUpdates
Indonesia

Kampuni ya Asas inayohusika na usambazaji wa maziwa imetunukiwa tuzo ya heshima kwa viwango na ubora kutoka Super Brand East Africa Choice. Tuzo hizo zimetolewa jijini Dar es Salaam #TanzaniaUpdates
Filipino










