Sabitlenmiş Tweet
🙏
2K posts

🙏
@TheRealBonMushi
#MoshiKilimanjaro|#SimbaFan|#ManUnitedFan
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Kasım 2016
271 Takip Edilen225 Takipçiler

@Stevebrown26 @Mrkasulu @MangiwaKwanza1 Itakza mzunguko sana chief, mfano unatokea bagamoyo kwenda Mkuranga short cut ni upite Dar tuu zaidi ya hapo hakuna
Filipino

@Mrkasulu @MangiwaKwanza1 Yes sababu hizi njia nyingine sometimes ni mbovu but ukikaza unaweza fika wilaya zote za pwani bila kuigusa Dar

@ItsKamala @MangiwaKwanza1 Kwani makao makuu ya mkoa yako wapi kibaha au bagamoyo 😂😂😂
Indonesia
🙏 retweetledi

@TheRealBonMushi Ooh nilitaka niandike jiji la kibiashara kama ilivyo DSM
Filipino

@paulo_timothy @IsihakaMahawi @millardayo Wengi wanawaza kuhusu hiyo pesa ila sidhani kama wanafahamu ni muhimu kuwa na hospitali ya taifa yenye vigezo na sio Muhimbili ya sasa. Na moja ya changamoto za kujenga hospital ya taifa ni gharama kwa ujumla mpak uendeshaji
Indonesia

@IsihakaMahawi @millardayo Sio kukarabati inajengwa Mpya Yenye Jengo moja au machache sana ya Huduma zote Kwa Pamoja, Uwe unasoma hadi mwisho Mkuu
Indonesia

Mbunge wa Jimbo la Sumbawanga Mjini, Aeshi Hilaly, akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Ofisi ya Bunge kwa mwaka wa fedha 2026/27, amelitaka Bunge kukataa bajeti ya zaidi ya shilingi trilioni 1.2 kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali mpya ya Muhimbili akishauri fedha hizo zielekezwe katika ujenzi wa Hospitali za Mikoa ili kupunguza mzigo katika Hospitali hiyo.
“Hili jambo tusilikubali na nimuombe Waziri Mkuu kama lipo kwenye Wizara ya Afya, limekuja kwenye Kamati na kuna mambo yanafanyika, naomba Bunge hili liende likafanye utafiti tusikubali kwenda kujenga Hospitali ya Muhimbili kwa shilingi trilioni 1 na bilioni 400 haiwezekani na mimi niko hapa kwa ajili ya kuwasaidia wananchi,”Aeshi Hilaly - Mbunge wa Sumbawanga Mjini.
Akitolea ufafanuzi suala hilo, Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi amesema, “Jambo linaloendelea kwa ajili ya Muhimbili si ukarabati ni ujenzi wa Muhimbili mpya ni kweli ujenzi huo utatumia trilioni 1.2 na ni mkopo lakini lengo ni kuwa na hospitali bora zaidi Muhimbili ya sasa imeshindwa kupata ithibati kutokana na majengo kusambaa na kutumia eneo kubwa. Mpango huu ni mahsusi kwa ajili ya kujenga Muhimbili mpya yenye uwezo wa kulaza wagonjwa 1,300, ikiwa ni pamoja na ujenzi wa majengo na usimikaji wa mitambo yote, na itatekelezwa kwa awamu saba.”
#MillardAyoUPDATES
Indonesia
🙏 retweetledi

@Mill82556338 @RamadhaniS47486 @SanvickRumas @BillyTronix1 Twende taratibu kumtoa Muhamad nitajie mtume mwingine ambaye ni mwarabu tuanzie hapo kwanza.
Filipino

@TheRealBonMushi @RamadhaniS47486 @SanvickRumas @BillyTronix1 Mimi nimeshasema mitume karibu wote ni waarabu,Sasa nitajie hao mitume kutoka banu Israel,na kwanini wote watoke huko?kwani hakuna Mwamfrika aliyepaswa kupewa huo utume? kwani Allah hakujua kwamba waarabu watakuja ifanya hii dini kwamba ni mali yao?kwanini double standard?
Filipino

@Mill82556338 @RamadhaniS47486 @SanvickRumas @BillyTronix1 Mitume wengi waarabu ni wapi unaweza kutaja hata watano acheni kufosi, hata hiyo Quran yenyewe inatambua mitume karibia wote ni Ban Israel.
Indonesia

@RamadhaniS47486 @SanvickRumas @BillyTronix1 Kaka tuachane na hili kwamba yesu ni mweusi,yesu kwani alitokea Afrika?mama yake ni Mwamfrika?
Kwenye hoja ya mitume walipelekwa wengi kwa Waarabu sababu Waarabu ni waasi mimi nakataa,Kuna hoja nzito zaidi ya hiyo,sidhani kama waarabu Duniani wapo peke yao,kwanini wapewe umuhimu?
Filipino

Kiukweli China ndio future yenyewe
Fadhili Kangusi@fadhilikangusi
Kuna baadhi ya nchi kubwa zitatumia hata miaka 100 kuifikia China ya mwaka 2025!
Filipino
🙏 retweetledi
🙏 retweetledi
🙏 retweetledi

VIDEO:
Kongani ya Viwanda ya Kwala… eneo ambalo miaka michache iliyopita lilikuwa ardhi tulivu ya Kibaha mkoani Pwani Leo, ndicho kitovu kipya cha viwanda, ajira, na dira ya uchumi mpya wa Tanzania.
Ndani ya kongani kubwa zaidi Afrika Mashariki yenye ukubwa wa ekari 2,500, fursa mpya zimeendelea kuchipuka hasa baada ya kuzinduliwa kwa kiwanda kikubwa zaidi barani Afrika cha kutengeneza vifaa vya kuzalisha umeme jua, solar power panels, kinachomilikiwa na kampuni ya Tanzol.
Serikali kupitia ziara ya pamoja ya mawaziri watano siku ya Jumatano Desemba 10, 2025 iliyoratibiwa na Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) @InvestTanzania , imeahidi kuboresha miundombinu muhimu ya umeme, maji, na reli hatua inayoongeza kasi ya kuifanya Kwala kuwa kitovu cha uzalishaji kwa ukanda mzima wa Afrika Mashariki.
Wizara zilizoshiriki ziara hiyo ni Wizara ya Mipango na Uwekezaji chini ya Waziri Prof. Kitila Mkumbo @kitilam , Viwanda na Biashara iliyowakilishwa na Waziri Judith Kapinga, Maji ikiwakilishwa na Waziri Jumaa Aweso, Nishati ikiwakilishwa na Naibu Waziri Salome Makamba, na Muungano na Mazingira ikiwakilishwa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Profesa Peter Msofe.
Indonesia
🙏 retweetledi

Mtu akitaja GOT ni miongoni mwa series kali najua kabisa ni mweupe kwenye ulimwengu wa filamu
Bob Kipara@_bli4
Game Of Thrones ni nyoko bhana😎🔥
Indonesia
🙏 retweetledi
🙏 retweetledi
🙏 retweetledi










