Ghost master
1K posts


Baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kumaliza ziara ya kikazi ya siku 2 nchini China, serikali ya Marekani iliwataka wale wote waliokuwa kwenye msafara huo akiwemo Rais, kutupa kila kitu walichopewa au kutumia wakiwa China kabla ya kuingia kwenye ndege.
Zoezi hilo lilifanyika katika pipa la uchafu lililowekwa nje ya ndege. Vitu hivyo ni pamoja na simu za matumizi ya muda mfupi (burner phones), beji, vibali, pini, zawadi n.k
Msafara huo uliacha simu zao binafsi zote ndani ya ndege yao Airforce one na zilihifadhiwa ndani ya mifuko maalumu ambayo haiwezi kushika ishara yoyote ya mtandao.
Hatua hizi zilichukuliwa kwa sababu za kiusalama, huku Marekani ikiendelea kuamini kuwa China inaweza kutumia mwanya wowote kuifwatilia serikali yake kijasusi.
Rais Trump alimaliza ziara hiyo ijumaa ya jana.
#KitengeUpdates

Indonesia

@derc2323 Na ndo kaalikwa sasa nyie si mnatambua mapunga wenzenu wenye akili wanatambulika njee uko😅
Filipino

@iamNehemia Kumbuka hapo kuna mambo ya ujasusi wa kiuchumi
Kuna rooby hata sisi tuliwapora majirani hoima it's all about games
Filipino

Samsung alikuja kujenga industrial park in Tanzania Tukajizungusha.
NALA was about to put HQ in Tanzania Tukajizungusha.
Celtel was to put it's HQ for Africa in Tanzania Tukajizungusha.
VW was to put an assembly plant in Tanzania Tukajizungusha.
List ni ndefu sana, So it's concerned people Wana shindwa kufanya maamuzi, au sera zetu zina changamoto, au nini kinatu - kwamisha. Naomba kueleweshwa?🤔

Suomi

@mTusiOriginal Sasa si urudi uko we kuma utuachie bongo yetu 😂😂
Indonesia

@HildaNewton21 Wee dem itakua una katwa na baba zako wadogo so buree
Filipino

Didier Drogba apelekewe moto aambiwe aache kutumika na Serikali haram ya wauaji kuhalalisha mauaji waliyofanya Oktoba 29 dhidi ya raia wa Tanzania.
Hii ni namba ya Taasisi ya Drogba inaitwa
Drogba Foundation +2250719190089
Hii ni email yake contact@didierdrogbafoundation.org
Nyingine hii info@thesportsprcompany.com

Indonesia

@Kimbesa11 @eastafricatv Hii ungenyamaza tuu ungeonekana una mana zaidi
Unajua gdp yao ? Unajua population yao
Fatilia miundo mbinu yao ndo uje pwayuka
Indonesia

@eastafricatv Kufuta deni la Taifa siyo maendeleo ni umasikini tupu. Mpaka sasa :
Namibia haina ina vyuo vikuu 2 tu.
Namibia haina umeme wakutosha
Namibia haina reli ya umeme.
Namibia haina shule za kutosha
Haina madaraja



Filipino

#HABARI Rais wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, ameiongoza nchi yake kufikia hatua muhimu ya kiuchumi baada ya kukamilisha malipo yote ya deni la Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF). Namibia imelipa jumla ya dola milioni 23.9, hatua inayotajwa kupunguza mzigo wa madeni ya nje na kuongeza uthabiti wa uchumi wa taifa hilo. Mafanikio hayo yamepokelewa kama ishara ya usimamizi mzuri wa fedha za umma chini ya uongozi wa sasa.
Kukamilika kwa deni hilo kunatajwa kuipa Namibia uhuru mkubwa zaidi wa kifedha, huku serikali ikitarajiwa kuwa na nafasi pana ya kuelekeza rasilimali katika miradi ya maendeleo ya ndani. Kwa mujibu wa takwimu hadi Machi mwaka huu, malipo hayo yalifikia dola milioni 23.8875. Namibia sasa imejiunga na baadhi ya mataifa ya Afrika yaliyofanikiwa kufuta madeni yao kwa IMF, ikiwemo Msumbiji.
Netumbo Nandi-Ndaitwah, mwenye umri wa miaka 72, ndiye rais wa kwanza mwanamke wa Namibia. Aliingia madarakani mwezi Disemba 2024 baada ya kushinda uchaguzi kwa asilimia 57 ya kura, huku mpinzani wake wa karibu Panduleni Itula akipata asilimia 26. Tangu akiwa na umri wa miaka 14, amekuwa mwanachama wa chama tawala cha SWAPO, hatua iliyomjengea historia ndefu ya kisiasa nchini humo.
CC: BBC News; DW Kiswahili
#EastAfricaTV

Indonesia

Hii nchi tumeipambania sana kubabake!
Hapo wadwanzi walichana suti yangu mpya kabisa ya Calvin Klein, MATAKO YAO!😎
#FREELISSU #KATAARIPOTI

Filipino

@mshambuliaji @fred_vunjabei Sisi hua wanatabia flani ukiona kama wanakutaka jua hawakutaki na ukiona kama hawakutaki jua wana kutaka
Sema watu hawajifunzi tuu hii kanuni
Indonesia

Licha ya kuongoza kura za Maoni katika Mchakato wa Uchaguzi wa Ubunge, Jimbo la Isimani (Mkoa wa Iringa), Kamati Kuu ya CCM, imemuweka kando Mfanyabiashara Fred Ngajiro maarufu kama @fred_vunjabei na kumteua Emmanuela Kaganda Mtafikolo kuwa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Isimani Mkoani Iringa.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Katibu Wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Itikadi, Uenezi na Mafunzo Kenani Laban Kihongosi, imesema kuwa kwa kuzingatia mamlaka iliyopewa chini ya Ibara ya 105
(7)(f) ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977 Toleo la Julai 2025, Kamati Kuu imefanya uteuzi wa mgombea waCCM kwa ajili ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Isimani, lililopo wilaya ya Iringa Vijijini ambapo Mgombea aliyeteuliwa ni Emmanuela Kaganda MTAFIKOLO.
#KitengeUpdates

Indonesia

@EddyAman5 Utakua kama mwanzo wako hapa duniani ulivokua
Indonesia

@Mwangosijnr Tatizo mnasoma ila hamelimiki mwenyekiti wa kijiji ndo boss wa kijiji someni katiba yenu
So mnalalamika watu kutimiza majukumu yao
Indonesia

@Pie44LH Sasa kama malamba ivo vitu unapata wee mbezi gani ukose
Indonesia



















