Kyando

4.1K posts

Kyando banner
Kyando

Kyando

@Unclevirus_01

🌟Medical Laboratory Technician

Tanzania🇹🇿 Katılım Ocak 2020
2.6K Takip Edilen1.6K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Kyando
Kyando@Unclevirus_01·
😂 😂 😂 Wakat wwnzenu wanasajili mabeki wazur nyie mlikua mnalamba kamasi
Indonesia
53
30
210
0
Kyando
Kyando@Unclevirus_01·
@fumbokhanJr Hakikisheni kikosi chenu kipo timamu ili kupunguza idadi ya magoli
Indonesia
0
0
0
40
Fumbo Khan
Fumbo Khan@fumbokhanJr·
Kama Simba tukimfunga YANGA tunaongoza League kwa tofauti ya Alama 2, nafikili Huu Ndio wakati sahihi wa Kumfunga YANGA..!!
Fumbo Khan tweet media
Indonesia
87
29
1.2K
26.8K
Mswazi Smart
Mswazi Smart@Mswahili_smart·
@PresenterNoah Ya kwanza ni kuturn upande wake wa kushoto anafoot walk nzuri angeweza kupita pili yeye winga akireceive mali safu ya ulinzi inarelax ni option mbovu kurudisha 2. Angempa beki wa kati 3. Angehamisha uwanja kwa kapombe 4. Angecut through kama vile anaingia ndani 5. Angempa kocha
Mswazi Smart tweet media
Indonesia
20
3
99
12.2K
realtazanshuka
realtazanshuka@tazanshuka·
@YoungAfricansSC mwenda alikua Hana uhakika wa namba black star mbona amekuja anacheza yeye as vita alikua anacheza Leo Hana utimamu wa mwili mbona mnatuona km sisi hatujuw football 🙆
Indonesia
4
0
2
3.8K
Young Africans SC
Young Africans SC@YoungAfricansSC·
𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒💬 "Jonathan ni mchezaji mzuri sana, jambo la kwanza tunalopaswa kufanya, bila shaka, ni kumfikisha kwenye kiwango cha utimamu wa mwili tunachotaka. Kwa sababu si tu kuhusu utimamu wa mwili, bali pia kuhakikisha kwamba hapati majeraha. Ikiwa hana utimamu wa kutosha na anahitaji kukimbia kwa kasi kwenye mechi, kuna uwezekano mkubwa wa kuumia, na hilo ndilo tunalotaka kuepuka. Lakini bila shaka yeye ni mchezaji mzuri na katika siku zijazo atatusaidia sana" Sead Ramovic #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
Young Africans SC tweet media
Indonesia
29
27
898
70.3K
Brave man
Brave man@thomas_yona_·
Wakuu Hivi Muwa Ni Tunda au Mboga ?😎
Brave man tweet media
Indonesia
281
58
672
72.1K
George Job
George Job@GeorgeJob14·
Kufikiri usajili wa Mbappe ungefeli Madrid ilikua ni sawa na kuichukia Egypt ilee ya back to back. Hate at your own risk!
Indonesia
16
23
1K
35K
Kyando
Kyando@Unclevirus_01·
Karibu Tukuhudumie, kwa majibu bora na sahihi ya vipimo vya Laboratory
Kyando tweet media
Indonesia
0
0
2
52
Kyando
Kyando@Unclevirus_01·
@fumbokhanJr wakiitoa Simba Simba hawashangilii kwa sababu n team ya kawaida ila hao waarabu walikua wanajua ugumu wa game ya wao na Yanga
Filipino
1
0
2
479
Fumbo Khan
Fumbo Khan@fumbokhanJr·
Simba haijawahi kutolewa kwa Mkapa na watu wakafurahia kama hivi, hii ni dharau Kubwa sana Kwa YANGA😬
Fumbo Khan tweet media
Indonesia
50
49
1.7K
52.6K
Kyando
Kyando@Unclevirus_01·
@fumbokhanJr Watu wengi nawaambia wengne wananitukana, n mchezaji anaepoteza sana mipira anatoa pasi za mwisho za hovyo,
Indonesia
2
0
0
333
Fumbo Khan
Fumbo Khan@fumbokhanJr·
Muda amekuwa ni Mchezaji wa Hovyo sana😀
Fumbo Khan tweet media
Indonesia
29
7
417
11.4K
Farhan Kihamu Jr
Farhan Kihamu Jr@FKihamu·
Naweza kuonekana siko sawa, naweza kuonekana siko timamu ila sioni haya kusema DICKSON JOB ndie Beki bora zaidi wa kati nchini hivi sasa na nitaanza rasmi mjadala wa moja kati ya Mabeki bora wa Kati hii nchi imewahi kubarikiwa nao, ever dependent, ever reliable, haitumiki nguvu hapa ni akili hapa, anajiamini ila hapitilizi. The Most underrated Centre Back in Tanzania Football History basi tu kwasababu kazaliwa hospital ya Mkoa pale Morogoro, basi tu kwasababu kasoma SUA Sekondari na kacheza Mtibwa Sugar.
Farhan Kihamu Jr tweet media
Indonesia
111
54
1.6K
73.4K
Kyando
Kyando@Unclevirus_01·
@Deo18Tarimo Wahun wanagusa wanaachia tu yupo hapa makumbusho
Filipino
1
0
1
298
ROLEX10
ROLEX10@rolex_juniour·
Gusa Achia Mpaka Saivi Shemeji Yenu Hajarudi Nyumbani🙂
ROLEX10 tweet media
Indonesia
107
47
1.6K
69.9K
George Job
George Job@GeorgeJob14·
Banters aside..naomba kujua kitu, kwanini mashabiki wengi wa Arsenal ni kama wamekatishwa tamaa na sare kwa Fulham? Sio wa humu X tu wapo ambao nimekutana nao leo ana kwa ana na wameongea maneno ya kukata tamaa kabisa.
Indonesia
60
13
689
54K
Premier League
Premier League@premierleague·
Football is for everyone, and that is why we are proud to support the Rainbow Laces campaign 🏳️‍🌈 #RainbowLaces
Premier League tweet media
English
12.7K
1.7K
34.3K
3.9M
GURU
GURU@SharoGangstar·
Bro wanaasubiriaga aharibu ndo wamseme. Akifanya vizuri hasifiwi. Bonge ya Performance Bakari Nondo Mwamnyeto. Umeiongoza vyema team
GURU tweet media
Indonesia
31
32
842
19.9K
Myunani
Myunani@MaxTz255_·
Twitter fasihi Hivi neno Sahihi Huwa ni Lipi a)Mahabara b)Maabara C)Mabara
Myunani tweet media
Filipino
77
11
107
10.4K