Chunya county
9.8K posts


#TajiriLaKihaya
Iran imerebuild daraja kwa siku 3 baada ya kushambuliwa na Marekani na Israel mnamo Aprili 7.
Treni tayari zinapita tena🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Indonesia

@spana_Konki Watu wanaukatili ukileta ufara kwa habari zinazohitaji akili kubwa wanakuchana wasiwazi
Indonesia

@EsirEid Dah ila hii nchi ya ajabu kwa hiyo Latra walipanga bei kubwa kiasi kwamba wamiliki wa mabasi wakaamua kutupunguzia haya ni maajabu
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Jana Asubuhi nkiwa njian naelekea Ofisin kwangu MASAKI, ndani ya HILUX 2021…
Nlisikiza Wasafi wakimhoji msemaji wa LATRA Baada ya kikao chao cha juzi…aliongea mambo mengi saana!
Miongoni mwao Alisema: Bei ambazo zinatumiwa na ma Bus ya Mikoani ipo Chini hata kuzidi bei elekezi walizo ziweka Latra 2023. Labda Kwa sababu ya Ushindani baina yao…
Alitolea mfano wa kigoma- bei elekezi latra ni Laki moja.. ila kuna ma bus yanacharge hadi elfu 70.
Huenda Kwa point yako hio… Baada ya bei ya mafuta kupanda- wameamua kuongeza Hadi Bei kikomo za Latra.
Rogath jr@JayRogath
Hii Nchi kila mtu ni Kambale yani Latra hajatoa tamko la mabadiriko ya nauli ila wenye mabus sahivi wameshapandisha nauli tayari Sahivi Dar-Musoma imefika 105k kutoka 85k 🚮🚮🚮
Indonesia

@Maestrowafact Suala la wataalam wanasema nini yeye hakudhingatia
Indonesia

@YerickoNyerereT Story za abunuasi unazileta kwa vijana wa kizazi hiki?.

Mwaka 1978 Kenya katika mashindano ya mpira ya klabu bingwa afrika mashariki walikuwa na mchezaji anaitwa Otieno Mboo. Walifanikiwa kufika fainali. Lakini huyo mchezaji aliumia mechi ya Nusu fainali,
Magazeti ya Kenya yaliandika vichwa vya habari visemavyo, WAKENYA KUCHEZA BILA MBOO, Raisi akazuia magazeti yote na kusema warekebishe hiyo sentensi.
Walibadilisha na kesho yake kuandika WAKENYA KUCHEZA MBOO NJE.
Siku ya mechi Wanawake walifurika Uwanjani kuona mpira!!!!!
Indonesia

@FaradayMtz01 Katika vitu vinavyonifanya nione tunaviongozi wa roho mbaya ni hizi bei za vyombo vya moto vinavyofanya mpaka watu washindwe kumudu gharama na badala yake wanunue magari used kutoka Japan.
Indonesia

@Narrowbeeflying Namtafuta mtu ajipendekeze kuitaja Chunya nimvae jumlajumla
Indonesia

@safarimlevi Anatuchanganya sana mara atufanye marafiki zake mara ghafra maadui zake yaani anatuyumbisha
Indonesia

@Maestrowafact Ni kweli unaloongea
Wale jamaa hawawezi tengeneza urafiki wa karibu wa kimalipo
Bila kufanya tahadhari ya siku ukiwageuka wakuhandle vipi.
Indonesia

@ayubu_madenge Kati ya watu wabishi ni wajinga hasa linapokuja suala la technology.
Indonesia

@hassmantozzi @Maestrowafact Penye kutoogopa hapo ndipo tatizo lilipo haiwezekani kutoogopa lazima tu akili zitakutoka ndio maana kuna baadhi ya maeneo mzigo ukisharudi wanashindwa kuamini wanavua nguo mbele za watu kuwahakikishia upo jamani.
Indonesia

@VittusJ @Maestrowafact Kwaio kumbe hakuna haja ya kuogopa, maana si inakua kama kiini macho tu na sio uhalisia?
Indonesia














