WalasInc
3.4K posts

WalasInc
@WalasInc
Common sense are not common | Believing in truth | #MUFC
Katılım Mart 2020
173 Takip Edilen190 Takipçiler


@EliabuDanford Viongozi weusi ni jamii ambayo uwa inanichekesha sana..😂
Jamaa akipata uongozi anadili na future yake na watoto wake kisawasawa.
Ilimuradi nyumbani kwake kulishapendeza, na usafiri wake muda mwingi ni ndege, Mahela mengine alishaficha nje huko. Hana habari na vumbi lenu😂😂
Indonesia

Nilikuwa nasoma Article moja kutoka Zimbabwe, wakoloni kupitia Gavana, Ian Smith waliacha barabara [paved] kilomita 9,000. Baada ya Ukoloni Robert Mugabe akatengeneza kilomita 20,000 kwa miaka 20. Raisi aliyefuata ambaye ni wa sasa ana miaka 9 madarakani ametengeneza barabara kilomita 1,000 anataka mabadiliko ya katiba muhula uongezewe muda akae madarakani mpaka mwaka 2030😅
Something wrong with a blackman.
Indonesia

@ThomzJoseph Mkuu, Msikilize Mwl. Ambangile anachotaka ndio hicho hicho
Filipino

@HabariTech Logic ni lazima uwe unajua unachofanya , tena uwe unajua vizuri tu
Indonesia

Vibe coding haifanyi kila mtu aweze tengeneza apps.
Ila kwa ambaye tayari anajua inampa wepesi wa kuwa creative zaidi.
Ukisema hujui kabisa development alafu uanze vibe coding, app yao nakuhakikishia itakosa vitu vingi sana.
Utapata muonekano mzuri wa UI ila syntax , logic na semantics lazima ile kwako.
Indonesia
WalasInc retweetledi

#UPDATES_KESI_YA_MGAWANYO_MALI_ZA_CHADEMA
Part 3
Anaendelea Wakili wa upande wa waleta maombi Hekima Mwasipu
Sasa amri ya Mahakama iliyotolewa ilisema Respondents hawapaswi kutekeleza majukumu yao hadi kesi ya msingi itapoisha.
Sheria imesema ikiisha miezi sita walioenda kuomba order wanapaswa kuomba kuongezewa muda.
Hivyo ni wasilisho letu kuwa kutokusema kipindi cha zuio hilo ni kosa kisheria.
Niende kwenye hoja nyingine sasa:
Anaendelea Hekima Mwasipu kuwa order ilizuia Respondents kufanya shughuli za siasa.
Ibara ya 21(1) ya Katiba yetu inasema shughuli za siasa na utawala ni haki ya Kikatiba.
Ibara ya 20 haki ya kukutana na kutoa maoni yao, Mahakama kuu imetoa order ya Chama kisikutane na kufanya shughuli zake.
Kesi ya Augustino Lyatonga Mrema pia ilisema Mahakama hii ya Rufani ilisema baada ya Mrema kwenda kuondoa viongozi wa TLP na ombi la kutaka mahakama itoe amri ya kuzuia shughuli za siasa kwa Mrema kwani ni kuwazuia hadi innocent people kufanya siasa.
Hili halina tofauti na kilichotokea kwa Chadema kuzuia wanachama wote kufanya shughuli za siasa hii haiko sahihi.
Lakini Waheshimiwa Majaji pia kuna barua ya mawakili wa waleta maombi wanaomba msajili wa Mahakama kuu atoe ufafanuzi wa order ya zuio kwa Chadema.
Ni wasilisho letu kuwa hata Mawakili wa waleta maombi hawakuelewa amri ya Mahakama.
Kesi ya Mrema inasema amri ya zuio kwa Chama ni hatari na haitekelezeki.
Naomba nimkaribishe tena Dr. Nshala.
Dr. Nshala kesi ya Jidawi, Jaji alisema board of trustee should not be eqquited with other activities of the party.
Jukumu lake ni moja tu kumiliki mali za Chama, shughuli za Chama na wanachama huwezi kusema watawajibika kwa bodi ya wadhamini.
Kuna swali la Jaji Maige Mahakama inaweza kutoa amri ya injuction lakini hii amri waliyotoa wamemzuia Katibu Mkuu kutumia Mali wakati yeye sio mmiliki wa mali hizo.
Lakini pia imewazuia bodi ya wadhamini kufanya siasa wakati wao sio kazi yao kufanya siasa.
Ni amri ya zuio ambayo imejichanganya, haieleweki na haitelelezeki.
Sasa Jaji alitoa amri ambayo hana mamlaka nayo.
Attilio vs Mbowe inasema lazima kuwepo na Prima facie case lakini katika hili hakuna prima facie case ambayo imekuwa established na pia vigezo vingine Mahakama ilisema kama chakwanza kipo basi na vingine vipo.
Amemaliza Dr. Nshala anasema naomba aje Wakili Mpoki kufunga.
Mpoki naomba sasa tumalizie hapo.
Jaji wa Mahakama ya rufani amesema tukutane baada ya nusu saa so tunaenda mapumziko.
Tukirudi tutaendelea na part 4
Naomba repost yako.
Indonesia

Niliona mtu humu anasema X hamna mademu…
Kwenye thread ya B&W kapost demu wake ni huzuni 😭
Kwanini wanapenda kudogosha warembo wa humu?
fifi_catering_service@FamWorld2025
dada daktari unatafuta nini 😆😆😆
Indonesia

From “The Iranian Regime” to “The Country of Iran”.
Pay attention to smallest of the details. Because in communication, they matter. All the time.
Department of State@StateDept
English











