Kapeloo Gamba

186 posts

Kapeloo Gamba

Kapeloo Gamba

@wasanii

updates about all the artists ,latest news and gossips #stay tuned and switch on your notifications

Katılım Nisan 2020
0 Takip Edilen69 Takipçiler
Mwinyi Khalfan
Mwinyi Khalfan@KhalfanMwinyi·
@gift_macha Huyu ni kolo anajulikana sasa hawezi kuandika uzuri wa yanga au uzuri wa bernard kwasababu ni shabiki sio mwana sport
Indonesia
8
0
8
0
Gem🫶
Gem🫶@gemstick01·
Huenda Bernard Morrison akashindwa kuitumikia Yanga kwenye mechi za awali za Ligi ya Mabingwa Afrika kwani mkataba wake na Simba unamalizika Agosti 14, siku mbili baada ya kuanza kwa mashindano hayo.
Gem🫶 tweet media
Filipino
53
53
1.1K
0
Privaldinho
Privaldinho@privaldinho·
Daah Brother pumzika kwa amani. Kifo kinatisha sana. Tusimame katika imani hatujui kuhusu baadae. Pumzika Gwassa Michael @gwamike my friend since Mwika High School 2007-2010
Privaldinho tweet media
Filipino
116
59
939
0
Kapeloo Gamba retweetledi
Jon Mrema
Jon Mrema@JonMrema·
Aiseee.......kumbe ndiko tulikofika!!! Zitto is this from you my brother ? Haya chochea Moto ! Kwamba kuna watu wanawachukia Wazanzibar isipokuwa wewe! Kwamba kuna watu wadini ,isipokuwa wewe! I'm speechless! Nakumbuka Maneno yako pale hotel ya Golden Tulip, Muda utaamua!
Jon Mrema tweet media
Filipino
51
54
262
0
Jçķý
Jçķý@jckyTheBon·
Kama kondomu haipatikani, ni nini kingine ambacho mtu anaweza kutumia kwa ulinzi? 😂
Indonesia
761
126
2K
0
Tanzania Leaks
Tanzania Leaks@TanzaniaLeaks·
Muombeeni aliyekua Spika wa Bunge, Job Ndugai. Baada ya kuwekwa kizuizini na kuzuiwa kuongea na vyombo vya habari, ameugua sana. Hali yake sio nzuri. Alipo shinikizwa aandike barua ya kuachia ngazi, alikataa. Wala hajawahi kuandika barua ya kuachia ngazi. #TanzaniaLeaks
Tanzania Leaks tweet media
Indonesia
319
152
1.3K
0
msouth
msouth@msouth_Tupac·
@de_official2 Kuipata katiba mpya kwenye taifa lenyevijana linalowaza mbolo kila wakat kaz ipo ccm imefaulu sana kuharibu akili za watanzan ndo sabab kutwa vjana wa kiume kuwaza makuma tu na wakike wanawaza mbolo tu.mpaka hapa ccm itadumu milele na nyie wengine ni mifugo ya kuzaliana tu.
Indonesia
14
2
65
0
Kapeloo Gamba retweetledi
Kigogo Media
Kigogo Media@kigogo2014·
MKOME sasa! Mlijitia kiherehere wakati waliowatuma wakakimbilia nje ya nchi na watoto zao na wake zao! Mwingine maneno mengiiiiii aligalagala getini pale Umoja House utadhani siyo yeye mwenye kauli za kishujaa majukwaani Yuko wapi mtoto wa Lema, Msigwa,Spika wenu au sultani?
Kigogo Media tweet mediaKigogo Media tweet media
Filipino
48
22
168
0
OscarOscar
OscarOscar@mzeewakaliua·
Ukiambiwa umuelezee Oscar Oscar kwa kwa jina moja tu, utasemaje?
Polski
665
44
2K
0
AshaDii
AshaDii@AD_Abinallah·
Mtu ambaye ni mgeni ndiyo kajiunga Twitter na hajui kabisa namna ya kutumia, unampa ushauri gani?
Indonesia
96
14
730
0
Kapeloo Gamba
Kapeloo Gamba@wasanii·
@bunge_tz Anapaswa afunguliwe mashtaka sasa ya kutumia vibaya madaraka yake
Filipino
0
0
0
0
Kapeloo Gamba
Kapeloo Gamba@wasanii·
@NyerereYericko Shida ya chadema nyie mnajiona mungu wng ukabili wenu ndio mnaowafikisha hapa zitto ni kiumbe tofauti mnavofikilia sera ya chedema mmeishiwa ndio maana mnaenda kuharibikiwa na chadema yenu
Indonesia
0
0
0
0
Kapeloo Gamba retweetledi
Tanzania Leaks
Tanzania Leaks@TanzaniaLeaks·
Tumepokea taarifa kutoka Dodoma, kambi ya Magufuli bado ina nguvu sana. Pamoja na kuwaita Gwajima, Silaa na Polepole: Kamati Kuu ya Halimashauri Kuu CCM imeingia hofu sana. Ndugai amekua mkali. CCM imeamua haitawafukuza wanachama hawa bali itawapa onyo na kuangalia mwenendo wao.
Tanzania Leaks tweet media
Indonesia
43
72
397
0
Kapeloo Gamba
Kapeloo Gamba@wasanii·
@MuhidinirashidS @Ulimwengu_ Kumshindi mtu anaeonge fact ningum sana mzee wetu ulimwengu anasimamia katiba ww unasimama kuwalindi viingozi wanapinga kilichoandikwa ndani ya katiba
Filipino
0
0
0
0
binsisso1961@gmail.com
[email protected]@MuhidinirashidS·
@Ulimwengu_ Ulimwengu hata ukiwasemea haitosaidia kwa sababu wewe sio Mtanzania ungeanza na ndugu zako warundi kwanza kuwasemea serikali ilifanya makosa kukupa hukuu wa wilaya kiurafiki iache CCM iendelee kwani hajapatikana mandala utakuwa umenielewa
Indonesia
77
3
17
0
Kapeloo Gamba
Kapeloo Gamba@wasanii·
@CloudsMediaLive Ivi anamchukulia pouwa sana mzee ulimwengu kweli huyu spika huwa hasomihata comment za watu ili aone namna gani wananchi wanachukia utendajikazi wake
Indonesia
0
0
3
0
Clouds Media
Clouds Media@CloudsMediaLive·
Spika wa Bunge amempa onyo kali Mwanazuoni Jenerali Ulimwengu kutokana na tabia yake ya kukashifu watu mitandaoni. "Nampa salam, Hili ni onyo la mwisho, asitukadirie na kutuchezea atakavyo,akirudia tutamshughulikia kwa ndani na nje Hadi mahakamani, sisi sio wa kuchezewa chezewa"
Clouds Media tweet media
Indonesia
283
44
958
0
Mama Lau
Mama Lau@BabaLau9·
Mbwa ni mbwa hata apewe jina la binadamu
Mama Lau tweet media
Indonesia
1
0
5
0
Mama Lau
Mama Lau@BabaLau9·
Tuendelee kuheshimiana mambo yanabadilika ,Tusijisahau sana wanangu.
Mama Lau tweet media
Indonesia
1
0
10
0