Muhaini AI

11.3K posts

Muhaini AI banner
Muhaini AI

Muhaini AI

@Zackajr

Betting | Football | Music | Technology | Market research | basketball | Liverpool

Rock city Katılım Nisan 2022
787 Takip Edilen736 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Muhaini AI
Muhaini AI@Zackajr·
RIP kwa wale wazalendo wote waliotangulia Mmevipiga vita vilivyovyema tutaonana tena 🫡🫡🫡
Muhaini AI tweet media
Filipino
1
4
7
241
Yahya Njenge
Yahya Njenge@NjengeYahya·
Kocha Florent Ibenge ameurejesha mpira miguuni mwa Diakite. Ibenge amerejesha utawala wa haki wa Aishi Manula kwenye lango la Azam FC. Ibenge ameshinda mechi ya ligi kuu dhidi ya Coastal huku akiwachezesha wachezaji wanne kutoka U20. Hii huipati popote zaidi ya Azam FC !
Yahya Njenge tweet mediaYahya Njenge tweet mediaYahya Njenge tweet media
Indonesia
8
26
905
33.9K
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Sierra Leone 🇸🇱 ♥️ Ni mkoa gani Tanzania una view hii?
Polycarp The Bibliophile tweet media
Español
71
6
277
19.6K
fifi_catering_service
fifi_catering_service@FamWorld2025·
Akaanza masomo yake vizuri anaendelea sasa kuna siku yupo jengo la ghorofa kama ya pili hivi kwa mbali akamuona mtu kama baba ake akashtuka yule baba alikuja kumchkua mwanachuo mmoja aliyeonekana kama mtoto wake, yule binti akahisi kama ana hallusinate akaachana nae👇🏻
fifi_catering_service@FamWorld2025

miaka kma 10 ikapita watoto wake wakakua binti ake wa kwanza akamaliza high school akamuomba mama yake chuo akasome nchi alozaliwa baba ake kama ishara ya kumuenzi mzee wake mama ake kakubali, binti katafuta chuo kapata kasafiri hadi nchi hiyo asijue anayoenda kukutana nayo🥹😭💔

Filipino
8
10
87
15.9K
Chaserz🇪🇺
Chaserz🇪🇺@TheBlackmkoloni·
@MkulimaKante Safi mzee umeiweka vzurii, na alivo mzuri akawaambia yeye ni mdhamini tu wa yanga coz ya mapenzi yake na yanga, Yanga fans wakajaa, Wakasahau kua Eng. Hersi kabla ya kua raisi wa Club alikua mkurugenzi wa uwekezaji GSM Yanga SC, 😊
Indonesia
2
0
26
4.7K
Kante
Kante@MkulimaKante·
GSM mjanja sana anaplace kete zake kwa akili nyingi sana. Picha linaanza kanunua hisa za kutosha pale mjini Jangwani automatic mashabiki wakamkubali kumbuka Yanga ina mashabiki kama 15+ milioni hata kashateka hisia Mdogo mdogo akaanza kuwasogezea bidhaa mara gsm water, mara g boost which means ana uhakika wa wateja ambao ni Yanga supporters na wengine. Hakika Pesa Inategwa🙌
Filipino
44
33
808
68.5K
Muhaini AI
Muhaini AI@Zackajr·
@winstone_nnko Alafu unajichekesha kwaiy umefurah kisa Tu hajaja bongo usenge ty
Indonesia
0
0
0
419
𝗦𝗲𝗻𝗶𝗼𝗿 𝗠𝗼𝗻𝗲𝘁
Wakati iShow Speed akitembelea nnchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara alipata mapokezi mazuri sana especially kwenye streaming ambapo wastani wa watu milioni 3-8 walikuwa wakimfuatilia live na hata physical presence ya watu kwenye events zake ilikuwa nzuri. Ila Egypt hafiki 1m.🤣🥹
𝗦𝗲𝗻𝗶𝗼𝗿 𝗠𝗼𝗻𝗲𝘁 tweet media
Filipino
10
2
122
15.2K
Muhaini AI
Muhaini AI@Zackajr·
@TzFootballers Washangae maboss wenu waliokua nyuma ya Hilo alaf mtuambie et mnabeba labda muliibe kwanza naomba mungu ingewezekana wakabaki Uganda na Kenya Tu kwenye maandaliz
Indonesia
1
0
0
24
Muhaini AI
Muhaini AI@Zackajr·
@Kariakoo_ Hao wazee wa matango pori vijana kila siku wanalia Hela hazitoki
Suomi
1
0
5
2.5K
Kante
Kante@MkulimaKante·
Janja muda huu yuko egypt leo katembelea yale mapyramid kaoneshwa makabuli ya wafalme. Kavaa jersey ya misri kama kawaida🙌 Tanzania tumechezea bahati😔
Kante tweet media
Indonesia
6
4
29
2K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
TAARIFA MBAYA Watu waliojitambulisha kuwa ni maaskari wanaume watatu na mwanamke mmoja aliyevaa T shirt ya NMB wakiwa na Bajaji trh 14/01/2026 saa nane na nusu mchana walimshikilia Ndugu Athuman Uchune maeneo ya Tabata Hai Bar na kutumia simu yake kunipigia mimi kuwapigia watu wangu wengine wa karibu ili wafanikishe azma ya kunikamata.Wamejaribu kumtafuta rafiki yangu Kawambwa,Kadili na mwishowe walienda kariakoo kwa mtu anayenitengenezea simu nae wakamkosa. Baada ya zoezi la kunikamata kushindikana jana watu hao wamekuja tena leo 15/01/2026 majira ya saa nne asubuhi maeneo ya Tabata Dampo na kukutana tena na ndugu Athuman ili aweze kuwasaidia kuwapata watu wangu wa karibu,zoezi hilo liliposhindikana watu hao walifanikiwa kuondoka na Bwana Kadili Hamadi Salum ambaye mpaka sasa hajulikani alipo tangu wametokomea nae. Huu ni muendelezo wa kunitafuta tangu niliponusurika kutekwa mwaka jana oktoba, 2025. Namba wanayoitumia watu hao ni 0682517050 Jerome Olomi, Katibu wa Mkoa wa Ilala.
Hilda Newton tweet media
Indonesia
29
188
1K
62.7K
uncle À
uncle À@arsanaly·
@Tweener003 Ukifanikiwa lazima uchukiwe na masikini hasa unaowanyonya😂
Indonesia
2
0
6
1.8K
PàChâ#1738 💫
PàChâ#1738 💫@Tweener003·
Jana banda umiza senegal kafunga goal watu walivoshangilia hizo kelele ni balaa ,hivi hawa waarabu walitukoseaga nini 😄😄😄
PàChâ#1738 💫 tweet media
Indonesia
46
34
695
24.7K
OG OUTFITS❤️💃
OG OUTFITS❤️💃@og_outfits·
Mtag tweep unayempenda unatamani awe mpenzi wako alafu mtakie usiku mwema tuone reply yake hapa😁👇
Filipino
16
7
64
6.1K
Muhaini AI retweetledi
PROPUNTER2025
PROPUNTER2025@HumoudMass74519·
ZCD6C 🐴
PROPUNTER2025 tweet media
Tiếng Việt
0
5
26
1.3K
babayaga🙃
babayaga🙃@babayaga2257·
@Malengo25 Imebidi niulize mana ndo mtu alopost pekeake leo asubuhi nadhani.
Filipino
1
0
2
50
MALENGOO
MALENGOO@Malengo25·
From what niliona kwenye CHAN Gueye ni ball carrier mzuri anapenda kucheza kwenye chaki Ila ana cut in zaidi kuliko kwenda wide anapiga mashuti vizuri pia ana vision ya level flani ataongeza kitu kwenye squad ya Simba sport club.
MALENGOO tweet media
Filipino
6
4
61
1.7K