Bizzo

3.1K posts

Bizzo banner
Bizzo

Bizzo

@_BIZ0

.To whom much is given, much is tested.

Katılım Aralık 2021
577 Takip Edilen492 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Bizzo
Bizzo@_BIZ0·
@YoungAfricansSC Usione mwanaume anafanya mitikasi yake sura nyeupe kuna mengi yanafichwa kwenye mapambano na yupo anahakikisha majonzi hayatoi kwenye reli, Boka ameipambania nembo ya yanga licha ya kuwa na mapambano yake na nafsi yake pia THANK YOU CHADRACK ISACK BOKA🙏🙏
Indonesia
1
6
130
4.8K
I AM
I AM@francismtey·
Hivi nani aliyepiga Picha za Sayari zote 8 Ambazo zimechorwa kwenye Vitabu. Na hizo picha zilipigwa na Camera Gani? Kama Jibu lako ni "NASA" nakublock 😂 Usinitajie Taasisi ya Matapeli.
Filipino
81
15
301
23.6K
Bizzo
Bizzo@_BIZ0·
@EduTalkTz Wakulima wapo wengi sana wanajua sana vitu vya kufanya na wapi wanapokwama, wamebakisha utaalamu kidogo tu na mitaji ya kutosha, ishu sio sisi vijana ishu ni njia wezeshi tu, weka maplot kodisha pesa ndogo weka miundombinu, pnguza bei za viwatlifu afu acha mwenye njaa achague
Indonesia
1
0
10
1K
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Mradi wa BBT umelala mbele na pesa zaidi ya bilioni 400 za watanzania maskini. Bilioni 400 ni million elfu moja moja mara 400 (400,000,000,000). Tafuta wakulima kama Masanja au wakubwa zaidi kisha kila mmoja ingia nae mkataba wa kufundisha vijana kwa njia ya legitimate peripheral participation (mfumo kama wa saidia fundi tu). Mlipe Masanja kwa kichwa kwa msimu kisha kubaliana nae kuhusu deliverables. Baada ya hapo mpatie vijana 1,000. Kila kijana kati ya hao 1000 mpe hekari kadhaa karibu na mashamba ya Masanja. Shamba la Masanja ni darasani kwake na plot yake ni sehemu ya experiment. Ukiwa na wakina Masanja 500 tu maana yake una vijana 500,000 ambao sio tu wanapata legitimate training kwa kushiriki moja kwa moja bali pia wana plot ya ku-experiment kile wanachojifunza. Weka mfumo mzuri wa kuchochea ufanisi kisha watafute hawa vijana baada ya misimu miwili tu uone watakuwa wapi. Fanya hivi hivi mara fani 20 za kipaumbele uone ni vijana wangapi utawaondoa mtaani. Hii ndio modal wanayoitumia pale Ujerumani, nchi ambayo kwa kiasi kikubwa imefanikiwa kupunguza tatizo la ajira za vijana kuliko sehemu yoyote duniani. Tatizo tunawaza kupiga tu, hakuna genuine political will ya kupunguza tatizo la ajira kwa vijana.
(---) Onesmo Mushi tweet media
Indonesia
33
36
272
19.4K
~BINGWA⚡
~BINGWA⚡@BingwaIK·
Eti tutamsaidiaje? 😁
~BINGWA⚡ tweet media
Eesti
15
17
102
11.8K
IAmHaule
IAmHaule@IAmHaule·
Historia inaendelea kuandikwa .. NASA wametoa picha mpya ya Mwezi. Ikionyesha eneo ambalo halijawahi kuonekana kikamilifu kwa macho ya binadamu. Hii picha imepigwa Leo .
IAmHaule tweet media
Filipino
18
12
125
13.2K
Bizzo
Bizzo@_BIZ0·
@MarekaMalili Biashara haitaleta huruma, wazawa wakacheze court za veta😁
Indonesia
0
0
0
30
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
TAZAMA KWENYE JEDWALI UNAFUU WA BEI YA MAFUTA TANZANIA NA NCHI NYINGINE Ukilinganisha bei ya mafuta ya Petrol na Dizeli kati ya Tanzania na nchi nyingine utaona Tanzania kuna nafuu kubwa.
MR BEN tweet media
Filipino
325
31
150
82.1K
Digital Nomad (Your Fav Dijito Bro)
Ona sasa, hujatajwa jina umepaniki. Also, Yes video zako nyingi huwa ni paid ads na makampuni ya betting ila huwa haudisclose Mimi sina noma na hustles zako, ila hiyo side ingine ya biz mnafanya muwe mnaisema pia.
SATIVA@Sativa255

We jamaa NI KUMA nilijua home boy anakuonea ila kwasasa nimeverify wewe ni kundi la MIKUNDU. Endelea kupiga hela za AI kamari huji kuielewa mpaka unakufa na hapo unaona umeongea points ila ni UPUPU mtupu soma Comments zinakuumbua. Kiufupi FUGA NDAMBI HILO KUMA WEWE.

Filipino
24
4
60
58.2K
Digital Nomad (Your Fav Dijito Bro)
Incase uko interested kujifunza kuhusu kazi za mtandaoni, kuanzia may nitakuwa na darasa la miezi 3. Not free though.
Filipino
40
7
120
8.7K
Malique
Malique@tallan_malique·
@444holywitch Nafuatilia tweets zako ila you need heeling 😁 Unajua kipindi niko high school I was like you tunafundishwa GS nikaanza ku-question everything
Filipino
2
0
0
200
888
888@444holywitch·
Kifo ni tragedy sana. Kifo ndo kinafanya imani nyingi zinatofautiana kwasababu kila mtu anaamini kwa namna yake maisha baada ya kifo. Mwengine kuna kusifu na kuabudu, mwengine kuna mabikra 99, mwengine kuna kurudi tena, mwengine ndo habari yako imeisha hapo Nani sahihi? Tragedy
Filipino
8
3
43
4.7K
Bizzo
Bizzo@_BIZ0·
@IsabellaAmara1 Look at the direction of the stick, it shows the direction of the ongoing journey.
English
0
0
0
8
Bizzo
Bizzo@_BIZ0·
@MfalmewaX1 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
QME
0
0
2
314
Mfalme👑🇹🇿
Mfalme👑🇹🇿@MfalmewaX1·
Dear wafalme, Wanawake wanatembea wamevaa earphones, wakisikiliza video za ngono ili tu chuchu zao zisimame. Upuuzi.
28
14
294
22K
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora linamshikilia Ibrahimu Kitundu (18), msanii wa maigizo na mkazi wa Kata ya Ipuli kwa tuhuma za kufanya shambulio la aibu kwa kumwingizia uume mdomoni mtoto wa kiume, ili apate mafanikio. Polisi wamesema mtuhumiwa amekiri kutenda kosa hilo na kueleza kuwa amefanya kosa hilo kutokana na masharti aliyopewa na mganga.
Swahili Times tweet media
Indonesia
51
19
383
54.2K
Bizzo
Bizzo@_BIZ0·
@LastbornWaWapwa Usiwe na haraka kuchagua upande kama story inahusu pande mbili, haijalishi imekugusa kwa kiasi gani, USICHAGUE UPANDE MAPEMA
Indonesia
1
0
2
171
M O X
M O X@UrBoyMox·
Kitu gani umejifunza katika maisha ungependa wengine wajue?
Indonesia
49
41
153
10.8K
The champ👑
The champ👑@fintanjr_·
Nakumbuka Baada ya kumaliza form 6, nikajikaza kwenda kureport kambi moja kule songea, kama mnavyojua " mujibu wa sheria".. Tukareport , picha linaanza tumelala saa 6 saa 7 tunaambiwa kumekucha,. Unajiuliza kumekucha vipi na hili giza, wanasema hilo giza ndio kukucha kwenyewe,.. Bhasi bhana kati ya tulioreport alikuwepo jamaa ana kichwa kirefu, hakuwa mlemavu ila alikuwa na kichogo kirefu,..wakawa kila muda wanampiga makofi , wanamwambia wanataka wamuue ili asije akaendeleza kizazi chake😂💔,.. jamaa mwisho akatoroka usiku sana ..
Indonesia
143
63
541
28.2K
Dickson_Eng
Dickson_Eng@HeisDickson1·
@kasesco_tz Nunua "GUTA" (iwe double diff) peleka porini kule wanapochimba mawe yenye dhahabu, kubeba mfuko mmoja ni 20k- 25k na GUTA linabeba maximum mifuko 30, (30*20k= 600k per trip) Rudi round mbili tuu kwa siku, alafu Fanya kazi mara 3 tuu kwa wiki (siku za mgao).
Filipino
3
3
18
2.5K
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Biashara ipi yenye faida -ambayo TRA hawasumbui😊
Indonesia
83
32
270
29.8K
Bizzo
Bizzo@_BIZ0·
@Mwinshehe07 Kuna jamaa anajipima ika react mistari miwili, mwanae akamwambia imechora mistari miwil kwasabu una damu nyingi😂😂 @UMwampeta
Indonesia
2
0
1
47
Vinny
Vinny@OrvinV4146·
@MsigwaPeter We still depend you in our career of politics
English
1
0
1
287
Peter Msigwa
Peter Msigwa@MsigwaPeter·
Ongoza watu kama ambavyo ungependa mtoto wako aongozwe. Ondoa kwanza mambo yote yanayotufanya tusahau ubinadamu wa watu — mifumo, vyeo vya kazi, taratibu za ofisini na makaratasi ya tathmini ya utendaji. Mambo hayo yana nafasi yake, lakini hayapaswi kuwa moyo wa uongozi. Badala yake jiulize swali moja la msingi: Kama huyu angekuwa mwanangu au binti yangu, ningependa kiongozi wake awe mtu wa aina gani? Ningependa azungumze naye kwa heshima au kwa dharau? Ningependa amuone kama namba kwenye orodha ya wafanyakazi, au kama mtu mwenye ndoto na uwezo? Ningependa amuamini hata wakati bado anajifunza? Ningependa amsaidie kukua au amkatishe tamaa? Kiongozi mzuri huwa anasukuma watu wakue, lakini pia analinda utu wao. Anawapa changamoto ili wafikie uwezo wao mkubwa zaidi. Anawafundisha badala ya kuwavunja. Anarekebisha makosa bila kudhalilisha. Anawafanya wajione wana thamani, si kwa sababu ni wakamilifu, bali kwa sababu wanaweza kuwa bora zaidi. Huo ndio uwe kichujio cha uongozi wako. Huo ndio uwe kiwango chako cha maamuzi. Sio kwa sababu uongozi unapaswa kuwa laini au dhaifu. La hasha. Uongozi wa kweli unaweza kuwa na nidhamu, uwazi na viwango vya juu. Lakini pamoja na hayo yote, lazima uwe wa kibinadamu. Kwa sababu ukweli ni huu: Watu wako sio “rasilimali” tu za kampuni. Sio namba kwenye payroll. Sio nafasi tu kwenye muundo wa shirika. Kila mmoja wao ni dunia nzima ya mtu fulani. Ni mtoto wa mtu. Ni mzazi wa watoto fulani. Ni mtu ambaye familia yake inamtegemea, watu wanamwamini, na maisha yao yanahusiana naye. Ukikumbuka hilo, utaanza kuongoza tofauti. Utasema maneno kwa makini zaidi. Utajenga watu badala ya kuwavunja. Utawasukuma kufikia ubora bila kupoteza utu wao. Na mwisho wa siku, hutakuwa tu kiongozi anayefanikisha kazi. Utakuwa kiongozi anayeheshimiwa. Utakuwa kiongozi anayekumbukwa. Na zaidi ya yote, utakuwa kiongozi mwenye heshima na utu
Indonesia
52
7
70
11.7K