Sabitlenmiş Tweet
2.0ثيكلا.
13.7K posts

2.0ثيكلا.
@_bongolese
Posts below are empirical notes to self.
Katılım Mayıs 2021
492 Takip Edilen1.5K Takipçiler
2.0ثيكلا. retweetledi

@_bongolese Ndio maana nasema watu wanahisi tabia mbovu ya mzungu itafanana exactly na wao wanavyojua umbea wa mzungu haufanani na umbea wa mswahili kwenye uwasilishaji
Filipino
2.0ثيكلا. retweetledi

@BarakaMaviatu Huo ni utamaduni wetu. Hata yeye angeishi bongo angekuwa kama sisi tu. Mimi naongelea tabia.
Indonesia

@_bongolese Au hazipo kama tunavyoelewa. Mfano mzungu hawezi ongea umbea vidole juu kaka mwajuma.
Indonesia
2.0ثيكلا. retweetledi
2.0ثيكلا. retweetledi
2.0ثيكلا. retweetledi
2.0ثيكلا. retweetledi

@bwaya From my observation, wengi wao huwa envious tu hasa wakigundua umepiga hatua kwenye maisha kuliko wao au kipimo walichokuwekea lengo ni kukudogodesha/fedhehesha na wana expect utakereka/kuwa defensive. Kuna strategy ukiaaply inageuza mchezo, mwisho anafedheheka yeye.
Filipino

Kila mtu, kwa namna yake, ana ule ukurasa wa tabia zake asiopenda kuusoma kwa sauti. Inaweza kuwa historia ya kufeli, kuibia mitihani, kuachishwa kazi, fedheha ya umasikini, kuachwa kwa aibu, ugomvi uliokuachia majeraha, tabia mbaya usizopenda kujitambulisha nazo na kadhalika. Ufikirie ukurasa huu kama mzimu unaoweka rehani heshima yako na unapambana kuudhibiti usifahamike na watu ukakuletea madhara.
Sasa kuna wale watu, ambao kwa sababu zao mbalimbali, hupenda kukusomea ukurasa huu kwa sauti hata kama wanajua huupendi. Hawa wanaweza kuwa watu uliokua nao, uliosoma nao, uliowahi kufanya nao kazi mahali ulikoharibu na kadhalika. Hawa ni watu ambao hata ukionekana kufanikiwa wako na wewe kukumbusha udhaifu wako, na hawakuruhusu kabisa uufunike ukurasa huu uendelee na maisha yako mengine.
Kwa vile hatupendi historia zetu zinazotutia unyonge, mara nyingi tunashawishika kujilinda kwa kujitenga na watu hawa na wakati mwingine ikibidi kuwachukia. Hapa ndipo inapokuja nadharia ya mshunuzi Carl Gustav Jung. Unapowachukia na kujitenga na watu wanaokukumbusha unyonge (mzimu) wako, Carl Jung anasema hiyo ni njia yako ya mkato unayotumia kuusoma ukurasa huu bila kupata maumivu makali. Chuki kwa mtu msingi wake ni hofu ya kufahamika kwa zimwi linaloweka rehani heshima yako. Huwezi kumchukia mtu asiyegusa penye kidonda. Huwezi kumchukia mtu kwa kukuzushia tabia mbaya unazojua fika huna. Chuki ni kama handaki tunalotumia kufukia tatizo halisi usilotaka lifahamike na watu.
Kuishinda chuki uliyonayo kwa mtu, Carl Gustav Jung anasema unahitaji mchakato wa dhati wa kukabiliana na kipande kibaya cha maisha yako, kipande usichokipenda, kipande kinachokufanya ujisikie aibu, fedheha, dhalili na hasira dhidi yako mwenyewe. Ukiweza kushughulikia kipande hiki unakutana na wewe mwingine, wewe halisi aliyebadilika kiasi cha kutokuogopa ‘mavi ya kale.’ Ukifika hapo unapata uhuru wa kuishi na historia yako, na hivyo, hutamchukia mtu hata kama kila mkikutana anakusomea ukurasa wa maisha yako usioupenda kuusoma kwa sauti.
Indonesia

@_bongolese Je , unakubaliana na nukuu ya bwana Abraham Lincoln?
If yes post a cuppa....
Indonesia
2.0ثيكلا. retweetledi

The world is full of fools—people who cannot wait to get results, who change with the wind, who can’t see past their noses.
You encounter them everywhere: the indecisive boss, the rash colleague, the hysterical subordinate.
When working alongside fools, do not fight them.
Instead think of them the way you think of children, or pets, not important enough to affect your mental balance.
English
2.0ثيكلا. retweetledi











