albertomsando retweetledi
albertomsando
40 posts

albertomsando retweetledi

Leaders Don’t force people to follow. They invite them on a journey.
@ccm_tanzania @uvccm_tz @albertomsando @binamubananga
English

@AnnaTibaijuka Asante Mama @AnnaTibaijuka umebadili upotoshaji wako wa mwanzo "territory kwamba maana yake mradi utatekelezwa eneo lote la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania! *This is a misconception and misinterpretation.*"
na sasa umeibuka na hoja mpya juu ya tafsiri ya neno "territory"


Indonesia
albertomsando retweetledi

Limekuwa swali ambalo wengi wametamani kulijua kuhusu Ukomo wa Mkataba wa Bandari na hapa Mhe. Jerry Slaa anaelezea.
#LiveOnClouds360
Indonesia
albertomsando retweetledi

Watanzania wengi kupitia katika mitandao ya Kijamii wameonesha kukerwa na kauli za Makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu dhidi ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan aliyoitoa leo katika mkutano huko Bukoba Mjini Mkoani Kagera wakisema kuwa amekosa utu, Nidhamu na shukrani kwa Rais Samia licha ya mambo makubwa aliyomfanyia.
Lissu akiwa katika mkutano wa Chadema leo amemtuhumu Rais Samia kuuza Bandari ya Dar es Salaam na kudai kuwa Rais mwingine yeyote asingeweza kufanya hivyo hata Rais Hayati Magufuli licha ya ubaya wote aliyomtendea lakini asingeweza kuuza Bandari.
#KitengeUpdates

Indonesia
albertomsando retweetledi

Mapema leo katika mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mheshimiwa @WilliamsRuto, pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu (Africa Heads of State Human Capital Summit), Jijini Dar es Salaam.
Tanzania na Kenya ni washirika kindugu na kibiashara, wakishirikiana mpaka wa urefu wa zaidi ya kilometa 750 wenye umuhimu mkubwa katika ulinzi, usalama na uchumi kwa wananchi wa pande zote mbili. #Jumuiya

Indonesia

Hata kwa tafsiri ya jumla makubaliano hayo HAYAPO. Maelezo yake ni kwamba utekelezaji wa Mkataba unahusu ardhi yote na anga lote la Tanzania. Hili sio kweli na amepotosha Prof. @AnnaTibaijuka Na hii ndio hoja yangu.
Ahsanteni.
Indonesia

Kwa mfano Prof. @AnnaTibaijuka aseme ni wapi kwenye mkataba kuna makubaliano haya:
_DP Worlds shall implement project activities stated in phase one [and two] in the whole Tanzanian territory?_
English
albertomsando retweetledi

Muonekano wa maendeleo ya utengenezaji wa moja kati ya seti 10 za treni za Kisasa (EMU) kwa ajili Reli ya kisasa (SGR), zinazotengenezwa na kampuni ya Hyundai Rotem ya Korea ya Kusini, ambapo kazi za utandazaji wa nyaya za umeme, mfumo wa usambazaji hewa ndani ya treni na ufungaji wa vifaa vya kielektroniki zinaendelea.
Kampuni hiyo ilipewa zabuni na Serikali ya Tanzania ya kutengeneza vichwa 17 vya treni vya umeme na seti 10 za treni za kisasa EMU.
Pamoja na kazi za utengenezaji wa treni hizo za kisasa, Hyundai Rotem kwa kushirikiana na Wataalam kutoka TRC wanaendelea na majaribio ya mifumo mbalimbali katika vichwa vya treni vya umeme kwenye Mji wa Changwon, Korea Kusini. #MillardAyoUPDATES

Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 Indonesia




