🇹🇿 🔴 *Tiktok LIVE LEO*
(Jumanne—28 Aprili, 2026)
_Nchini Tanzania, mapambano dhidi ya Vitendo vya Ukatili kwa Watoto na Wanawake, yameendelea kuwa ajenda ya kudumu na yenye kipaumbele_
#HABARI Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Bara, John Heche, amewataka wajumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho kufanya maamuzi ya busara na yenye mwelekeo thabiti, akisisitiza kuwa hatima ya chama na nchi vipo mikononi mwao.
Aidha, amegusia masuala kadhaa likiwemo hitaji la kutafakari kwa kina mustakabali wa chama, kushinikiza kuachiwa kwa Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, pamoja na viongozi waliokamatwa mkoani Dodoma, huku akielekeza kuendelea na usajili wa wanachama wapya nchi nzima.
Heche ameyasema hayo leo Jumanne, Aprili 28, 2026, katika makao makuu ya chama hicho, Mikocheni, jijini Dar es Salaam, wakati akifungua kikao cha siku mbili cha Kamati Kuu, kikiwa ni cha kwanza baada ya chama hicho kuruhusiwa kuendelea na shughuli za kisiasa. #EastAfricaTV
🇹🇿 🔴 *LIVE LEO – MJADALA WA KITAIFA!*
(Alhamisi, 23 Aprili 2026)
🌍*Ripoti ya Jaji Chande: Je, Inaweka Msingi Halisi wa Uwajibikaji, Maridhiano, na Mageuzi ya Kudumu ya Kisiasa Tanzania?*
YALIPANGWA
YALIRATIBIWA
YALIFADHILIWA na
YALITEKELEZWA.
Eee Mwenyezi Mungu tusadie, tufumbue macho na tuongoze kutambua na kuwakataa wenye nia ovu dhidi ya Tanzania.
#NeverAgain
Ikulu, Dar es Salaam, Aprili 23, 2026
Hotuba yangu leo nilipopokea ripoti ya Tume niliyoiunda kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025.
Tupoendelea kushughulikia na kuyapatia majawabu yaliyotokea, ninawasihi tuongozwe na maneno haya kutoka katika vitabu vitakatifu:
2 Mambo ya Nyakati 7:14
“Ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekeza, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi zao, na kuiponya nchi yao.”
Surah Al-A'raf (7), Aya ya 23
"Mola wetu Mlezi! Tumejidhulumu nafsi zetu, na usipotusamehe na kuturehemu, hakika tutakuwa miongoni mwa waliopata hasara.”
Mungu Ibariki Tanzania.
A very shallow empty and hollow report ever produced in Tanzania. Lacking legal political social and intellectual analysis as to the causes of the October 29 unrest, with no indepth or solidity of investigation. It is illusory deceptive intangible and imaginative
People saw it