
Benjamini Mangula
913 posts
















Waajiriwa wana nafasi kubwa ya kujenga uhuru wa kifedha kuliko waliojiajiri. Lakini mbwembwe za kuajiriwa huishia mwanzoni tu. Waajiriwa wengi at 40s, hawana kikubwa cha kuonesha kimaisha, kuzidi waliojiajiri. Kile unachofanya na pesa unayopata ni muhimu kuliko pesa unayopata.


Kuna vitu kwenye maisha niliona ni bora nilichelewe, ni bora nipoteze muda, ni bora umri uende ila siharakii wala kutumia akili za kawaida peke yake, nitahakikisha nimemsikia Mungu pia. Kuna vitu kwenye maisha ukivikosea hakuna room ya kurekebisha, ni vurugu na matatizo milele. Ukipatia ni mafanikio, amani na raha milele. Usiwe na haraka na maisha. Amua kwa akili na utulivu.

Ukiajiriwa unakua na UHAKIKA wa PESA ❌ Ukiajiriwa unakua na UHAKIKA wa MADENI na kulipa✅ Ukijiajiri unakuwa na FREEDOM❌ Ukijiajiri unakuwa unafanya kazi Zaidi ya ulivokuwa unafanya kwa AJIRA.✅

















