Bernard Baha
1.3K posts




@Udadisi @EduTalkTz @SAUSIFANUEL Huo muda wa kutuelewesha ungetoka wapi? Akina @MayengoDr walitushushia 3.14 na kazi yetu ikabaki kumeza. Mungu anawaona walimu wa Hisabati. Wana mchango mkubwa kwenye ‘Maafa haya ya kitaifa’






Hivi hata tunajua kuwa kuna Mtanzania 🇹🇿aliandika riwaya kwenye hizo African Writers Series (#AWS) zilizoibua mjadala mkali sana baada ya shehena ya kidijitali kushushwa na vitabu kusambazwa kama njugu mtandaoni?





Today, we officially flagged off Kenya’s pilot apple mango export to the UK, marking a significant milestone for the country’s horticulture sector and for local farmers accessing global markets. Speaking at the flag off, our Ag. MD & CEO, Capt. George Kamal, highlighted the importance of strong partnerships in opening new trade corridors and reaffirmed our role in linking Kenyan farmers to international markets in a reliable, efficient and competitive manner. He noted that the pilot shipment demonstrates Kenya’s readiness to meet global standards while strengthening value chains and supporting higher incomes for farmers. The occasion also featured remarks from key industry and government stakeholders, including Okisegere Ojepat, CEO of the Fresh Produce Consortium, Hosea Machuki, CEO of FPEAK, Walter Agong, Operations Manager at the Kenya Airports Authority, Lillian Mwai Ndegwa, Country Director at TradeMark Africa, and Floice Mukabana, CEO of the Kenya Export Promotion and Branding Agency. Also in attendance was our Cargo Director, Fitsum Abadi. Together with our partners, we remain committed to scaling exports, diversifying markets and supporting sustainable growth for Kenya’s fresh produce sector. #KQCargo







Tutazikwa Wapi?”: Wananchi wa Nyatwali Walilia Ardhi Yao ya Asili, Wadai Kupewa Fidia Kiduchu Makala kamili youtu.be/UsW1vSyc5-s?si…














